TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

Mbona hii picha ya ITV imenistua?Ukiangalia kwa makini kabisa,mmoja wa Askari wale wanaoshuka kwenye gari,ANAONEKANA ANAMLENGA MTU MAHUSUSI KWENYE LILE KUNDI MBELE YAKE?Please huyu bwana Mwandishi alikuwa anatafutwa na hawa Poli-CCM toka mgomo wa Madaktari,waalimu kwa kukaidi kutorusha taarifa zinazowachukiza CCM?
 
hata mi nimepigwa na butwaa, ITV vip mmepigwa mkwara.?

wameionyeba bana,ila kuna huyu repota wa tbccm-iringa anasema amepigwa na bomu la machuzi hivi kweli bomu la machozi linaua?

source:tbccm habari saa 2 jion leo
 
wewe maskini wa mawazo!kuchoma file za cdm ndo kufuata sheria?kumuua mwandsh wa habari pia ni sheria?naifahamu katiba nieleze hvo vifungu.je kuendelea kwa mikutano ya ccm ndo sheria?acha upumbavu wewe!

Sijui elimu yako, ila ukianza na wrong premise(kuvunja sheria) utamaliza na wrong conclusion. Huo mkusanyiko usingekuwepo nani angekwenda kumuuwa Mwangosi nyumbani kwake? Au leo tu ndio hiyo ofisi imenunua mafaili hadi polisi wayachome? Hatuwezi kuwa na nchi isiyofuata sheria, mkitaka nendeni Somalia hakuna serikali.
 
wewe maskini wa mawazo!kuchoma file za cdm ndo kufuata sheria?kumuua mwandsh wa habari pia ni sheria?naifahamu katiba nieleze hvo vifungu.je kuendelea kwa mikutano ya ccm ndo sheria?acha upumbavu wewe!

Mkuu nenda nae taratibu huyo wala usimshambulie,m.j.i.n.g.a hasiye elimika uwa dawa yake ni kumuelimisha kwanza mpaka anakaa sawa!kwanza hayo hayakua maandamano wala mkutano wa hadhara,pili kuandamana na mikutano ya adhara ni haki ya msingi kikatiba bila kubughudhiwa na polisi,kwa hiyo ni wazi huyo mtu aliyetoa lawama za maandamano anahitaji ukombozi wa kifikra kwanza
 
hata channel Tena hawajaonyesha hii habari?
Utashangaa Magazeti ya kesho, Jamboleo, Uhuru and the like...Chadema yaua mwandishi iringa!!! Kweli Ufisadi ni killer number moja, hata zaidi ya Ukimwi
 
Ndago mliua mkasema mwigulu,morogoro mkasema polisi,leo tena mmeua iringa,mnataka kutumaliza?
 
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Iringa Michael Kamuanda ametoa kauli hiyo leo ofisini kwake alipozungumza na waandisha wa habari kuhusu zuio la mkutano wa Chadema uliopangwa kuanza leo katika wilaya ya Mufindi.


" Nawatangazia wanasiasa na vyama vyote vya siasa pamoja na wananchi wa mkoa wa Iringa kuwa hakutakuwa na mikutano ya kisiasa kutokana na shughuli za sensa zinazoendelea ....hivyo basi nawaomba wananchi wote kutoshiriki mikutano yoyote ya kisiasa itakayoitishwa na wanasiasa "alisisitiza


"Wananchi wote wa mkoa wa Iringa mnaombwa kutii sheria bila shuruti hii ni amri ....nawaombeni sana wananchi kutodanganywa na wanasiasa kwa kuvunja sheria "aliongeza kamanda huyo wa polisi.

Majibu ya Dkt Slaa
Wakati jeshi la polisi likipinga shughuli hizo za vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara
katibu mkuu wa Chadema Taifa Dkt Willbroad Slaa ameibuka na kusema kuwa chama chake kitaendelea na mikutano kama kilivyojipangia na kuwa wapo tayari kwa lolote litakalojitokeza .

