Iringa: Mahakama ya Wilaya yamwachia huru Abdul Nondo baada ya kutomkuta na hatia

Iringa: Mahakama ya Wilaya yamwachia huru Abdul Nondo baada ya kutomkuta na hatia

Hongera zake ila habari yako itie nyama nyama
 
Tatizo hamwelewi motivation ya Jamhuri, sio kutafuta haki, ni usumbufu tu. Ndio maana wanapeleka tu kesi zisikokuwa na kichwa wala miguu. Ila by the time they are done, wamekusumbua na kuwafanya wangine wajiulize mara mbili mbili kabla ya kufanya mambo uliyokuwa unafanya.

Dogo kapotezewa muda na masomo, that was the whole point, to make an example of him.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa leo itasoma hukumu ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi #Tanzania (TSNP), Abdul Nondo. Katika kesi ya msingi, Nondo anakabiliwa na makosa mawili ya kudanganya kuwa alitekwa, na kutoa taarifa za uongo, aliyoyatenda Machi 7, 2018.

Mliopo iringa update muwe mnatupa.

-------------- UPDATE-------------

Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemkuta Abdul Nondo hana hatia hivyo imemuachia huru
Aibu yao bashite,mambosasa,ccm yani wamepigwa cha konki masta
 
RPC wa Dar na wa Iringa walijichanganya sana ktk kauli zao za kwanza kuhusu kijana Abdul Nondo!
RPC wa Iringa alisema tofauti kabisa na alicho sema RPC wa Dar
Badala ya kumpeleka hospitalini kumtibu wao wakampeleka mahabusu
Hongera Mahakama Iringa kwa kutenda haki
 
Ingefaa na wanao bambikia case watu washitakiwe kama wahalifu wengine tu, kwani wanarudisha maendeleo ya mtu na pia kurudisha nyuma maendeleo ya taifa,

Pato la taifa linapungua,
Garama ya case
Pia kutweza utu wa mtu
 
Back
Top Bottom