upuuzi kaufanya nani?Dogo aache upuuzi asome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upuuzi kaufanya nani?Dogo aache upuuzi asome
Nondo aachiwa huruView attachment 921925
Hizi kwa kweli ni habari njema sana. siyo kwa ile mihemko ya Serikali na "vyombo vya usalama", Nondo kuletwa mbele ya vyombo vya habari kuwaaminisha watanzania kwamba "Alijiteka mwenyewe", Chuo Kikuu kumsimamishia udahili wake, pia kumzuia asiingie maeneo ya chuo. haya yote mawili Utawala wa Chuo Kikuu ulifanya kwa sababu za woga usiomithilika.Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa leo itasoma hukumu ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi #Tanzania (TSNP), Abdul Nondo. Katika kesi ya msingi, Nondo anakabiliwa na makosa mawili ya kudanganya kuwa alitekwa, na kutoa taarifa za uongo, aliyoyatenda Machi 7, 2018.
Mliopo iringa update muwe mnatupa.
-------------- UPDATE-------------
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemkuta Abdul Nondo hana hatia hivyo imemuachia huru
Yule kinara wa kulia kanisani aliyemtaka dogo aletwe mkoani kwake ili amshughulikie sijui anajisikiaje hivi sasa...Hahhahahah, wamebana wameachia *****
Natamani Mahakimu wangekuwa na uwezo wa kuamua ALIYE MBAMBIKA MSHITAKIWA KESI ALETWE ,MAHAKAMANI NA KULA VIBOKO HAMSA WA ISHIRINI ILI AACHE TABIA HIYO.Sawa asante
Aibu yakeYule kinara wa kulia kanisani aliyemtaka dogo aletwe mkoani kwake ili amshughulikie sijui anajisikiaje hivi sasa...
Abdul Nondo ana kila sababu ya kumshukuru Mungu aliyekua waziri wa mambo ya ndani kutumbuliwa kwakua ndiye aliyeiforce hii case kwakutumia mapolisi wakeMahakama ya Hakimu Mkazi Iringa leo itasoma hukumu ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi #Tanzania (TSNP), Abdul Nondo. Katika kesi ya msingi, Nondo anakabiliwa na makosa mawili ya kudanganya kuwa alitekwa, na kutoa taarifa za uongo, aliyoyatenda Machi 7, 2018.
Mliopo iringa update muwe mnatupa.
-------------- UPDATE-------------
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemkuta Abdul Nondo hana hatia hivyo imemuachia huru
View attachment 921914
. kuachiwa huru
. kifungo cha nje
. kifungo ama faini(atalipa faini)
Hapa tunguli imecheza vyemaKuachiwa huru
Ilibidi nirudi juuHilo paja la mwana BAVICHA Hilda Newton Chadema nimelielewa sana mtoto ana paja lainiiii la kung'aaa
Hongera ndugu Nondo kwa kuwapiga za uso kina jiwe na genge lake
Nadhani ni walewale waliomteka Mo, Ben Saanane, Azory na mum pyu pyu pyu Tundu Lissu. Ndo maana mpk leo pamoja na umahiri wa kesho letu, bado hawajafahamika na hawafahamiki...Kwa hiyo waliomteka kina nani
Eti ndiye Amiri jeshi wa vikosi vya ulinzi na usalama mkoa wa Dar es salaam. Jamani imekaaje watu wa Dar kila kukicha kamanda wenu mkuu ni vilio tuu hadharan? hamjisikii aibu?Yule kinara wa kulia kanisani aliyemtaka dogo aletwe mkoani kwake ili amshughulikie sijui anajisikiaje hivi sasa...