Iringa: Mwanafunzi wa Mwaka wa pili amnyonga mpenziwe wa mwaka wa pili na kutuma ujumbe kwa Wazazi wa Marehemu

Nafahamu
Tumaini, RUCU na MUCE,

Hicho cha Iringa kinamilikiwa na nani?
Tumaini iringa saizi sio tena chuo kishiriki cha tumaini ndo maana kinaitwa iringa university zamani tumaini
 
Asante mkuu. Na pongezi kubwa sana kwako. Kuna watu uandishi bado sifuri kabisa.
 
hivi watoto tukiwanyima simu za mkononi inaweza ikasaidia ?
hivi watoto tukiwanyima simu za mkononi inaweza ikasaidia ?
Tatizo sio simu , tatizo ni malezi.
Usfikiri wazazi wanapoanza kuzisingizia smartphone ukawaamini.. hzio ni sababu tu wanazitafuta baada ya kushindwa kulea watoto wao kwa maadili.
 
Familia ya marehemu sijui wapo kwenye hali gani hivi sasa.

Nawapa pole
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaaah
 
Guilty consciousness ni noma.... vijana wengi wanadhani kuua ni kazi ngumu, wengine vimeo, kibao kimoja, kamata shingo, mtu kakata moto. Unabaki unatoa macho, unadhani anatania kumbe ni kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Mitoto ya mikoani inasoma kuanzia la kwanza hadi form six bila kuonja papuchi. Papuchi wanazikutia chuo, ndio madhara yake haya.
Sisi hukuTemeke Mikoroshini mapenzi tumeanzia darasa la pili. Papuchi zote tunazifahamu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wazazi hasa WA kike wangekuwa wanajua wamepeleka watoto kuolewa na si kusoma wangetumia hizo pesa Kwa kazi nyingine, ni aibu robo tatu wameolewa na kuishi kinyumba na wanafunzi wenzao wachache Sana watu Baki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambo ya chuo hayo,
 
Yaaani nilichogundua there is no perfect murder. Sijui huwa inakuwaje unakamatwa tuu. Sasa ukiwaza ni kitu gani kilimfanya atume msg huwezi elewa.
Kumbe yeye ilitakiwa asepe mazima na kutorokea mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…