walikuwa wanarusha makombola kisha wanakimbilia kwenye mahandaki (underground panels), kwa sasa hivi njia zao zote za undegraund zishafumuliwa, organisation nzima ya HAMAS kwisha.Hamas wanarusha tu rockets dhaifu
Its 0% HAMAS winning this war, ni wakati wa Ukombozi wa waparestina wote. Hizo underground tunnels unazoongelea wewe zimeshafumuliwa zote mzee.Hamasi sio wa kuwazalau hata kidogo! Ni kundi ambalo liko vzr kuanzia mafunzo, siraha mpaka kiuchumi. Unawezaje kusema hawako vizuri financial resources wakati wameweza kuchimba mahandaki kuzunguka Gaza yote? Hivi unadhani Hilo ni jambo dogo? Serikali Yako ya Tanzania tu mpaka Leo hawajaweza kuchimbia mabomba ya maji walau kwa dar peke yake, lkn jamaa wamejenga nyumba chini ya ardhi kuzunguka Gaza yote. Then unasema hawako vizuri kiuchumi? We wa wapi wewe!!!!
Wewe ni mpumbavu sifikiri unafahamu hata unacho andika . Jinga kabisawalikuwa wanarusha makombola kisha wanakimbilia kwenye mahandaki (underground panels), kwa sasa hivi njia zao zote za undegraund zishafumuliwa, organisation nzima ya HAMAS kwisha.
Si waparestina wote wanasupport HAMAS, tunaweza kusema kwamba HAMAS ni kundi la KIgaidi linaikalia kimabavu Parestina, ni wakati wa ukombozi sasa wa waparestina wote.
Kila jambo lina mpango wake.
sawa wewe mwerevu andika na wewe tuone. Nimesema hivi na narudia tena HAMAS ni kundi la kigaidi na si waparetina wote wana support HAMAS, kifupi HAMAS inaikalia Parestina ki mabavu, ni wakati wa Ukombozi wa waparestina wote duniani.Wewe ni mpumbavu sifikiri unafahamu hata unacho andika . Jinga kabisa
Unaropoka kama mwendawazimu usie jitambua wala usiejua nini unaongeasawa wewe mwerevu andika na wewe tuone. Nimesema hivi na narudia tena HAMAS ni kundi la kigaidi na si waparetina wote wana support HAMAS, kifupi HAMAS inaikalia Parestina ki mabavu, ni wakati wa Ukombozi wa waparestina wote duniani.
ukweli unauma, ila mwisho wa HAMAS Paretina ndiyo umewadia - take from me.Unaropoka kama mwendawazimu usie jitambua wala usiejua nini unaongea
Hujanielewa Mimi nilikua namjibu jamaa aliekua anasema Israel hamna kitu kwa sababu limeshindwa kuwadhibiti kikundi Cha Hamas ambacho hakina hata uwezo wa kiuchumi, so ndo namfafanulia hapo unawezaje kusema hawapo vzr wakati wameweza kujenga nyumba za ardhini kuzunguka Gaza yote?Its 0% HAMAS winning this war, ni wakati wa Ukombozi wa waparestina wote. Hizo underground tunnels unazoongelea wewe zimeshafumuliwa zote mzee.
Ukweli gani au unaandika upuuzi tu. Unafahamu hata Hamas ni nini Gaza, Palestine ?ukweli unauma, ila mwisho wa HAMAS Paretina ndiyo umewadia - take from me.
kaka nani asiyejua HAMAS ni kina nani humu? nani asiyejua historia na eneo hilo lenye mzozo tangu karne ya 16 hadi leo? nani asiyejua maandiko ya vitabu vya dini kuhusu eneo hilo tangu kale?Ukweli gani au unaandika upuuzi tu. Unafahamu hata Hamas ni nini Gaza, Palestine ?
Hivi ndivyo ulivyo jibu swali nililo kuuliza pumbavu kabisakaka nani asiyejua HAMAS ni kina nani humu? nani asiyejua historia na eneo hilo lenye mzozo tangu karne ya 16 hadi leo? nani asiyejua maandiko ya vitabu vya dini kuhusu eneo hilo tangu kale?
Ni wewe tu watu wanakushangaa.
Unaumia ukiwa wapi gaidi?Technology yao is not appropriate au proportionate, hiyo ni poor military planning and badgeting kwa njia hiyo huwezi kusustain vita kwa mda mrefu, kama Urusi anavo fanya, huwezi kudungua drone ya $ 100 kwa kutumia kobora linalo rushwa na ndege ya F 16, its military foolishness and extravagant, ni sawa sawa kuwinda na kuua mbu na Ak 47......kwa hiyo Isreal hajajianda kwa vita ya mda mrefu watafilisika tu.
Unawaza kimaskini sana aisee,Israel sio Tanzania babuTechnology yao is not appropriate au proportionate, hiyo ni poor military planning and badgeting kwa njia hiyo huwezi kusustain vita kwa mda mrefu, kama Urusi anavo fanya, huwezi kudungua drone ya $ 100 kwa kutumia kobora linalo rushwa na ndege ya F 16, its military foolishness and extravagant, ni sawa sawa kuwinda na kuua mbu na Ak 47......kwa hiyo Isreal hajajianda kwa vita ya mda mrefu watafilisika tu.
Baada ya HAMAS kuomba wapumue, haya ndiyo majibu na Kamanda mkongwe leo...Hivi ndivyo ulivyo jibu swali nililo kuuliza pumbavu kabisa
Mbona wanauawaAllah.
Hezbollah yupo far more advanced kuliko HamasHezbollah hana uwezo dhidi ya IDF. Kumbe leo Hamas mmeitoa kwenye mlinganyo, maana ile tarehe 7 mlikuwa mnawaona mabingwa kwa sasa wanaishi kama panya
Ana uwezo kuliko Hamas, sio kuliko IsraelHezbollah yupo far more advanced kuliko Hamas