Iringa: Mahakama ya Wilaya yamwachia huru Abdul Nondo baada ya kutomkuta na hatia

Iringa: Mahakama ya Wilaya yamwachia huru Abdul Nondo baada ya kutomkuta na hatia

Keshajifunza ka akina ulimboka na Dewji,kuanzia sasa hivi ataufyataaaa ka Sugu.
 
Ingefaa na wanao bambikia case watu washitakiwe kama wahalifu wengine tu, kwani wanarudisha maendeleo ya mtu na pia kurudisha nyuma maendeleo ya taifa,

Pato la taifa linapungua,
Garama ya case
Pia kutweza utu wa mtu
Yaani ikiwezekana adai fidia ya 1.5Trl.
 
Sikumbuki lini Serikali hii iliwahi kushinda kesi yoyote - kuanzia hizi kesi za kipuuzi (fabricated) against wakosoaji wake mpaka zile kubwa ambazo Serikali ilivunja mikataba kindezi, mikataba ambayo walisaini wenyewe na kuifungia kabatini.
 
Serikali ya wehu inabambikia wakosoaji wake kesi https://jamii.app/JFUserGuide.
 
Bashite akipata hizi taarifa atazidi kukonda tu
Yuko na rafiki yake
tapatalk_1541403796596.jpg
 
Aibu kubwa sana kwa Mwigulu si walisema alienda kwa hawara yake kule na kuna sms zimeshikwa za kwamba alikuwa anachat na hawara yake halafu akajidai kutekwa. huu ushahidi uliyeyuka yeyuka vipi mahakamani mapaka tunasoma hapa kwamba yuko huru??
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa leo itasoma hukumu ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi #Tanzania (TSNP), Abdul Nondo. Katika kesi ya msingi, Nondo anakabiliwa na makosa mawili ya kudanganya kuwa alitekwa, na kutoa taarifa za uongo, aliyoyatenda Machi 7, 2018.

Mliopo iringa update muwe mnatupa.

-------------- UPDATE-------------

Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemkuta Abdul Nondo hana hatia hivyo imemuachia huru

View attachment 921914
Tupe update kilichojili mahakamani mpaka akaachiwa
 
Back
Top Bottom