'Iron Dome Imeshindwa': Bomu la Makombora 120 la Hezbollah la Fadi Kambi 3 za Jeshi la Israel huko Haifa na Tiberias

'Iron Dome Imeshindwa': Bomu la Makombora 120 la Hezbollah la Fadi Kambi 3 za Jeshi la Israel huko Haifa na Tiberias

Sipo kushabikia upande wowote wa vita lakini nimeshtuka kuona post hii ikiuliza kanisani kunahusiana nini na vita hivyo lakini wakati huo huo akashindwa kuuliza akili yake kwamba kobazi inahusiana nini na vita hivyo. Nna wasiwasi na akili huru za watanzania wenzangu. Tusipende saaana kushabikia mambo tusoyajua kwa kuegemea misingi ya Udini.
We nae mpuuzi Nini kwani Kobazi ni dini au nyumba ya ibada?
 
Anayekariri ni nani kati ya Wakristo na nyie unakuta katoto ka miaka 6 kamekariri kiarabu hakajui hata maana yake 😂😁 Koboko ya wachawi ndiyo Nini hata kuandika ni changamoto, kwahiyo Kwa akili yako hafifu wakristo wanatumia mafuta na wakristo Wote wanasali Kwa "KOBOKO YA WACHAWI", Hoja za kutetea magaidi zimeisha Sasa unahamia kwenye ishu nyingine zisizo na kichwa Wala miguu, Nincompoop 😁 Punguza porojo huna hoja kalale labda akili itacharge kidogo comment ndefu imejaa upuuzi😂 uote kuhusu bikra 72
Elimu kazi yake ni kukupa uelewa na inamsaidi binaadamu kuyamudu mazingira yake
Sasa wewe elimu inakusaidia nini kama hadi leo upo mitandaoni unajidhalilisha kwa kubishana na muandishi wa habari za kiuchunguzi
 
Elimu kazi yake ni kukupa uelewa na inamsaidi binaadamu kuyamudu mazingira yake
Sasa wewe elimu inakusaidia nini kama hadi leo upo mitandaoni unajidhalilisha kwa kubishana na muandishi wa habari za kiuchunguzi
Moja ya sifa ya kuwa mjinga na mpuuzi ni kudhani Kila ukiandika utumbo ni habari za kichunguzi na Kila mtu lazima akiunge mkono, dunderhead...😁 Hata taahira aliyeko mirembe hajijui kuwa ni mgonjwa unaweza kuwa mmoja wao
 
🤣🤣🤣🤣 Neta Nyau

1728292883671.png
 
Moja ya sifa ya kuwa mjinga na mpuuzi ni kudhani Kila ukiandika utumbo ni habari za kichunguzi... Hata taahira aliyeko mirembe hajijui kuwa ni mgonjwa unaweza kuwa mmoja wao
Kwahiyo upo kwenu ileje unashauri muandishi wa habari wa gazeti la guardian uingereza tumpeleke mirembe kisa kaandika vitu ambavyo huvipendi ,aise wewe ni wa kuonewa huruma
 
Kwahiyo upo kwenu ileje unashauri muandishi wa habari wa gazeti la guardian uingereza tumpeleke mirembe kisa kaandika vitu ambavyo huvipendi ,aise wewe ni wa kuonewa huruma
Kuna sehemu nimesema hivyo au akili zako za kidunderhead ndiyo zilivyoelewa😁😁 soma kitu uelewe Siyo kukurupuka tu Yale ni maoni ya mwandishi Kila mtu ana maoni yake maoni Siyo msimamo wa Kila mtu hata Al Jazeera walitoa maoni kuwasifia Hamas kuwa Sasa wanaenda kuishinda Israel walipovamia Oct 7 mwaka mmoja Sasa tunaona kilichotokea, tangu January wamerusha makombora 4 wakati mwaka jana walirusha 3000, engage your brain pls
 
Hayanaga akili haya Yani mtu anaona hata nchi za kiarabu zimeilist Hamas kama kikundi Cha kigaidi yeye yupo nanjilinji huko anawasifia? Hivi hawajiulizi watu kibao wanaokufa Gaza na Lebanon na hamna nchi ya kiarabu inawasaidia😁😁😁
Mtu yuko Nanjilinji anakula ming'oko anajifanya mwanaharakati
 
Post za kujifariji za Kobazi😁😁😁 hayo makombora yameanza kurushwa tangu 2006, tangu Oct 7 pekee makombora zaidi ya 30,000 yamerushwa kuelekea Israel na hakuna kilichotokea to date, ukienda Israel Leo maisha yanaendelea kama kawaida huku Kobazi wakiendelea kuteketea Gaza na Lebanon, endeleeni kuweka post za hivi kuishi Kwa matumaini ni muhimu sana🤓
Ona huyu kalio alivyo hana akili.
Kwa akili zako nani kakudanganya kuwa Israel hakuna madhara!?
*Galilaya millitary camp imelipuka iko disfunctional.
*Raia takriban laki tatu wamehama Kaskazini mwa Israel hadi sasa hawajarudi.
*IDF imepata askari takriban 70,000 walemavu wa kudumu.
Wewe mpuuzi mjaa kundi tumboni unasema hayakuleta madhara!??
Are you flicking insane!??
 
Hayanaga akili haya Yani mtu anaona hata nchi za kiarabu zimeilist Hamas kama kikundi Cha kigaidi yeye yupo nanjilinji huko anawasifia? Hivi hawajiulizi watu kibao wanaokufa Gaza na Lebanon na hamna nchi ya kiarabu inawasaidia😁😁😁
Kutokusaidiwa hakuhusiani na Hamas kuwa magaidi.
Hivi unajua kama UNGA wajumbe takriban 124 walikataa kuitambua Hamas kama terror organization na wakaipigia kura Palestina iwe free state!?
Una hiyo habari!?
Ama unajiropokea tu!?
 
Back
Top Bottom