Iringa: Mahakama ya Wilaya yamwachia huru Abdul Nondo baada ya kutomkuta na hatia

Iringa: Mahakama ya Wilaya yamwachia huru Abdul Nondo baada ya kutomkuta na hatia

Mwisho wa ubaya aibu!

Raha yao ni kuweka watu mahabusu bila kujali watashinda kesi au laa.

Ndio maana Mnyika amesema tuna sa...di..st
 
Leo Mahakama imedhibitisha kuwa Nondo hakuwa na hatia katika kesi yake iliyokuwa ina mkabiri

Binafsi na pengne wengi wetu tunaendelea kuachwa njia Panda hasa kulihofia Jeshi letu la police na usalama kwa ujumla katika taifa letu.


Maswali yangu ni haya na kama una mengne unaweza ongezea

1: Nani walimteka Nondo

2: Police walituambia Nondo alijiteka na wakadhibitisha kuwa alikuwa akiongea na Mpenzi wake usiku ule akiwa safarini, je police imeshindwa kushawishi Mahakama kuhusu hilo?

3: Je police wao ndo wahusika wakuu kwenye utekaji au Mpenzi wake Nondo [emoji16][emoji16]?

4: Aliyemstaki Nondo alikuwa na uhakika na uchunguzi kuwa Nondo alijiteka je alimshitaki kupoteza ukweli ya kuwa yeye Mtekaji ndo Mchunguzi so kusiwe na Uchunguzi mwingne zaidi?

5: Kama Nondo kashinda je Tutalajie majibu gani kutoka Police, je wataendelea na uchunguzi au watarenew Case [emoji16][emoji16][emoji16]

6: Je Jeshi la Police limeshindwa na limetuzibitishia sasa kupitia Nondo kuwa halina uwezo wa kuwa kamata watekaji (watu wasiojulikana) [emoji23][emoji23][emoji23]

Nawaza
 
hajashinda kesi ila waliompakazia kesi wamesharidhika na tabu aliyoipata wakaamua kumuachia, REMEMBER NCHI HII MICRO CONTROLLER IPO MAGOGONI NDIO INATOA SIGNAL NA COMAND ZOTE.
 
Kwahio na hii imepewa maagizo? au maagizo ni pale mtu anapoona alietaka ashinde anashndwa?
Maagizo yanatolewa sana ila hii ya nondo usanii wa police ndio umempa ushindi,umesahau ile ya mr 2 ilikuaje
 
Kweli mkuu umeona mbali hana hatia
Kuna vitu ambavyo viko wazi kama umesoma sheria hata kwa certificate/diploma level, sembuse degree level! One needs to create reasonable doubt in criminal cases to win the case. Kulikuwa na sehemu nyingi sana ambazo wakili mzuri angeliweza ku create doubts, beyond reasonable doubts !...
 
Lengo lilikuwa kumuharibia masomo yake ya chuo, na yule mwanamke alietoa ushahidi wa uongo kuwa ni mpenzi wa Nondo, Mungu ampe adhabu inayo mstahili maana ni chukizo kwa Mungu kumshuhudia jirani yako uongo.
 
Si walisema kuna ushahidi sms za kuchat na hawara yake na alijiteka, ulipotelea wapi huu ushahidi
 
tapatalk_1541356148147-jpeg.921869
 
Wengine tulishajua kuwa hii kesi ni ngumu sana kwa Jamhuri! Toka lini muathirika kaenda kuripoti polisi halaf akageuziwa kibao halaf jamhuri ishinde?

Mtu ujikute hatarini halafu ukiwatumia watu kadhaa ujumbe ushitakiwe na jamhuri halafu jamhuri ishinde?

Ningeshangaa sana kama angetiwa hatiani kwa mashitaka ya kubumba.

Hongera Abdul Nondo
 
Wanaovaa jezi za Yanga wanaumia sana kwa taarifa hii nzuri.
Acha kutuhusisha na mambo ya kijinga. Kwani jezi yetu na sare za majambazi zinahusiana nini? Tafadhari tuombe radhi nakuambia na ufute kauri yako
 
Maagizo yanatolewa sana ila hii ya nondo usanii wa police ndio umempa ushindi,umesahau ile ya mr 2 ilikuaje
Kama mtu ana nguvu ya kutoa maagizo hamna ushahidi utaweza kusimama, si anaamua tu 'funga huyo' no discussion.
Ya mr2 ilikuwaje? Kwani hakumtukana mheshimiwa?
 
Back
Top Bottom