Is it true that ATLC has no passengers to carry and has assorted to transporting meat?

THE NYAMA AIRLINES..... ..... The only only one I bet on the planet
 
Usiwe na wasiwasi kakangu. Drimulaina nayo nayo inatumika kusafirisha kinyesi cha punda kwa ajili ya kutengeneza mbolea huko kigoma.
 
Last year atcl pekee imebeba pax 500000 ndege hazitoshi nyie pigeni kelele kama wendawazimu...route zinaongezwa kila siku ,Mumbai,Guangzhou, Bangkok,Johannesburg soon

Sent using Jamii Forums mobile app

500000???😨😨😨Yani Coast bus inabeba abiria wengi kuiliko ? ?
 
kwhyo hyo mbunge kuongelea hilo swala tz one hajui kitu wewe ndio unajuwa zaidi...unatuletea vitu vya kijinga hapa..kwhyo nyinyi mnajua kuliko huyo mbunge...bwahahaaa
 
Hizo taarifa hazina uthibitisho... taarifa zilizopo ni kwamba hatuna taarifa zake...


Cc: mahondaw
 

Huelewi unataka uwe uaambiwa leo imepakia abilia wangapi think big na sio kizembe hivyo
Fatilia info b4 kuleta huku


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…