AbaMukulu
JF-Expert Member
- Jan 1, 2018
- 2,053
- 3,586
Baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha hong way interntional ltd kilichopo Mafinga wanalalamika kwa kulazimishwa kulawitiana. Wanasema amri hiyo ilitolewa na askari baada ya kupelekwa kituoni kama watuhumiwa kwenye kiwanda hicho.
====
Vijana 5 Waliokua Wafanyakazi Wa Kiwanda Cha Hongway Walikamatwa Na Jeshi La Polisi Mafinga Mkoani Iringa Na Wakiwa Kituoni Hapo Polisi Hao Waliwanyoa Nywele Na Msumeno, Kuwaingizia Rungu Matakoni Na Kuwalazimisha WALAWITIANE Wenyewe Kwa Wenyewe.
====
Vijana 5 Waliokua Wafanyakazi Wa Kiwanda Cha Hongway Walikamatwa Na Jeshi La Polisi Mafinga Mkoani Iringa Na Wakiwa Kituoni Hapo Polisi Hao Waliwanyoa Nywele Na Msumeno, Kuwaingizia Rungu Matakoni Na Kuwalazimisha WALAWITIANE Wenyewe Kwa Wenyewe.