Iringa: Mwanafunzi wa Mwaka wa pili amnyonga mpenziwe wa mwaka wa pili na kutuma ujumbe kwa Wazazi wa Marehemu

Iringa: Mwanafunzi wa Mwaka wa pili amnyonga mpenziwe wa mwaka wa pili na kutuma ujumbe kwa Wazazi wa Marehemu

Dah, umenikumbusha mbali sana. Wakati niko primary siku moja nimeitwa na mwalimu wa discipline, kufika nakutana na kesi; kuna vibinti viwili vimepigana kisa vinagombania [emoji15][emoji15][emoji15]. Nikabaki nashangaa maana nilikuwa sina hata interest nao. Teacher kageuza kibao, ugomvi wao ni kosa langu! Kulikuwa na walimu kama 6 mle ofisini, nilikula bakora balaa.

Mpaka leo nina alama mguuni ya kile kipigo cha ugomvi nisiojua umetokea wapi [emoji23][emoji23][emoji23]. Kushitaki home nilishindwa maana ingekuwa noma zaidi. Anyways, uswahilini mapenzi vitoto vinaanza vidogo, darasa la 4 vibinti vinalamba koni kuliko mama zao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baada ya kucharazwa bakora, hukuvitafuta hivyo vitoto vikupunguzie machungu? Daaaah
 
Wahehe bwana sijuhi walimkosea nini Mungu..!!kuna jamaa alijiua pale UDSM baada ya kufeli kozi.

Inabidi tufanye ibada ya kitaifa kuwaombea wahehe ,pepo la kuua na kujiua liwatoke[emoji23][emoji23]
Ali sup au disco kabisa? [emoji23][emoji23][emoji23] mweeeeh
 
Mapenzi kwenye umri mdogo huwa ni hatari sana,hasa kunapotokea kusalitiana...
ni ujinga tu mkuu, mimi nilikuwa na girlfreand wa kwanza nikiwa la 7, na nilikuwa na akili tosha, singeua saabu amenisaliti, namuacha tu, sema ni upungufu wa akili kwa hiki kizazi
 
Siku hizi wanapanga chumba mtaani wanaishi kama mke na mume vile..
mimi kwa maoni yangu hao watoto hakuna cha kusoma, yaani unakuta wanakaa chumba moja kaa wife na hubby, watasoma lini, na ndio sababu siku hizi wanamaliza vyuo na hauwezi kuwapa ajira, nimehoji kadhaa ambao wako na degrees na unakuta kuna ile tunaita MISMATCH, between kile kiko kwa karatasi yaani hio degree na kile kiko kwa kichwa cha huyu ambae ako na hiyo degree kwa karatasi, kazi kweli, ndio wanakaa miaka wakiwa mitaani, kazi ni ngono na mambo kaa hayo huko chuoni
 
Mapenzi kwenye umri mdogo huwa ni hatari sana,hasa kunapotokea kusalitiana...
Kweli asee...mi mwenyewe almanusura niuliwe sitakuja kusahau[emoji22]

Nilipigwa mimbata, mangumi, mateke, mwisho kabisa nikatundikwa darini[emoji24][emoji24]

Sema yule bwege manina zake, japo now kakua sijui kama anaendeleza huo wivu wa kishamba



Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
mimi kwa maoni yangu hao watoto hakuna cha kusoma, yaani unakuta wanakaa chumba moja kaa wife na hubby, watasoma lini, na ndio sababu siku hizi wanamaliza vyuo na hauwezi kuwapa ajira, nimehoji kadhaa ambao wako na degrees na unakuta kuna ile tunaita MISMATCH, between kile kiko kwa karatasi yaani hio degree na kile kiko kwa kichwa cha huyu ambae ako na hiyo degree kwa karatasi, kazi kweli, ndio wanakaa miaka wakiwa mitaani, kazi ni ngono na mambo kaa hayo huko chuoni
Acha watu wa enjoy life bhana, ila hii ni ajari kazini. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli asee...mi mwenyewe almanusura niuliwe sitakuja kusahau[emoji22]

Nilipigwa mimbata, mangumi, mateke, mwisho kabisa nikatundikwa darini[emoji24][emoji24]

Sema yule bwege manina zake, japo now kakua sijui kama anaendeleza huo wivu wa kishamba



Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kheeeeeeh ilkuaje dea? Hebu nigawie huo ubuyu na mie.
 
Hili neno, "mapenzi", linakosewa sana matumizi yake. Mapenzi ni kati ya wanandoa tu, nje ya hapo siyo mapenzi bali ni, "zinaa na uasherati".

Jamii yetu inapaswa kubadilika, mfano, kichwa cha habari hii kilipaswa kusomeka hivi; "MWANAFUNZI WA MWAKA WA PILI AMNYONGA MWASHERATI MWENZAKE".
Sawa kabisa, tunakosea sana kwa kuupamba ubaya kwa jina zuri. Hao hawakuwa na mapenzi la sivyo wasingeanza kuuana!
 
Dah, umenikumbusha mbali sana. Wakati niko primary siku moja nimeitwa na mwalimu wa discipline, kufika nakutana na kesi; kuna vibinti viwili vimepigana kisa vinagombania [emoji15][emoji15][emoji15]. Nikabaki nashangaa maana nilikuwa sina hata interest nao. Teacher kageuza kibao, ugomvi wao ni kosa langu! Kulikuwa na walimu kama 6 mle ofisini, nilikula bakora balaa.

Mpaka leo nina alama mguuni ya kile kipigo cha ugomvi nisiojua umetokea wapi [emoji23][emoji23][emoji23]. Kushitaki home nilishindwa maana ingekuwa noma zaidi. Anyways, uswahilini mapenzi vitoto vinaanza vidogo, darasa la 4 vibinti vinalamba koni kuliko mama zao.
Itakuwa we ni lihandsome balaa[emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom