TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA


Unamuita boyfriend yenu Hitler ?
 
Aiseee watoto wapo wapi?
Iringa ndo wapo!
Wakati nimeenda iringa 1 alikuwa chuo,2 secondary ,wa mwisho alikuwa mdogo km Drs la 2 hivi.
Wale wawili wote I think watakua wanamalizia chuo

Sshv yule mdogo atakuwa secondary Kuna msamaria mwema alimchukua.
 
Miaka 12 imepita na matukio yanazidi kuongezeka.
God have mercy.
 
Iringa ndo wapo!
Wakati nimeenda iringa 1 alikuwa chuo,2 secondary ,wa mwisho alikuwa mdogo km Drs la 2 hivi.
Wale wawili wote I think watakua wanamalizia chuo

Sshv yule mdogo atakuwa secondary Kuna msamaria mwema alimchukua.
πŸ™πŸ™πŸ™ God Bless them πŸ™πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…