Iringa: Mwanafunzi wa Mwaka wa pili amnyonga mpenziwe wa mwaka wa pili na kutuma ujumbe kwa Wazazi wa Marehemu

"enyi vijana sikilizeni mnapokuwa masomoni acheni mchezo na mapenzi mnawapa shida wazazi wenu"
Mapenzi hayakwepeki ila tunakuwa makini. Yani unatoka chuo hujawahi kuwa na hisia na mtu? Ndoa si utajinyonga ukikosewa kidogo tu. Wanaotakiwa kuyaepuka ni walokole na masheikh washika dini sana. Sisi wa kawaida tunapenda kwa kiasi, na mikasa ipo ila sio ukichaa wa mtu mmoja ufanye ionekane ni kosa kupenda. Hata kwenye ndoa wana magunia ya mkaa wengine.
 


Kumbe ukisema:

^JPM alikuwa na mapenzi mema na nchi yake,^ ni kosa la jinai!???

Halafu, siku hizi neno moja haliwezi kuwa na maana zaidi ya moja tena!???
 
Daah!!! hivi kumbe wivu wa mapenzi kupelekea mpaka kuuana bado upo??
 
hua mna maana gani vile???
 
Kumbe ukisema:

^JPM alikuwa na mapenzi mema na nchi yake,^ ni kosa la jinai!???

Halafu, siku hizi neno moja haliwezi kuwa na maana zaidi ya moja tena!???
Inategemea hilo neno "mapenzi" unalitumia katika muktadha upi. Mimi nimemaanisha matumizi ya hilo neno katika mahusiano. Wenye akili zao kichwani wamenielewa.
 
Hawa vijana wapewe elimu ya kujithamini wao kama wao, kuliko kufikiri yupo mtu mwingine wa kukupa thamani, people are always there to disappoint you...
 
Mapenzi haya yanatesa wanachuo mnoo😡😡
 
Kwahyo umerudia uzi wa mtu kwenye comment..hiv mkoje
 
Dogo apelekwe gereza la Pawaga au Mafinga akalime huku akiwa ameolewa na nyapara ndio akili zake zikae sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…