Iringa: Polisi wadaiwa kuwaamuru watuhumiwa wa wizi kulawitiana

uongo
km Madaktari wamekataa jamaa hajaingiliwa ina maana wamehongwa nao?

Tumia sense yako mkuu,kama wameweza kuwaingiza marungu matakoni na kuwanyoa nywele kwa msumeno,kuwalazimisha walawitiane wanashindwaje?!

Pesa imetembea madaktari wapike,mwanaume gani anapenda kusema wazi wazi kuwa amefirw@ polisi?!

Luna masheikh wapo hapo Ukonga na Segerwa wale wa UAMSHO mara kadhaa wamelalamika wanalawitiwa huko gerezani ili wakili makosa ya ugaidi,walitoa malalamiko yao pale Kisutu,hadi leo serikali kimya na wako ndani mwaka wa 5 sasa kuwa uchunguzi haujakamilika!!
 

Hapana mkuu paipu inasimama hasa ukiipaka wese na kuipiga piga kama unapiga nyeto
 
Mimi bora wangeniua shida wabongo uoga .polisi siyo mungu ,ujinga huo
 

Yakikusibu ndipo utajua kuwa hao vijana ni waongo au ni wakweli.
 
Nashangaa sana wanaopinga hili swala. Kuna makubwa zaidi ya hayo wamefanyiwa watu Tena Watanzania wenzetu na hawana pa kuyasemea. Mfano walio tuhumiwa kumuua mfanyabiashara Erasto Msuya pale Kilimanjaro Kia kuna mmoja alihasiwa na polisi kwa kupigwa na kuingiziwa spoku ya baiskeli kwenye uume wake ili akiri. Na aliyasema hayo mahakamani na hakuna hata aliyekemea hilo.
 
Baada ya kuzoea kuteka na kukana sasa wameamua walazimishe watz kuwa mashoga..iko siku itawarudia wenyewe
 
Haaaahaaaa. Sasa kulana jicho nayo ni adhabu? Kama huna nia ya kutenda jambo hilo uume utasimama kweli?.Tuwe tunafikiri kabla ya kuweka post zetu.
 
Kusimama inasimama kama kawaida,wewe tetea hoja kuwa hao Askari hawawezi kufanya hivyo.
 
Mchina tena hawa jamaa waombe nisiwe raisi wa taifa hili watafutika kama vipepsi
 
uongo
km Madaktari wamekataa jamaa hajaingiliwa ina maana wamehongwa nao?
Ukisoma vizuri hawakuingiliwa. Walivulishwa nguo na mwarabu kupewa hiyo amri haramu ambayo hakuitekeleza.

Hayo mengine, kama kusokomezwa nywele sehemu zao za siri nk nk, sielewi yamekaaje katika ripoti ya daktari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…