habari za kweli kutoka itv ni kuwa hawakuwa na mkutano wowote bali kulikuwa na ufunguzi wa tawi pele mufind ss polisi wakavamia na kuanz akurusha mabomu moja limrmpiga mwandisha huyo wa chanel ten tumboni ka utumbo kutoka nje na kufa hapo hapo kamanda wapolis kapigiwa simu na mwandisha wa habari itv anasema yeye aliruhusu nikutano ya ndani ikiwemo kufungua matawi ss anashagaa polisi kurusha mabomu du hii ndo bonga