TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

mungu atuepushe na yote hayo,hivi hii nguvu si tuitumie kukomboa ziwa nyasa?
 
Walim target(snipe),ama ni random shootings?Alikuwa maeneo gani ya kwenye mkutano?
 
Dah mwili wangu umekufa ganzi..namfahamu mwangosi alikuwa anakuja sana tosamaganga kipnd nasoma kule..mungu anajua bt ccm ipo mwisho mwisho...
 
THis is too much, just too much

nadhani ni too much of a too much tonavyokaa na kulalama kwenye keyboards tu

Tangua mauaji ya polisi kwa raia yaanze (zaidi ya miaka miwili sasa); sijasikia mkuu yoyote wa polisi iwe kata, wilaya, mkoa taifa aliyechukuliwa hatua yoyote zaidi ya wao kutoa matamko yasiyo na maana kwenye media

NA USISHANGAE UKAONA HATA MEDIA, AMBAYO SASA IMEGUSWA DIRECTLY, BADO KWA KUPITIA BROWN BAGS, IKAKAA KIMYA
 
kwani si tungeenda kutupia ziwa nyasa tu hayo!angalau hata tuokote samaki MBASA!
 
Samahani kama sikuelewa, habari ni kuwa amepigwa risasi au ameuawa kwa kupigwa risasi? Tuache utani, yote si mema, lakini tafadhali tusiandike maneno mazito kama hayo wakati hatujapata taarifa zaidi za hali yake. Sina neno lolote mkuu Royals, ila naomba kabla hatujajua kilichotokea kwa dhati tusikimbilie kuandika R.I.P! Mkuu marejesho ameuliza Vipi hali yake? Naomba mwenye habari zaidi atupatie.

Mkuu,
mleta habari amesema amepigwa risasi na polisi, wee unadhani polisi hawajafundishwa shabaha kule CCP?
 
Itashangaza kama RPC ataunda tume kuchunguza mauaji yaliyosababishwa na polisi! Inauma sana
 
RPC atasema polisi hawatumii risasi za moto. Polisi itaunda tume kuchunguza. Polisi itatangaza yenyewe kama waliomuuwa nu CDM! Kila kitu wao!

Hata daktari atakayechunguza polisi ndiyo watatangaza matokeo!

By the way serikali ina jibu gani kwamba leo hii CCM wanafanya mkutano wao lakini CDM hapana.

Mkuu, CCM wamefanya wapi mkutano leo??
 
Mkuu eneo la tukio uje na ufafanuzi mzuri mazingira ya kifo lakini marehemu apumzike kwa amani.:rip::A S-rose:
 
wewe una matatizo gani huwez hata soma thread zngine ukaelewa? Dah....

Kuuliza sababu ni kuwa na matatizo hakuna anayefurahi mtu kupigwa risasi, unataka kuleta ushabiki wa kipuuzi.
 
Hatuna uongozi nchi hii ni aibu!




Wacha utukutu kaka/dada it doesn't matter where he was, and the circumstances, we aren't in a banana republic. Its time polisi wasibebe silaha za moto uraiani this is too stupid!


The reason nimeuliza mazingiriza kiongozi ni ili kubaini mkakati wa polisi. Kwa mbali naona kama polisi wana/wamepewa mkakati wa kuwachonganisha CHADEMA na waandishi wa habari. Na lengo ni kufanya waandishi wa habari ama wasihudhurie mikutano ya CHADEMA au waandike vibaya CHADEMA.
 
Mungu ni mwema sana na hachezewi. Kama ni kweli CCM iko nyuma ya huu unyama wa kutoa maisha ya Watanzania kwa sababu zao binafsi, basi naamini Mungu atatuonyesha Kama alivyofanya Morogoro(Katibu wa CCM).Damu ya mwana wa Mungu haimwagiki bure hapa Duniani. Kama kuna mkono wa CCM Mungu atatupa jibu muda si mrefu.

Mungu ailaze Roho ya Marehemu mahala pema Peponi...Amina.
 
Back
Top Bottom