Iringa: Mwanafunzi wa Mwaka wa pili amnyonga mpenziwe wa mwaka wa pili na kutuma ujumbe kwa Wazazi wa Marehemu

Katika njia ngumu kuua ni kunyonga na kumziba mtu pumzi
 
kwahiyo unataka Tanzania nzima tuoane au sijakupata?
 
Haya ndio madhara ya kuingia kwenye mapenzi kwa mihemko.
 

Inasikitisha sana ,Poleni ndugu ,jamaa na marafiki ....Age ya 19-29 ni hatari sana kwa mihemuko na maamuzi ya ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…