Jamhuri inapojaribu kuwabambikia raia wake kesi za uongo!Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa leo itasoma hukumu ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi #Tanzania (TSNP), Abdul Nondo. Katika kesi ya msingi, Nondo anakabiliwa na makosa mawili ya kudanganya kuwa alitekwa, na kutoa taarifa za uongo, aliyoyatenda Machi 7, 2018.
Mliopo iringa update muwe mnatupa.
UPDATE
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemkuta Abdul Nondo hana hatia hivyo imemuachia huru
View attachment 921914
====
ABDUL NONDO ASHINDA KESI DHIDI YA JAMHURI KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA IRINGA
Swali la Hakimu la msingi, ni Je, Jamhuri wameshindwa kueleza kuwa mshatikiwa alifikaje Mafinga?? Pili, mahakama imekosa ushahidi kuhusu alifikaje Mafinga.
Tatu, hakuna ushahidi toka jamhuri kuwa mshatikiwa alikuwa wapi wakati wa tukio. Hivyo mashahidi wa jamhuri wametoa ushahidi wa hisia.
Nne, Jamhuri wameshindwa kuthibitisha uongo wa mshatikiwa kwa kila namna na hata kielelezo kilicholetwa na Jamhuri kinatia mashaka sana, kwa mkanganyiko huu makahama imejizuia kuyaamini maelezo yaliyoletwa mahakamani.
Ifahamike siyo jukumu la mahakama kujua mshatikiwa alitekwa au hakutekwa, hilo ni jukumu la polisi.
Hivyo basi, mahakama imeamua Abdul Nondo aachiwe huru.
Mwisho kabisa, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), unawashukuru mawakili wake waliosimamia kesi ya Abdul Nondo tangu mwanzo, lakini kipekee zaidi tunaishukuru mahakama kwa kutenda haki katika hukumu hiyo.
Imetolewa leo tarehe 5 Novemba 2018.
Na: THRDC
Ndio maana yake alitekwa kweli nani kamteka watatuambia hao waliosema kajitekaSasa vile wakina mwigulu na makonda walivyokuwa wanamhukumu majukwaani wanajisikiaje?
Kumbe ni kweli alitekwa
Sisi hatusumbuki na mashataka dhidi yake tunajisumbua na chanzo cha mashtaka -kujiteka je kwa hukumu ya mahakama ina maana jamaa alitekwa ?na kama jibu ndio ni nani aliye mteka ?japo tunajua kwa nini alitekwa suala ni nani aliyemtekaTatizo hamwelewi motivation ya Jamhuri, sio kutafuta haki, ni usumbufu tu. Ndio maana wanapeleka tu kesi zisikokuwa na kichwa wala miguu. Ila by the time they are done, wamekusumbua na kuwafanya wangine wajiulize mara mbili mbili kabla ya kufanya mambo uliyokuwa unafanya.
Dogo kapotezewa muda na masomo, that was the whole point, to make an example of him.
Vipi kuhusu ulinzi?ina maana waliomteka ndio basi tena hawatafutwi?Awafungulie mashtaka kwa kumpotezea muda wa Chuo wamlipe gharama za muda
Ila ule upaja si wa kubeza na ile rangi ikiwa imepakwa vilivyo kwenye ngozi nyororo laini angavu!Yaani wewe kitu cha kwanza ulichoona ni mapaja kudadekiiii.
Safi sana!!!! Yaani tunahangaika a mambo ya kipuuzi tu!!!!Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa leo itasoma hukumu ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi #Tanzania (TSNP), Abdul Nondo. Katika kesi ya msingi, Nondo anakabiliwa na makosa mawili ya kudanganya kuwa alitekwa, na kutoa taarifa za uongo, aliyoyatenda Machi 7, 2018.
Mliopo iringa update muwe mnatupa.
UPDATE
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemkuta Abdul Nondo hana hatia hivyo imemuachia huru
View attachment 921914
====
ABDUL NONDO ASHINDA KESI DHIDI YA JAMHURI KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA IRINGA
Swali la Hakimu la msingi, ni Je, Jamhuri wameshindwa kueleza kuwa mshatikiwa alifikaje Mafinga?? Pili, mahakama imekosa ushahidi kuhusu alifikaje Mafinga.
Tatu, hakuna ushahidi toka jamhuri kuwa mshatikiwa alikuwa wapi wakati wa tukio. Hivyo mashahidi wa jamhuri wametoa ushahidi wa hisia.
