Na yeye alikua anafanya nn huko?
Msitujumlishe watanzania wote, andamananeni na wapuuzi wenzenu. Mkifuata sheria mnapungukiwa nini?
There are currently 1526 users browsing this thread. (340 members and 1186 guests). SO SAD.
Mambo mawili yanatakiwa kufanyika ili kumaliza hili tatizo.
1.Askari wote walio husika washitakiwe,RPC asimamishwe kazi,IGP asimamishwe kazi.
2.Chadema ifutwe.
Vituo vya tv vinakua kama vimefungwa na serikali hii habari haijaonyeshwa kwenye taarifa ya habari yoyote ni aibu kubwd sana kuwa na vyombo vya habari kama hivi
Mpaka dakika hii , hatujaona hiyo taarifa ya mauaji yaliyofanywa na Police ! Why? Why?.
Ukiangalia mtiririko wa taarifa ni kama CDM wameanza kujitoa mhanga kwa mabomu ya kujilipua wenyewe,hongera Dr Slaa kwa kuendeleza vurugu na kusababisha mauaji.