Iringa: Polisi wadaiwa kuwaamuru watuhumiwa wa wizi kulawitiana

Iringa: Polisi wadaiwa kuwaamuru watuhumiwa wa wizi kulawitiana

Tumia sense yako mkuu,kama wameweza kuwaingiza marungu matakoni na kuwanyoa nywele kwa msumeno,kuwalazimisha walawitiane wanashindwaje?!

Pesa imetembea madaktari wapike,mwanaume gani anapenda kusema wazi wazi kuwa amefirw@ polisi?!

Luna masheikh wapo hapo Ukonga na Segerwa wale wa UAMSHO mara kadhaa wamelalamika wanalawitiwa huko gerezani ili wakili makosa ya ugaidi,walitoa malalamiko yao pale Kisutu,hadi leo serikali kimya na wako ndani mwaka wa 5 sasa kuwa uchunguzi haujakamilika!!
UONGO hausaidii
watu tumeshaingia hizo Jela (Magereza) acha kaselo ka POLISI hapo Iringa
Ni wapi wamesema wamelawitiana, fuatilia clip mwanzo mwisho
kuna Ruge na Harbinder Sing aliyesema ana PUTO likipasuka tu anakufa mbona hakuna cha PUTO
Kuna viongozi wa siasa waliingia huko na wakaleta mrejesho
kama tabia ni yako hata mtaani utaifanya
lakini vijana wa Mchina waongo hao ni wezi watafute kazi ingine
 
Hii kali huyo police bado yupo kazini hadi leo hiii ? Anawaambukiza ukimwi namna hii !!
Wewe unauliza hili swali katika awamu hii? ? Kuna wale police walio muua aqwilina mbona wapo uraiani mpaka leo hii !!!!!#
 
Hawa vijana ni wezi na wavivu wanataka wamfukuze huyo Mchina wabaki na kiwanda wakiue tena
achana na uongo wa kutunga POLISI wameshakataa, haiwezekeni kabisa katika Interrogation wamejaa watu uambiwe mlawiti mwenzako ikasimama HIAWEZEKENI ( ni kitu ya faragha)
Ww nae tumia akili.
Uwepo wa watu wengi interrogation room inazuiaje amri kama hy kutolewa. Kuna kutoa amri na kutekeleza amri.
Halaf hata kama sisi nu masikini basi tusdhalilishwe. Unaweza kuta mwekezaji kafanya makosa makubwa lkn kwa vile tunaogopa kuwakimbikiza etii sasa uonewe na udhalilishwe tuu..
Sie tujiulize why polic watoe amri kama hy kwa mtu aliechini ya ulinzi
 
Ww nae tumia akili.
Uwepo wa watu wengi interrogation room inazuiaje amri kama hy kutolewa. Kuna kutoa amri na kutekeleza amri.
Halaf hata kama sisi nu masikini basi tusdhalilishwe. Unaweza kuta mwekezaji kafanya makosa makubwa lkn kwa vile tunaogopa kuwakimbikiza etii sasa uonewe na udhalilishwe tuu..
Sie tujiulize why polic watoe amri kama hy kwa mtu aliechini ya ulinzi
mm nitumie akili wewe unatumia Makalio?
kwanini usiirudie hiyo Clip mbona dk 3.05 wamejieleza vizuri hata mwanzo alipovua nguo amesema aliingiliwa na mwarabu?
usikurupuke kwa video za mitaani angalia basi wenzako wanachangiaje sio kumlawiti mwenzako hadharani ni kitu kidogo lkn upelelezi una mbinu nyingi
Ukisoma vizuri hawakuingiliwa. Walivulishwa nguo na mwarabu kupewa hiyo amri haramu ambayo hakuitekeleza.
 
Jitahidi kumsoma jamaa kwa utulivu utamuelewa.

Hizi Ni scenarios mbili tofauti Hao unawataja inasemekana wamelawitiwa as torturing chini ya vikosi maalum (Hilo psycholocaly linawezekana) katika hii tuhuma ya Hawa watutuhumiwa wa Wizi wao wanasema wamepewa adhabu ya kulawitiana as part of torturing wakiwa huko mahabusu (Hilo psycholocaly haliwezekani kwani katika mazingira hayo ya mateso iliwezekanaje ku erect)
Sheria inaruhusu wewe askari kumlawiti mtu?
Au ni Jamhuri nyingine sio hii ya Tanzania?
 
Usikatae sana mkuu.
Kwani wale masheikh wa Uamsho waliopo Segerea mbona walishawahi lalamika mahakamani kuingiliwa kinyume na ma askari? Haki iko wapi?
Hivi umewahi kukamatwa kweli? Sijui kwa nini unaamini huo ujinga.
 
hao polisi wajiandae na maisha uraiani, siku hizi hakuna kuremba
 
Inaweza kuwa wezi nao wanajitetea. Inaweza pia kuwa wamefanyiwa ushenzi na polisi. Video inasema ripoti ya hospitali haioneshi kupigwa wala kulawitiwa.