Nne, Jamhuri wameshindwa kuthibitisha uongo wa mshatikiwa kwa kila namna na hata kielelezo kilicholetwa na Jamhuri kinatia mashaka sana, kwa mkanganyiko huu makahama imejizuia kuyaamini maelezo yaliyoletwa mahakamani.
Ifahamike siyo jukumu la mahakama kujua mshatikiwa alitekwa au hakutekwa, hilo ni jukumu la polisi.
Hivyo basi, mahakama imeamua Abdul Nondo aachiwe huru.
Mwisho kabisa, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), unawashukuru mawakili wake waliosimamia kesi ya Abdul Nondo tangu mwanzo, lakini kipekee zaidi tunaishukuru mahakama kwa kutenda haki katika hukumu hiyo.
Imetolewa leo tarehe 5 Novemba 2018.
Na: THRDC
Na mwigulu nchemba alimsema sana dogo jukwaani.
Ni pale aliyeripoti polisi kutekwa badala ya kupewa msaada na kufanya uchunguzi aligeuka mtuhumiwa na kunyanganywa vitu vyake. Hapo ndipo mashaka yalipoamzia. Swali je kwa nini hawakutaka kuchunguza ametekwaje badala yake wakawa kama walikuwa wanamsubiri afike wamfungulie mashitakaRPC wa Dar na wa Iringa walijichanganya sana ktk kauli zao za kwanza kuhusu kijana Abdul Nondo!
RPC wa Iringa alisema tofauti kabisa na alicho sema RPC wa Dar
Badala ya kumpeleka hospitalini kumtibu wao wakampeleka mahabusu
Hongera Mahakama Iringa kwa kutenda haki
Ilo wanajua waliotaka kumnyima dhamana. Kuna kesi uchwara kama hizi upelekea wote kudharaulika duniani.Vipi kuhusu ulinzi?ina maana waliomteka ndio basi tena hawatafutwi?
Maono ya kilingeniHahahahah mshana kalata zilichangwa vyema.
Wapo around kweli unafikiri nataniaHa ha ha ha ha ha Mshana kweli wewe ni wa kunivunja mbavu asbh asbh yote hii ooo my ribs khaaa
Hilo paja la mwana BAVICHA Hilda Newton Chadema nimelielewa sana mtoto ana paja lainiiii la kung'aaa
Hongera ndugu Nondo kwa kuwapiga za uso kina jiwe na genge lake
Yaone sasa maCCM yanavyoumbuka, hayoooooooooo! Mimacho imeyatoka kama chura aliyebanwa na mlango. Kumharibia tu masomo kijana wa watu bila kosa lolote. Acheni usenge-rema nyie majitu!Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa leo itasoma hukumu ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi #Tanzania (TSNP), Abdul Nondo. Katika kesi ya msingi, Nondo anakabiliwa na makosa mawili ya kudanganya kuwa alitekwa, na kutoa taarifa za uongo, aliyoyatenda Machi 7, 2018.
Mliopo iringa update muwe mnatupa.
UPDATE
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemkuta Abdul Nondo hana hatia hivyo imemuachia huru
View attachment 921914
====
ABDUL NONDO ASHINDA KESI DHIDI YA JAMHURI KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA IRINGA
Swali la Hakimu la msingi, ni Je, Jamhuri wameshindwa kueleza kuwa mshatikiwa alifikaje Mafinga?? Pili, mahakama imekosa ushahidi kuhusu alifikaje Mafinga.
Tatu, hakuna ushahidi toka jamhuri kuwa mshatikiwa alikuwa wapi wakati wa tukio. Hivyo mashahidi wa jamhuri wametoa ushahidi wa hisia.
Nne, Jamhuri wameshindwa kuthibitisha uongo wa mshatikiwa kwa kila namna na hata kielelezo kilicholetwa na Jamhuri kinatia mashaka sana, kwa mkanganyiko huu makahama imejizuia kuyaamini maelezo yaliyoletwa mahakamani.
Ifahamike siyo jukumu la mahakama kujua mshatikiwa alitekwa au hakutekwa, hilo ni jukumu la polisi.
Hivyo basi, mahakama imeamua Abdul Nondo aachiwe huru.
Mwisho kabisa, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), unawashukuru mawakili wake waliosimamia kesi ya Abdul Nondo tangu mwanzo, lakini kipekee zaidi tunaishukuru mahakama kwa kutenda haki katika hukumu hiyo.
Imetolewa leo tarehe 5 Novemba 2018.
Na: THRDC