Ghost Worker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 1,412
- 1,864
Jipe moyo.Hapa ni mafichoni na ngumu kuja kuchomolewa huku!!
Mwigulu and Bashite were behind this fabrication. Jiwe alibariki utekajiMungu mbariki Abdul Nondo .
Wewe nyoko kweli🙃Hilo paja la mwana BAVICHA Hilda Newton Chadema nimelielewa sana mtoto ana paja lainiiii la kung'aaa
Hongera ndugu Nondo kwa kuwapiga za uso kina jiwe na genge lake
Kuna kapaja pale pembeni[emoji39]Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa leo itasoma hukumu ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi #Tanzania (TSNP), Abdul Nondo. Katika kesi ya msingi, Nondo anakabiliwa na makosa mawili ya kudanganya kuwa alitekwa, na kutoa taarifa za uongo, aliyoyatenda Machi 7, 2018.
Mliopo iringa update muwe mnatupa.
UPDATE
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemkuta Abdul Nondo hana hatia hivyo imemuachia huru
View attachment 921914
====
ABDUL NONDO ASHINDA KESI DHIDI YA JAMHURI KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA IRINGA
Swali la Hakimu la msingi, ni Je, Jamhuri wameshindwa kueleza kuwa mshatikiwa alifikaje Mafinga?? Pili, mahakama imekosa ushahidi kuhusu alifikaje Mafinga.
Tatu, hakuna ushahidi toka jamhuri kuwa mshatikiwa alikuwa wapi wakati wa tukio. Hivyo mashahidi wa jamhuri wametoa ushahidi wa hisia.
Nne, Jamhuri wameshindwa kuthibitisha uongo wa mshatikiwa kwa kila namna na hata kielelezo kilicholetwa na Jamhuri kinatia mashaka sana, kwa mkanganyiko huu makahama imejizuia kuyaamini maelezo yaliyoletwa mahakamani.
Ifahamike siyo jukumu la mahakama kujua mshatikiwa alitekwa au hakutekwa, hilo ni jukumu la polisi.
Hivyo basi, mahakama imeamua Abdul Nondo aachiwe huru.
Mwisho kabisa, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), unawashukuru mawakili wake waliosimamia kesi ya Abdul Nondo tangu mwanzo, lakini kipekee zaidi tunaishukuru mahakama kwa kutenda haki katika hukumu hiyo.
Imetolewa leo tarehe 5 Novemba 2018.
Na: THRDC
Kwa hiyo mkuu niache mara moja kuongea ukweli kuhusu jiwe hapa?[emoji30][emoji30][emoji30]Jipe moyo.
Walichokitaka ni kumlaza ndani na wamefanya hivyo, mahakama zote kesi za kipuuzi kama hizi zinapigwa chini mapema tu.Kwahio na hii imepewa maagizo? au maagizo ni pale mtu anapoona alietaka ashinde anashndwa?
Tunashukiru Mungu kwani Mh Mwigulu alishapata hukumu yake anayostahili kabla ya A. Nondo.Kila mwenye akili timamu alijua hakuna kesi pale zaidi ya kujaribu kukatia discipline ya uoga katoto ka watu!.
Kazi ya Mwigulu hiyo!!
Si kila jambo Jiwe linahusika, lakini mtu kama Makonda analeta fedhea na taharuki lakini jiwe lipo kimya tumueleweje?God Bless Magufuli, maana
Ongea ukweli popote pale.Kwa hiyo mkuu niache mara moja kuongea ukweli kuhusu jiwe hapa?[emoji30][emoji30][emoji30]
Dahh,Si kila jambo Jiwe linahusika, lakini mtu kama Makonda analeta fedhea na taharuki lakini jiwe lipo kimya tumueleweje?
Ona hawa wanafki.
View attachment 921986View attachment 921987
Sasa wale wachumia tumbo walio msimamishia masomo watamrudisha chuoni??? Au ndio saga linaanza??Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa leo itasoma hukumu ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi #Tanzania (TSNP), Abdul Nondo. Katika kesi ya msingi, Nondo anakabiliwa na makosa mawili ya kudanganya kuwa alitekwa, na kutoa taarifa za uongo, aliyoyatenda Machi 7, 2018.
Mliopo iringa update muwe mnatupa.
UPDATE
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemkuta Abdul Nondo hana hatia hivyo imemuachia huru
View attachment 921914
====
ABDUL NONDO ASHINDA KESI DHIDI YA JAMHURI KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA IRINGA
Swali la Hakimu la msingi, ni Je, Jamhuri wameshindwa kueleza kuwa mshatikiwa alifikaje Mafinga?? Pili, mahakama imekosa ushahidi kuhusu alifikaje Mafinga.
