Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,496
- 7,162
kha!na hii habari imelenga kutusahaulisha jinsi serikali ya ccm ilivyoufyata na kukubali masharti ya ushoga ili kuendelea kupata misaada
kweli hiyo mkuu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kha!na hii habari imelenga kutusahaulisha jinsi serikali ya ccm ilivyoufyata na kukubali masharti ya ushoga ili kuendelea kupata misaada
HASWAAAA AKAENDELEE NA CHUOArudi chuoni aendelee na masomo yake
Aombe uraia kwanza bila hivyo chuo hakiwezi kumpokea.Naifatilia kwa karibu sana
Duh yaani kaachiwa huru.. kumbe kuna mambo huwa yanakuzwa ili kutisha watu
Sasa Chuo kinafanyaje maana walimchimba mkwara mkubwa sana
malizia auone😀😀😀😀😀😀Hivi Africa tuna Uraia kweli?
Kama hivyo tuanze kuhskiki uraia wa msgogoni.
Inamaana mpenzi wake na lile kopo la pafyumu walishindwa navyo kuviwasilisha mahakamani!Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa leo itasoma hukumu ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi #Tanzania (TSNP), Abdul Nondo. Katika kesi ya msingi, Nondo anakabiliwa na makosa mawili ya kudanganya kuwa alitekwa, na kutoa taarifa za uongo, aliyoyatenda Machi 7, 2018.
Mliopo iringa update muwe mnatupa.
UPDATE
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemkuta Abdul Nondo hana hatia hivyo imemuachia huru
View attachment 921914
====
ABDUL NONDO ASHINDA KESI DHIDI YA JAMHURI KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA IRINGA
Swali la Hakimu la msingi, ni Je, Jamhuri wameshindwa kueleza kuwa mshatikiwa alifikaje Mafinga?? Pili, mahakama imekosa ushahidi kuhusu alifikaje Mafinga.
Tatu, hakuna ushahidi toka jamhuri kuwa mshatikiwa alikuwa wapi wakati wa tukio. Hivyo mashahidi wa jamhuri wametoa ushahidi wa hisia.
Nne, Jamhuri wameshindwa kuthibitisha uongo wa mshatikiwa kwa kila namna na hata kielelezo kilicholetwa na Jamhuri kinatia mashaka sana, kwa mkanganyiko huu makahama imejizuia kuyaamini maelezo yaliyoletwa mahakamani.
Ifahamike siyo jukumu la mahakama kujua mshatikiwa alitekwa au hakutekwa, hilo ni jukumu la polisi.
Hivyo basi, mahakama imeamua Abdul Nondo aachiwe huru.
Mwisho kabisa, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), unawashukuru mawakili wake waliosimamia kesi ya Abdul Nondo tangu mwanzo, lakini kipekee zaidi tunaishukuru mahakama kwa kutenda haki katika hukumu hiyo.
Imetolewa leo tarehe 5 Novemba 2018.
Na: THRDC
Aombe uraia kwanza bila hivyo chuo hakiwezi kumpokea.
Ni kweli mkuu...Funny!!! Lakini siku hazigandi kuna siku yataisha haya yote.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa leo itasoma hukumu ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi #Tanzania (TSNP), Abdul Nondo. Katika kesi ya msingi, Nondo anakabiliwa na makosa mawili ya kudanganya kuwa alitekwa, na kutoa taarifa za uongo, aliyoyatenda Machi 7, 2018.
Mliopo iringa update muwe mnatupa.
UPDATE
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemkuta Abdul Nondo hana hatia hivyo imemuachia huru
View attachment 921914
====
ABDUL NONDO ASHINDA KESI DHIDI YA JAMHURI KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA IRINGA
Swali la Hakimu la msingi, ni Je, Jamhuri wameshindwa kueleza kuwa mshatikiwa alifikaje Mafinga?? Pili, mahakama imekosa ushahidi kuhusu alifikaje Mafinga.
Tatu, hakuna ushahidi toka jamhuri kuwa mshatikiwa alikuwa wapi wakati wa tukio. Hivyo mashahidi wa jamhuri wametoa ushahidi wa hisia.
Nne, Jamhuri wameshindwa kuthibitisha uongo wa mshatikiwa kwa kila namna na hata kielelezo kilicholetwa na Jamhuri kinatia mashaka sana, kwa mkanganyiko huu makahama imejizuia kuyaamini maelezo yaliyoletwa mahakamani.
Ifahamike siyo jukumu la mahakama kujua mshatikiwa alitekwa au hakutekwa, hilo ni jukumu la polisi.
Hivyo basi, mahakama imeamua Abdul Nondo aachiwe huru.
Mwisho kabisa, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), unawashukuru mawakili wake waliosimamia kesi ya Abdul Nondo tangu mwanzo, lakini kipekee zaidi tunaishukuru mahakama kwa kutenda haki katika hukumu hiyo.
Imetolewa leo tarehe 5 Novemba 2018.
Na: THRDC
Lengo lilikuwa kumuharibia masomo yake ya chuo, na yule mwanamke alietoa ushahidi wa uongo kuwa ni mpenzi wa Nondo, Mungu ampe adhabu inayo mstahili maana ni chukizo kwa Mungu kumshuhudia jirani yako uongo.
Mkihoji sana kesi inaanza upya.Maana yake ni kwamba kweli alitekwa.
Kweli kabisa! akasome sasaHASWAAAA AKAENDELEE NA CHUO
Mwigulu sasa hivi huku mtaani anakubali na kukiri kwamba zile maiti za coco beach ni za watanzania wenzetuAibu kubwa sana kwa Mwigulu si walisema alienda kwa hawara yake kule na kuna sms zimeshikwa za kwamba alikuwa anachat na hawara yake halafu akajidai kutekwa. huu ushahidi uliyeyuka yeyuka vipi mahakamani mapaka tunasoma hapa kwamba yuko huru??
Hakimu Aliem-acquit Bwana Abdul Nondo Anaitwa *_Liad Mohamed Chamshama_* Msambaa Wa LushotoHaki imetendeka. Sasa wamtafutie kesi ingine kwamba yeye si raia wa Tanzania. Au yeyote ya uchochezi.