Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
UmenifananishaAlafu wewe ndo mana ile siku walikua wanakutukana...
Una mambo ya ajabu sana ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmenifananishaAlafu wewe ndo mana ile siku walikua wanakutukana...
Una mambo ya ajabu sana ππππ
Ni wewe mkuu nakumbuka ni jukwaa la chakula mpaka ukawa unachangia mada ya kupika wali kwa mafuta ya karangaUmenifananisha
Sijawahi kukanyaga hilo jukwaa kabisa π€£Ni wewe mkuu nakumbuka ni jukwaa la chakula mpaka ukawa unachangia mada ya kupika wali kwa mafuta ya karanga
Wapare Wana shida gani mkuu?π€Wakuu nimechoka kuishi gheto , mchumba niliyekuwa nae alisema bado hajawa tayali kuolewa.
Umri - miaka 36..
Kazi-Seremala
Mwanamke awe na miaka 28 kushuka chini, na asiwe mpare na awe anaishi Ndani ya mkoa wa Iringa.
Mwenye sifa aje PM.
ahaa kumbe.Na mimi naongeza ombi juu yako hapo, mke nataka toka huko huko aliko mleta mada
Umri : 41
Kazi : Hawker/street vendor
Nitapata kijana?ahaa kumbe.
sijatamani kitu mkuu mbona unapenda kunijaribuHapo tayari umetamani umbo la bibi yako,macho na .......
au ile picha kakaa kwa bed kavaa pensi
π€£
Ni wewe mkuu ngoja ni screenshot maana niliona ushauli wako unasema kuhusu mafuta ya karanga na faida zakSijawahi kukanyaga hilo jukwaa kabisa π€£
Jitahidi kula mboga za majani upate kumbukumbu nzuri
Hahaha sawa nasubiri, kama kweli ni mimi basi utapokea voucher ya Tsh 50,000 chaaaap kwa njia yoyote unayotaka wewe π€£Ni wewe mkuu ngoja ni screenshot maana niliona ushauli wako unasema kuhusu mafuta ya karanga na faida zak
Swa mkuuHahaha sawa nasubiri, kama kweli ni mimi basi utapokea voucher ya Tsh 50,000 chaaaap kwa njia yoyote unayotaka wewe π€£
Yaani mabinti wa Iringa ambao wao wenyewe wanaomba simu then anakuandikia namba yake napo umekosa?Wakuu nimechoka kuishi gheto , mchumba niliyekuwa nae alisema bado hajawa tayali kuolewa.
Umri - miaka 36..
Kazi-Seremala
Mwanamke awe na miaka 28 kushuka chini, na asiwe mpare na awe anaishi Ndani ya mkoa wa Iringa.
Mwenye sifa aje PM.
Hahaha sawa nasubiri, kama kweli ni mimi basi utapokea voucher ya Tsh 50,000 chaaaap kwa njia yoyote unayotaka wewe π€£
Hahaha sawa nasubiri, kama kweli ni mimi basi utapokea voucher ya Tsh 50,000 chaaaap kwa njia yoyote unayotaka wewe π€£
Uselemala unazaraulikaKama nawaona wadada wanavyotimka baada ya kusoma fundi seremala.
Unanidanganya kijana, weka link π
Mkuu nakufanganya vp sasa mbona unataka mambo yawe mengi daaahUnanidanganya kijana, weka link π
Primary gani nimewahi kuzungumzia humu? " nishawahi" π€£