Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ufe tu ukome
Nakuhakikishia kauliwa na chadema.
Ubongo wako unasisimizi.
Sijui elimu yako, ila ukianza na wrong premise(kuvunja sheria) utamaliza na wrong conclusion. Huo mkusanyiko usingekuwepo nani angekwenda kumuuwa Mwangosi nyumbani kwake? Au leo tu ndio hiyo ofisi imenunua mafaili hadi polisi wayachome? Hatuwezi kuwa na nchi isiyofuata sheria, mkitaka nendeni Somalia hakuna serikali.
Wewe utaishi milele! kwi kwi kwi teh teh teh!
"Umetoka kwa udongo utarudi kwa udongo"
kwani Tanzania hakuna vazi ambalo linamtambulisha mwanahabari akiwa ktk mazingira ya utata! kama vile VIKOTI vya PRESS, MEDIA au KITAMBULISHO KIKUBWA KIFUANI! polisi hawkumtambua hata wanasema aliekua anamtetea ilibidi yeye achukue zamana ya kumtambua na kuwajulisha wenzake kwamba huyu ni mwandishi wa habari! msininukuu vibaya sijamshutumu mtu yeyote wala chombo chochote! Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi!
Huyo mwandishi kajitowa mhanga afe na Polisi. Semeni kweli, msitake kupindisha ukweli. Lakini itajulikana bomu kalitowa wapi.
Bomu la machozi halikusambaratishi namna ile.
Kadanganywa na wana siasa uchwara akaona anafanya la maana.
Wanaoingia madarakani kwa kutumia magazeti,watatumia mtutu kusalia madarakani alisema mh sumaye na leo yanatokea.tusubiri
Wako una E coli.
Huyo mwandishi kajitowa mhanga afe na Polisi. Semeni kweli, msitake kupindisha ukweli. Lakini itajulikana bomu kalitowa wapi.
Bomu la machozi halikusambaratishi namna ile.
Kadanganywa na wana siasa uchwara akaona anafanya la maana.
SUMAYE ALILIONA HILI MAPEMA! Tutaisha ndugu zangu!
Huyo mwandishi kajitowa mhanga afe na Polisi. Semeni kweli, msitake kupindisha ukweli. Lakini itajulikana bomu kalitowa wapi.
Bomu la machozi halikusambaratishi namna ile.
Kadanganywa na wana siasa uchwara akaona anafanya la maana.