ntagunga
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 704
- 285
Mwwenyekiti na Chama cha Waandishi wa habari mkoa wa Iringa na mwandishi wa habari wa Channel 10 amepigwa risasi na polisi kwenye mkutano wa CHADEMA Mufindi
RIP Shujaa, amefia katika kazi yake. Lakini hali hii itaendelea hadi lini?