Isabella Mwampamba, mgonjwa wa kwanza kugundulika Corona Tanzania aomba msamaha kwa Watanzania

Anaitwa Isabella Mwaipamba ni mwongoza watalii lakini pia anamiliki shule ya watoto wadogo (preschool)kwasasa anaandaa mbio nyepesi kupanda mlima Meru nimekutana naye ikabidi niwape salamu zake.
 
Anaitwa Isabella Mwaipamba ni mwongoza watalii lakini pia anamiliki shule ya watoto wadogo (preschool)kwasasa anaandaa mbio nyepesi kupanda mlima Meru nimekutana naye ikabidi niwape salamu zake.
[emoji116]
 
Na unene wote huo na alichomoka ktk homa ya mapafu.?
Kweli covid ni propaganda za mabeberu
 
Mhh huyu mama anapenda publicity na huwa anaisaka kwa gharama yoyote ni mmiliki wa shule English medium Inaitwa Upendo friends IPO Arusha kisongo mateves huko...wala hatachukia kwa ninavyomjua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…