TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

Kama wajifunza kuua basi sisi tumejifunza kufa.kumbe ndo maana yule bad face alisema liwalo na liwe.
 
Ishakuwa Libya, tatizoZanzibar ni ndogo ,lakini naamini kabisa kama ingekuwa kubwa kama Tanganyika basi wakato huu kungekuwa kunazungumzwa hadithi zingine ,maana ingekuwa ama zao ama za wananchi ,huko bara mmezubaa !!

Kwa mara ya kwanza toka nikujue leo umeandika kitu kikanifurahisha

Tumezubaa kweli sio uongo........kazi kubwa tunayoijua ni kulalamika kwenye keyboard bila kuchukua hatua!
 
Ni hatari sana hawa police,utampiga vipi risasi mtu asikuwa na silaha?
 
MUngu akuweke mahali pema peponi ni njia yetu hata waliofanya hivi nao ipo siku wataonja mauti tu!
 
Bomu la machozi = Kuua
Risasi za moto = Kuua

Bomu la machozi = Risasi za moto?

R.I.P D. Mwangosi, nilikufahamu sana.
 
sababu imeandikwa n mkutano wa CDM au huoni

Habari zipo nyingi hata wewe hujui kilichotokea kuna wengine wanasema kapigwa bomu wengine risasi labda tuambie wewe habari ya uhakika.
 
Oh my God,whats wrong with our police,i cant believe,waache kuzuia mabadiliko kwa nguvu
 
death will never hold us hostage, strugle will continue as death increase, lastly change will come. aluta continua.
 
Ilikuwaje hasa kwenye huo mkutano?Ulikuwa mkutano hauna kibali au nini?kapigwa bomu la machozi au bomu kama bomu?Sijawahi sikia polisi walitumia mabomu kutuliza ghasia!
 
Imeniuma sana! So wananchi what next?
 
[h=2]September 2, 2012[/h] [h=3]BREAKING NEWssssssss MWENYEKITI WA IRINGA PRESS CLUB DAUDI MWANGOSI AMEFARIKI DUNIA KATIKA VURUGU ZA CHADEMA IRINGA[/h]
Habari za hivi punde; Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa (IPC), Daudi Mwangosi, pichani - amefariki dunia kijiji cha Nyololo, Mufindi, Iringa baada ya kutokea vurugu baina ya polisi na wafuasi wa chama cha Chadema.Habari zilizotufikia kutoka huko, zinadai kuwa Mwangosi, ambaye ni mwandishi wa habari wa Channel 10, amefariki papo hapo.Tuaendelea kuwahabarisha zaidi


577101_377757872294889_183352309_n.jpg


Source:-www.francisgodwin.blogspot.com (mmiliki wa mtandao ni mmoja wa waandishi wa habari hapa Iringa)
 
Back
Top Bottom