Irone Dome - Uchawi wa mu-Israeli

Irone Dome - Uchawi wa mu-Israeli

Hamas wanarusha tu rockets dhaifu
walikuwa wanarusha makombola kisha wanakimbilia kwenye mahandaki (underground panels), kwa sasa hivi njia zao zote za undegraund zishafumuliwa, organisation nzima ya HAMAS kwisha.

Si waparestina wote wanasupport HAMAS, tunaweza kusema kwamba HAMAS ni kundi la KIgaidi linaikalia kimabavu Parestina, ni wakati wa ukombozi sasa wa waparestina wote.

Kila jambo lina mpango wake.
 
Hamasi sio wa kuwazalau hata kidogo! Ni kundi ambalo liko vzr kuanzia mafunzo, siraha mpaka kiuchumi. Unawezaje kusema hawako vizuri financial resources wakati wameweza kuchimba mahandaki kuzunguka Gaza yote? Hivi unadhani Hilo ni jambo dogo? Serikali Yako ya Tanzania tu mpaka Leo hawajaweza kuchimbia mabomba ya maji walau kwa dar peke yake, lkn jamaa wamejenga nyumba chini ya ardhi kuzunguka Gaza yote. Then unasema hawako vizuri kiuchumi? We wa wapi wewe!!!!
Its 0% HAMAS winning this war, ni wakati wa Ukombozi wa waparestina wote. Hizo underground tunnels unazoongelea wewe zimeshafumuliwa zote mzee.
 
walikuwa wanarusha makombola kisha wanakimbilia kwenye mahandaki (underground panels), kwa sasa hivi njia zao zote za undegraund zishafumuliwa, organisation nzima ya HAMAS kwisha.

Si waparestina wote wanasupport HAMAS, tunaweza kusema kwamba HAMAS ni kundi la KIgaidi linaikalia kimabavu Parestina, ni wakati wa ukombozi sasa wa waparestina wote.

Kila jambo lina mpango wake.
Wewe ni mpumbavu sifikiri unafahamu hata unacho andika . Jinga kabisa
 
Wewe ni mpumbavu sifikiri unafahamu hata unacho andika . Jinga kabisa
sawa wewe mwerevu andika na wewe tuone. Nimesema hivi na narudia tena HAMAS ni kundi la kigaidi na si waparetina wote wana support HAMAS, kifupi HAMAS inaikalia Parestina ki mabavu, ni wakati wa Ukombozi wa waparestina wote duniani.
 
sawa wewe mwerevu andika na wewe tuone. Nimesema hivi na narudia tena HAMAS ni kundi la kigaidi na si waparetina wote wana support HAMAS, kifupi HAMAS inaikalia Parestina ki mabavu, ni wakati wa Ukombozi wa waparestina wote duniani.
Unaropoka kama mwendawazimu usie jitambua wala usiejua nini unaongea
 
1699595417520.png
 
Israeli apartheid, military occupation, settler colonialism and ethnic cleansing is crime against humanity. Israel has violated 28 resolutions of the United Nations Security Council (which are legally binding on member-nations U.N. Charter, Article 25 (1945); a few sample resolutions - 54, 111, 233, 234, 236, 248, 250, 252, 256, 262, 267, 270, 280, 285, 298, 313, 316, 468, 476, etc.
 
Its 0% HAMAS winning this war, ni wakati wa Ukombozi wa waparestina wote. Hizo underground tunnels unazoongelea wewe zimeshafumuliwa zote mzee.
Hujanielewa Mimi nilikua namjibu jamaa aliekua anasema Israel hamna kitu kwa sababu limeshindwa kuwadhibiti kikundi Cha Hamas ambacho hakina hata uwezo wa kiuchumi, so ndo namfafanulia hapo unawezaje kusema hawapo vzr wakati wameweza kujenga nyumba za ardhini kuzunguka Gaza yote?
 
