ngoja ngoja
JF-Expert Member
- Jun 20, 2024
- 673
- 1,526
Hahahaha sasa umekataa nini umekubali nini ndio maana nikakuita mjinga kumbe ni sahihi kama inataka kulipa kisasi kwa mujibu wako kuna tatizo gani ayotallah akiwa ndani ya bunker au ndio umechanganyikiwa huelewi nini unasemaInaviziwa wapi ona poyoyo hili... Israel haivizii Iran wanataka kulipiza kisasi na ndiyo maana wanaishi Kwa hofu, wao ndiyo wameanzisha mchezo
Wewe nae sijui mpuuzi wa wapi... Kuvizia na kulipiza kisasi vinafanana? Umeishia la ngapi mbona kilaza hivyo?Hahahaha sasa umekataa nini umekubali nini ndio maana nikakuita mjinga kumbe ni sahihi kama inataka kulipa kisasi kwa mujibu wako kuna tatizo gani ayotallah akiwa ndani ya bunker au ndio umechanganyikiwa huelewi nini unasema
Sawa bidada endelea kupost picha za magaidi huenda picha zikaishambulia IsraelADUI WA UKRISTO NA UISLAM ANAPIGIKA SANA LEO
View attachment 3117534
⚡️🔥⚡️Al-Qassam Brigades."
Fighters blew up a house in the northern Gaza Strip that belonged to a Zionist squad of 10 soldiers; the enemy suffered heavy casualties⚡️🔥⚡️
Join 🇷🇺IL RUSSO🇷🇺
🔥 🇷🇺IL RUSSO🇷🇺 🔥
Haijalishi ufanano ni upi hoja inabaki palepale kwa mujibuwako inalipa kisasi je kuna kosa ayotallah kua kwenye bunker au akili umeazimisha kwa mudaWewe nae sijui mpuuzi wa wapi... Kuvizia na kulipiza kisasi vinafanana? Umeishia la ngapi mbona kilaza hivyo?
Special operations ya kuua mtu mmoja huku nguruwe 40,000 wakiteketea upande wako, thanks God sijawahi kuwa na akili ndogo hivi😁😁 Kobazi is a disgrace to this wordADUI WA UKRISTO NA UISLAM anachapika ile mbaya
View attachment 3117535
⚡️⚡️⚡️ IMPORTANT : Al-Qassam spokesman Abu Ubaidah:
We congratulate the special operation in Beer Sheva, which was carried out by one of our heroes from the occupied territories⚡️⚡️⚡️
Join 🇷🇺IL RUSSO🇷🇺
🔥 🇷🇺IL RUSSO🇷🇺 🔥
TUNAKULA KICHWA ADUI WA UKRISTO NA UISLAMSpecial operations ya kuua mtu mmoja huku nguruwe 40,000 wakiteketea upande wako, thanks God sijawahi kuwa na akili ndogo hivi😁😁
Kinachotoa matumaini wamekufa 40elf lakini wapiganaji wengi hawajafa hivyo kwenye battle field bado wapo sana hio ni advantage kwa hamasSpecial operations ya kuua mtu mmoja huku nguruwe 40,000 wakiteketea upande wako, thanks God sijawahi kuwa na akili ndogo hivi😁😁 Kobazi is a disgrace to this word
Advantage gani wakati Gaza strip ipo under control ya Israel Yani wanapigana kama guerilla warriors wanajificha kwenye mahandaki everytime, mwaka jana walirusha makombora 3000 kuelekea Israel mwaka huu wamerusha manne kweli Hamas wanaelekea kupata ushindi😂Kinachotoa matumaini wamekufa 40elf lakini wapiganaji wengi hawajafa hivyo kwenye battle field bado wapo sana hio ni advantage kwa hamas
Kazi uliyochagua ni ngumu sana 🤣 🤣 🤣 🤣Advantage gani wakati Gaza strip ipo under control ya Israel Yani wanapigana kama guerilla warriors wanajificha kwenye mahandaki everytime, mwaka jana walirusha makombora 3000 kuelekea Israel mwaka huu wamerusha manne kweli Hamas wanaelekea kupata ushindi😂
Kurusha rocket ndiyo unaita Kula kichwa😁😁😁 endelea kupost mapichapicha yanayoonyesha Israel kashindwa huenda mapichapicha yakasaidia mkashindaTUNAKULA KICHWA ADUI WA UKRISTO NA UISLAM
🚨🟡🚨Hezbollah publishes scenes on firing rockets at Maalot-Tarshikha settlement in the Zionist regime's north🚨🟡🚨
Join 🇷🇺IL RUSSO🇷🇺
🔥 🇷🇺IL RUSSO🇷🇺 🔥
Kuliko yako ya kutetea magaidi wenzioKazi uliyochagua ni ngumu sana 🤣 🤣 🤣 🤣
Unaongea kimafumbo wakati wa Israel wanaopigana hawapo hata hapa jukwaani, Unaogopa kutekwa au ndio uoga wetu umefika level ya kimataifa 😅😅Kuna mtu anasifiwa sana kwa kupiga majengo ya raia na mtu huyo anaficha kambi zake za kijeshi zilizopigwa zisioneshwe popote kwenye media
Utalinganisha kwa kigezo kipi wewe ikiwa umefichwa