Iringa: Mahakama ya Wilaya yamwachia huru Abdul Nondo baada ya kutomkuta na hatia

Iringa: Mahakama ya Wilaya yamwachia huru Abdul Nondo baada ya kutomkuta na hatia

Screenshot_2018-11-05-11-42-36.png
 
Tusipende kufanya mambo yasiyofika mwisho. Kijana Abdul Nondo alisema katekwa serikali ikasema kajiteka. Leo mahakama inasema Abdul hakujiteka bali alitekwa , jee nani ndio mtekaji wake?
Siku za nyuma wamekuwepo waliotekwa kadhaa na wengine walikuja kupatikana wakiwa wameumia na kujeruhiwa wengine wamepotea kabisa. Kama taifa sio jambo zuri kulinyamazia bali lazima liwe mjadala mkubwa wa wazi utakao shirikisha watu bila kujali vyeo vyao.
Hivi akitekwa na kupotea Zitto au Mbowe tutanyamaza kama ilivyokuwa kwa MO au Azory? au akitekwa na kupotea CAG au Jaji wa mahakama kuu bado tutatulia na kuendelea na shughuli zetu kama wazungu wasemavyo Business as usual?
Tuwajue watekaji sasa badala ya kusemea chini chini kuwa na "kina Fulani" kisha tukasababisha kilio kwao baada ya mabadiliko ya uongozi maana kutakuwa na visasi vya dhahiri.
Ni wakina nani na kwa nini?
1541407652303.png
 
Mamlaka toka juu imekuchelewesha tuu kufika safari yako. Mwakani utarejea kumalizia ngwe ilyobakia kwenye masomo yako.
Kuwa makini kwani lengo lao lilikuwa baya ndio mana wakaja na hii kesi ya kijinga
 
Kwa matamshi yote Yale ya Mwigulu,kumbe ilikuwa hewa tu, aje hapa sasa aongee tena. Hii nchi inavituko Kweli.
 
Back
Top Bottom