Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ikiwezekana adai fidia ya 1.5Trl.Ingefaa na wanao bambikia case watu washitakiwe kama wahalifu wengine tu, kwani wanarudisha maendeleo ya mtu na pia kurudisha nyuma maendeleo ya taifa,
Pato la taifa linapungua,
Garama ya case
Pia kutweza utu wa mtu
Alisimamishwa..hakufukuzwaAlishapoteza chuo lakini
Kabisaaa,Yaani ikiwezekana adai fidia ya 1.5Trl.
Yaani wewe kitu cha kwanza ulichoona ni mapaja kudadekiiii.Hilo paja la mwana BAVICHA Hilda Newton Chadema nimelielewa sana mtoto ana paja lainiiii la kung'aaa
Hongera ndugu Nondo kwa kuwapiga za uso kina jiwe na genge lake
Mahakama nyingi zinapewa maagizo kesi ya cdm kisutu utaona majibu yake ngoja tusubiriMahakama zetu ziko vizuri...
Tunaomba hukumu tusome maana it is very exciting!Nimesoma instagram Kwenye page ya clouds kuwa kale kakijana kameshinda kesi iliyokuwa inamkabili
Yuko na rafiki yakeBashite akipata hizi taarifa atazidi kukonda tu
Tupe update kilichojili mahakamani mpaka akaachiwaMahakama ya Hakimu Mkazi Iringa leo itasoma hukumu ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi #Tanzania (TSNP), Abdul Nondo. Katika kesi ya msingi, Nondo anakabiliwa na makosa mawili ya kudanganya kuwa alitekwa, na kutoa taarifa za uongo, aliyoyatenda Machi 7, 2018.
Mliopo iringa update muwe mnatupa.
-------------- UPDATE-------------
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemkuta Abdul Nondo hana hatia hivyo imemuachia huru
View attachment 921914