Tatu, hakuna ushahidi toka jamhuri kuwa mshatikiwa alikuwa wapi wakati wa tukio. Hivyo mashahidi wa jamhuri wametoa ushahidi wa hisia.
Nne, Jamhuri wameshindwa kuthibitisha uongo wa mshatikiwa kwa kila namna na hata kielelezo kilicholetwa na Jamhuri kinatia mashaka sana, kwa mkanganyiko huu makahama imejizuia kuyaamini maelezo yaliyoletwa mahakamani.
Ifahamike siyo jukumu la mahakama kujua mshatikiwa alitekwa au hakutekwa, hilo ni jukumu la polisi.
Hivyo basi, mahakama imeamua Abdul Nondo aachiwe huru.
Mwisho kabisa, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), unawashukuru mawakili wake waliosimamia kesi ya Abdul Nondo tangu mwanzo, lakini kipekee zaidi tunaishukuru mahakama kwa kutenda haki katika hukumu hiyo.
Imetolewa leo tarehe 5 Novemba 2018.
Na: THRDC
Pascal Mayalla mbona hujatupa mrejesho wako toka Kamati ya Bunge? Nini walikuuliza na nini uliwajibu au ni siri ya mtungi??God Bless Magufuli, maana, angalau ameiachia au ameiachia mhimili wa mahakama kutenda haki, na haki yenyewe kuonekana inatendeka.
Big up sana mhimili wa mahakama kwa kutenda haki.
Unaweza usiwe na imani na Bunge, na maisha yakaendelea, usiwe na imani na serikali, maisha yakaendelea, lakini taifa linapokosa imani na mahakama, hakuna maisha.
P
Hayo maneno ukitakiwa uthibitishe utasema unaonewa?God Bless Magufuli, maana, angalau ameiachia au ameiachia mhimili wa mahakama kutenda haki, na haki yenyewe kuonekana inatendeka.
Kwani kuna rais alikuwa anaibana hadi ishinde kuchukua uamuzi wakeHayo maneno ukitakiwa uthibitishe utasema unaonewa?
Acheni kutisha watu pumbavu wewe, Tanzania siyo North Korea.Hayo maneno ukitakiwa uthibitishe utasema unaonewa?
..... Kumbe hakii ikiamua kutendwa inatendeka .... MUNGU amsaidie kijana akasomeMahakama ya Hakimu Mkazi Iringa leo itasoma hukumu ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi #Tanzania (TSNP), Abdul Nondo. Katika kesi ya msingi, Nondo anakabiliwa na makosa mawili ya kudanganya kuwa alitekwa, na kutoa taarifa za uongo, aliyoyatenda Machi 7, 2018.
Mliopo iringa update muwe mnatupa.
UPDATE
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemkuta Abdul Nondo hana hatia hivyo imemuachia huru
View attachment 921914
====
ABDUL NONDO ASHINDA KESI DHIDI YA JAMHURI KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA IRINGA
Swali la Hakimu la msingi, ni Je, Jamhuri wameshindwa kueleza kuwa mshatikiwa alifikaje Mafinga?? Pili, mahakama imekosa ushahidi kuhusu alifikaje Mafinga.
Tatu, hakuna ushahidi toka jamhuri kuwa mshatikiwa alikuwa wapi wakati wa tukio. Hivyo mashahidi wa jamhuri wametoa ushahidi wa hisia.
Nne, Jamhuri wameshindwa kuthibitisha uongo wa mshatikiwa kwa kila namna na hata kielelezo kilicholetwa na Jamhuri kinatia mashaka sana, kwa mkanganyiko huu makahama imejizuia kuyaamini maelezo yaliyoletwa mahakamani.
Ifahamike siyo jukumu la mahakama kujua mshatikiwa alitekwa au hakutekwa, hilo ni jukumu la polisi.
Hivyo basi, mahakama imeamua Abdul Nondo aachiwe huru.
Mwisho kabisa, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), unawashukuru mawakili wake waliosimamia kesi ya Abdul Nondo tangu mwanzo, lakini kipekee zaidi tunaishukuru mahakama kwa kutenda haki katika hukumu hiyo.
Imetolewa leo tarehe 5 Novemba 2018.
Na: THRDC
ndicho Pascal anachoandika bila ushahidi wowoteKwani kuna rais alikuwa anaibana hadi ishinde kuchukua uamuzi wake