Kunahitajika ma "psychologist" au "lie detectors" kuwahoji wote, polisi na watuhumiwa kubaini ni yupi anasema kweli na yupi anasema uongo. Maana moja ya njia ya kujihami mtu afanyapo makosa ni kusema uongo, iwe watuhumiwa au polisi.

Tunaomba chunguzi wa kina na usio na upendeleo ufanyike
 
Maelezo ya walalamikaji wanapotaka kuziteka hisia zetu, walitakiwa kutoa maelezo yanayofanana na ukweli bila kuacha mashaka ama maswali.

Hivi kweli msumeno wowote, iwe wa kukatia vyuma ama kukatia mbao, unaweza ukamnyoa binadamu na nywele zikaondoka kichwani?

Je katika hali ya kisaikolojia ya kawaida, binadamu aliyeko kwenye kibano, kavurugwa, anaweza kusimamisha dudu layouyou na kisha kulisokomeza kwa mwanamme mwenzake?

Zisijekuwa tuhuma za kutunga ili kulichafua jeshi la polisi na kupunguza makali ya moto unaowawakia hao vibaka.
 
Kwa tukio hili, basi nchi yetu imesha uzwa kwa wachina, inabidi tu sasa kila mtu achukue hatua za kujiami na kujilinda mwenyewe.
Hiki ni kitendo cha kinyama na Rais anapaswa atoe tamko, ikiwa ni pamoja na wahusika wote kuchukuliwa hautua ikiwa ni pamoja na kuwafuta kazi kufunguliwa mashataka kuanzia IGP, RPC wa mkoa husika, mkuu wa kituo husika na askari wote waliofanya/amuru hicho kitend o kifanyike.
Pia mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa nao wachukuliwe hatua.
ACHA NIITWE MCHOCHEZI NA MBAGUZI, HICHO KIWANDA NI CHA KUMWAGILIWA PETROLI NA KUPIGWA KIBERITI.
Hawa wachina wachunguzwe, na ikibainika waliwalipa askari kufanya hivyo, wachukuliwe hatua za kisheria, ikiwa ni pamoja na kuwarudisha kwao
hutaliona hata moja kati ya ulio yasema.
 
Baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha hong way interntional ltd kilichopo Mafinga wanalalamika kwa kulazimishwa kulawitiana. Wanasema amri hiyo ilitolewa na askari baada ya kupelekwa kituoni kama watuhumiwa kwenye kiwanda hicho.

====

Vijana 5 Waliokua Wafanyakazi Wa Kiwanda Cha Hongway Walikamatwa Na Jeshi La Polisi Mafinga Mkoani Iringa Na Wakiwa Kituoni Hapo Polisi Hao Waliwanyoa Nywele Na Msumeno, Kuwaingizia Rungu Matakoni Na Kuwalazimisha WALAWITIANE Wenyewe Kwa Wenyewe.
Mboo itasimamaje?, tuanzie hapo.
 
Usikatae sana mkuu.
Kwani wale masheikh wa Uamsho waliopo Segerea mbona walishawahi lalamika mahakamani kuingiliwa kinyume na ma askari? Haki iko wapi?
Usipende sana umbea kiasi hicho mtuhumiwa anawezasema uongo wowote akiwa mahakamani ili tu aonewe huruma.
 
Kwa tukio hili, basi nchi yetu imesha uzwa kwa wachina, inabidi tu sasa kila mtu achukue hatua za kujiami na kujilinda mwenyewe.

Hiki ni kitendo cha kinyama na Rais anapaswa atoe tamko, ikiwa ni pamoja na wahusika wote kuchukuliwa hautua ikiwa ni pamoja na kuwafuta kazi kufunguliwa mashataka kuanzia IGP, RPC wa mkoa husika, mkuu wa kituo husika na askari wote waliofanya/amuru hicho kitend o kifanyike.

Pia mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa nao wachukuliwe hatua.

ACHA NIITWE MCHOCHEZI NA MBAGUZI, HICHO KIWANDA NI CHA KUMWAGILIWA PETROLI NA KUPIGWA KIBERITI.

Hawa wachina wachunguzwe, na ikibainika waliwalipa askari kufanya hivyo, wachukuliwe hatua za kisheria, ikiwa ni pamoja na kuwarudisha kwao
Wewe ukilazimishwa kumfira mwenzio katika mazingira km hayo ukuni utasimama?
 
Hawa vijana ni wezi na wavivu wanataka wamfukuze huyo Mchina wabaki na kiwanda wakiue tena
achana na uongo wa kutunga POLISI wameshakataa, haiwezekeni kabisa katika Interrogation wamejaa watu uambiwe mlawiti mwenzako ikasimama HIAWEZEKENI ( ni kitu ya faragha)
Ulitaka polisi wakubali iwe kashfa.Guantamo bay ilitokea kitu hio askari wa marekani walikuwa wakiwalazimisha magaidi wa alqaida kulawitiana naona askari wa bongo wameiga.
 
Back
Top Bottom