Iringa: Polisi yaanza uchunguzi mauwaji ya Katibu wa CCM Kilolo

Iringa: Polisi yaanza uchunguzi mauwaji ya Katibu wa CCM Kilolo

Alipigwa risasi nyumbani kwake kilolo na kupoteza maisha.
Tunalitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa kina na makini ili kuwakamata wahusika wote walio tekeleza na walio panga mauaji.
Tunafahamu kuna chama kimoja cha upinzani kina miliki na kuendesha magenge ya kihalifu tunapaswa kuwachimba vilivyo.
Green guards
R. I. P mzee mohamed Kibao
 
Alipigwa risasi nyumbani kwake kilolo na kupoteza maisha.
Tunalitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa kina na makini ili kuwakamata wahusika wote walio tekeleza na walio panga mauaji.
Tunafahamu kuna chama kimoja cha upinzani kina miliki na kuendesha magenge ya kihalifu tunapaswa kuwachimba vilivyo.
Uchunguzi wa Mohamed Kibao, umefikia wapi????
 
Ivi mtoa mada una,amini upo,sawa kweli kichwani? yaani Polisi wajishugulishe na,hilo ili iweje? na,kifo,ni,kifo,tu! au mkuki umeanza kuwaludia ???
 
Si tunaenda na nsemo wa kifo ni kifo. Isitoshe ni walewale wasiojulikana. Wataendelea na uchunguzi km wa mzee wetu Ali KIBAO R.I.P
 
Back
Top Bottom