Iringa: Polisi yaanza uchunguzi mauwaji ya Katibu wa CCM Kilolo

Iringa: Polisi yaanza uchunguzi mauwaji ya Katibu wa CCM Kilolo

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Hivi nchi yetu tunaelekea wapi jamani? Maana matukio ya kutisha yanazidi kutoea.

Haya Jeshi la Polisi mkoa wa Iringa limeingia kazini kufuatailia tukio la katibu wa CCM aliyeuwawa leo, Je watachukua muda gani kuja na majibu na pengine kuwakamata hao wauwaji?

==================

Jeshi la Polisi mkoani Iringa linachunguza tukio la mauaji ya Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo, Christina Nindi (56) kwa kupingwa risasi kifuani pamoja na kitu kizito kichwani na watu wasiojulikana.

Taarifa hiyo imetolewa na Kamanda ya Jeshi la Polisi Iringa, Allan Bukumbi leo Novemba 13, 2024.

Soma Pia:
 
Pole kwa wafiwa.

Haki ikitawala, dunia itakuwa salama.
 
Alipigwa risasi nyumbani kwake kilolo na kupoteza maisha.
Tunalitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa kina na makini ili kuwakamata wahusika wote walio tekeleza na walio panga mauaji.
Tunafahamu kuna chama kimoja cha upinzani kina miliki na kuendesha magenge ya kihalifu tunapaswa kuwachimba vilivyo.
 
Alipigwa risasi nyumbani kwake kilolo na kupoteza maisha.
Tunalitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa kina na makini ili kuwakamata wahusika wote walio tekeleza na walio panga mauaji.
Tunafahamu kuna chama kimoja cha upinzani kina miliki na kuendesha magenge ya kihalifu tunapaswa kuwachimba vilivyo.
Kifo ni kifo wachunguze nini sasa
 
Alipigwa risasi nyumbani kwake kilolo na kupoteza maisha.
Tunalitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa kina na makini ili kuwakamata wahusika wote walio tekeleza na walio panga mauaji.
Tunafahamu kuna chama kimoja cha upinzani kina miliki na kuendesha magenge ya kihalifu tunapaswa kuwachimba vilivyo.
Yule bibi aliyetoa kauli kwamba kifo ni kifo alikuwa anamaanisha nini ?
 
Mwenyekiti alisema 'kifo ni kifo tu' sasa uchunguzi wa nini tena??

Mara nyingi huanza kwa wengine, wakiisha wanafanyazian wenyewe kwa wenyewe.
 
Alipigwa risasi nyumbani kwake kilolo na kupoteza maisha.
Tunalitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa kina na makini ili kuwakamata wahusika wote walio tekeleza na walio panga mauaji.
Tunafahamu kuna chama kimoja cha upinzani kina miliki na kuendesha magenge ya kihalifu tunapaswa kuwachimba vilivyo.

Kwa nini sio mambo ya kibiashara unafikiri? Wale wengine huwa tunasema wamedhulumiana probably why not this mama?
 
Tunafahamu kuna chama kimoja cha upinzani kina miliki na kuendesha magenge ya kihalifu
Huu ni udhaifu mkubwa sana kama wamiliki wa dola, tiss na jeshi na mamlaka yote mnayo, mpaka sasa mmeshindwa kuwatia kifungoni namnawafahamu.
 
Kama wale waliojaribu kuteka mchana bado hawajulikani,hawa wa usiku watajulikana?
 
Miswapangie polisi jinsi ya kufanya kazi, kifo ni kifo tu kuna wengi wameuwawa na bado uchunguzi unaendelea
 
Back
Top Bottom