Ukweli gani au unaandika upuuzi tu. Unafahamu hata Hamas ni nini Gaza, Palestine ?
kaka nani asiyejua HAMAS ni kina nani humu? nani asiyejua historia na eneo hilo lenye mzozo tangu karne ya 16 hadi leo? nani asiyejua maandiko ya vitabu vya dini kuhusu eneo hilo tangu kale?
Ni wewe tu watu wanakushangaa.
 
kaka nani asiyejua HAMAS ni kina nani humu? nani asiyejua historia na eneo hilo lenye mzozo tangu karne ya 16 hadi leo? nani asiyejua maandiko ya vitabu vya dini kuhusu eneo hilo tangu kale?
Ni wewe tu watu wanakushangaa.
Hivi ndivyo ulivyo jibu swali nililo kuuliza pumbavu kabisa
 
Technology yao is not appropriate au proportionate, hiyo ni poor military planning and badgeting kwa njia hiyo huwezi kusustain vita kwa mda mrefu, kama Urusi anavo fanya, huwezi kudungua drone ya $ 100 kwa kutumia kobora linalo rushwa na ndege ya F 16, its military foolishness and extravagant, ni sawa sawa kuwinda na kuua mbu na Ak 47......kwa hiyo Isreal hajajianda kwa vita ya mda mrefu watafilisika tu.
Unaumia ukiwa wapi gaidi?
 
Technology yao is not appropriate au proportionate, hiyo ni poor military planning and badgeting kwa njia hiyo huwezi kusustain vita kwa mda mrefu, kama Urusi anavo fanya, huwezi kudungua drone ya $ 100 kwa kutumia kobora linalo rushwa na ndege ya F 16, its military foolishness and extravagant, ni sawa sawa kuwinda na kuua mbu na Ak 47......kwa hiyo Isreal hajajianda kwa vita ya mda mrefu watafilisika tu.
Unawaza kimaskini sana aisee,Israel sio Tanzania babu
 
Hivi ndivyo ulivyo jibu swali nililo kuuliza pumbavu kabisa
Baada ya HAMAS kuomba wapumue, haya ndiyo majibu na Kamanda mkongwe leo...

'Hakuna wakati wa makubaliano':
Kamanda wa zamani wa Israeli
Avi Mizrahi, mkuu wa zamani wa Kamandi Kuu ya jeshi la Israeli, ameonya dhidi ya makubaliano yoyote kabla ya malengo ya vita vya Israeli kufikiwa.

"Sidhani kama huu ni wakati wa kutoa chochote kwa Wapalestina au kwa Mamlaka ya Palestina katika Ukingo wa Magharibi," Mizrahi alisema wakati wa mkutano wa waandishi wa habari mtandaoni. "Tuna kwanza kufikia malengo ya vita ambayo serikali iliweka juu yetu kushinda vita huko Gaza na kuwafukuza viongozi wote wa Hamas," aliongeza.
 
Enyi waparestina msio na hatia, tumieni hayo masaa 4 ambapo vita itasitishwa kila siku ili mvuke sehemu salama. Kung'ang'ania North Gaza ni kujitafutia vifo vyenu bila msingi. HAMAS wamewatumia ninyi kama kinga kwa muda mrefu sasa ni muda wenu wa ukombozi umeshafika.
 
Vita bado ni mbichi - Netanyahu amjibu Macron's

'Tunashiriki maumivu ya Israeli'

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alijibu kwa haraka maoni ya Bw Macron, akisema mataifa yanapaswa kulaani Hamas, si Israel.
"Uhalifu ambao Hamas [inafanya] leo huko Gaza utatekelezwa kesho huko Paris, New York na popote ulimwenguni," taarifa kutoka ofisi ya Bw Netanyahu ilisoma.

'We share Israel's pain'​

Israel's Prime Minister Benjamin Netanyahu responded quickly to Mr Macron's comments, saying nations should condemn Hamas, not Israel.
"The crimes that Hamas [is] committing today in Gaza will be committed tomorrow in Paris, New York and anywhere in the world," a statement from Mr Netanyahu's office read.
 
Back
Top Bottom