Iringa: Polisi wadaiwa kuwaamuru watuhumiwa wa wizi kulawitiana

 
uongo
km Madaktari wamekataa jamaa hajaingiliwa ina maana wamehongwa nao?
Unaambiwa eneo hilo(the whole district) wamekamata Wachina, kama waliweza kuwaagiza💸💵 polisi kutekeleza ushenzi huo watashindwaje kumuelekeza💵💸 daktari namna ya kuandika repoti ya uchunguzi wake.
Money speaks all languages.
 
Mnajitetea baada ya kula hela za Wachina na kufanyia ubaradhuli Wabongo wenzenu, mafala sana nyinyi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…