devor
JF-Expert Member
- Oct 15, 2017
- 1,031
- 925
Nimetazama picha yako kwanza ndipo nimesoma comment,vinaendana kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetazama picha yako kwanza ndipo nimesoma comment,vinaendana kwa kweli
Samahani nitajitahidi kufanya maandishi ya kawaida next. Your input is highly appreciated...Asante.Mkuu umebold inatia uvivu kusoma
Kabisa yaani, kama aliyevunja Sheria na kuingia kiwanjani kumshika mkono mcheza kawa hivyo huyu atakuwaje, nachukizwa na hili neno hata kuliandika sitaki waandishi wanalitumia vibaya sana maana wao ndio wanaokuza.mamboZamani sana utamuona kwenye matangazo ya sabuni na kiwi.
Halafu picha zake wanazorusha anazijua mwenyewe,Maboso,
Tusimhukumu sana Isabella .
Ana hela halafu anapenda Bata .
Huyu mama ni muuaji kama wauaji wengine, nashangaa wanamnyenyekea, kwa makusudi mazima aliamua kuuleta Tanzania waathirike wengine Ila sio familia yake,Unajua tunapishana wp mm na ww?tunapishana pale ww unaposema asilaumiwe,lazima tumlaumu kwa yy kujua ana Hilo tatizo na kuja kufanya makusudi,ndiyo mm naita makusudi maana alojua na ndiyo maana akachukua tax kwenda kujifungua hotelini,tusiongee kwa ushabiki bali reality ingekuwa nduguyako anafanya kazi Ile hoteli u gejisikiaje? Pia bila kujali ugonjwa no hatari ama laa tahadhari ni muhimi jamanii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo aloileta makusudi ili aje afanye kampeni ya korona,daaah wanabahati kwakweli wa Tz cc ni wapole
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema ukweli.Aisee!
Hili tukio nimelichukulia kama ile press ya kutekwa Mo ambayo kama tunavyokumbuka Mh. rais aliishia kucomment kuwa "msidhani watz ni wajinga". Kiuhalisia hii ndio hali tuliopo kwa sasa na tunabakia kumtegemea Mungu huku tukisahau Italy ambako ndiko makao makuu ya Kanisa wana hali mbaya!
Kumkumbusha tu wazri, bofya hapa>>> Africa Live: WHO warns Africa to 'prepare for the worst'