"Tumemsikiliza kamishina wa sensa Hajati Amina Mrisho Said kuwa hadi sasa watu asilimia 95 wameandikishwa huku akiwata wale ambao bado kuwapigia simu wenyeviti wa mitaaa na vijiji ili wakaandikishwe na makarani wa sensa ....sasa jeshi la polisi linataka kutuambia kuwa hao watu asilimia 5 waliobaki wapo Iringa peke yake hadi wakazuia mikutano yetu? tunasema hatutakubali tutaendelea na mikutano yetu kama kawaida hatupotayari kabisa kusubiri hadi tarehe nane" alisema Dkt Slaa.

Pia alisema kuwa kama ni uzalendo sasa umefika kikomo na kuwa wataendelea na ratiba zao za mikutano kama ilivyopangwa na watapambana kwa lolote .
Kabla ya yote R.I.P. Daud Mwangosi.

Hapo kwenye RED & BLUE: NO COMMENTS
 
Polisi polisi polisi, dah Mungu awalipe hapa hapa duniani, what goes around comes around....na mishahara yenu itaendelea kuwa hivyo hivyo, rushwa ndio mkombozi wenu...to hell jeshi la polisi, i really hate you....
 
Sijui elimu yako, ila ukianza na wrong premise(kuvunja sheria) utamaliza na wrong conclusion. Huo mkusanyiko usingekuwepo nani angekwenda kumuuwa Mwangosi nyumbani kwake? Au leo tu ndio hiyo ofisi imenunua mafaili hadi polisi wayachome? Hatuwezi kuwa na nchi isiyofuata sheria, mkitaka nendeni Somalia hakuna serikali.
unajua mkuu hawa jamaa CDM imewaingia kiasi kwamba hawaoni tena maovu yake. Akili zao ni kama kina Slaa,wako tayari hii nchi iingie kwenye vita ilimradi wao waingie ikulu. Wamekua ni kero sasa.
 
Dr Slaa aliposema nchi haitatawalika nilidhani ni jazba na hasira za kukosa urais ambao anauota siku zote,lakini sasa hivi ninapata picha kamili ya dhamira yake.Anatumia kila njia kuhalalisha ujambazi wake wa siasa kufikia malengo yake,shime watanzania tukatae siasa za aina hii, Dr Slaa ni Foday Sankoh mwengine anatoa kafara watu ili afanikiwe katika malengo yake.Nilishangaa kuona wanafanya party kwa mchungaji Msigwa baada ya mauaji ya Morogoro sitostaajabu sasa hivi akiwa anakunywa mvinyo kujipongeza kwa kifo cha Daudi Mwangosi.Roho za watanzania hawa zitakuandama popote uendako..

Kweli wewe ni makalio kabisa.
 
Mambo mawili yanatakiwa kufanyika ili kumaliza hili tatizo.
1.Askari wote walio husika washitakiwe,RPC asimamishwe kazi,IGP asimamishwe kazi.
2.Chadema ifutwe.

Kumbe ndiyo mpango wenu huo wa agenda namba 2?!? have to tell you, go back to whoever sent you and report hiyo HAIWEZEKANI.. and what you resist(CHADEMA) persist!.
 
Mkuu nenda nae taratibu huyo wala usimshambulie,m.j.i.n.g.a hasiye elimika uwa dawa yake ni kumuelimisha kwanza mpaka anakaa sawa!kwanza hayo hayakua maandamano wala mkutano wa hadhara,pili kuandamana na mikutano ya adhara ni haki ya msingi kikatiba bila kubughudhiwa na polisi,kwa hiyo ni wazi huyo mtu aliyetoa lawama za maandamano anahitaji ukombozi wa kifikra kwanza

Jaribu kufuatilia tamko la CDM kabla ya tukio hilo, kisha uje na facts zako zikiwa zimenyooka.
 
Back
Top Bottom