Isabella Mwampamba, mgonjwa wa kwanza kugundulika Corona Tanzania aomba msamaha kwa Watanzania

Isabella Mwampamba, mgonjwa wa kwanza kugundulika Corona Tanzania aomba msamaha kwa Watanzania

Unatamba unaweza kutibu mafua? mbona 96%-97% ya wagonjwa wote wanapona, China wameshapoa 70,000 kati ya 80,000.

Huu ugonjwa unapewa attention usiostahili kwa huku Africa, ugonjwa wenyewe ni mafua tu halafu watu wanapaniki.

wakati tuna magonjwa mengine ambayo ni mauaji kama malaria, kipindupindu kinakaribia kulipuka na mvua hizi lakini hakuna hata attention kinapewa.
 
Tumshukuru Mungu anaendelea vizuri ila matumizi yaliyofanyika ndani ya siku mbili kumfuata hotelini, kusafirisha sample, Serikali kumfuata Arusha kumjulia hali n.k tayari hela ya Mwenge imepata mshtuko.
 
WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU KAONGEA NA MGONJWA WA CORONA KWA NJIA YA SIMU! KASEMA ANAENDELEA VIZURI! KWA HALI HIYO NI WAZI TANZANIA TUMEFANIKIWA KUUTIBU HUU UGONJWA! USHAURI KWA SERIKALI, IRUHUSU SHUGHULI ZILIZOZUILIWA IKIWEMO SHULE KUFUNGWA MAANA IKITOKEA MTU KUUGUA CORONA ATATIBIWA KWA TIBA ILIYOMTIBU ISABELA.View attachment 1392813

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani alikwambia ukipata Corona ndio umekufa??
 
Kwani virusi havitibiki huwa vitoweka vyenyewe.

Huyo mama Ametibiwa dalili tu zinazotokona na maambukiz ya corona.

Vurusi havina tiba wala dawa ,,ndio maana vingine sugu kama vya ukimwi, ukivipata ni mpaka ufe navyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo siyo kuugua,no,kila mtu anaugua,tatizo nimtu kufahamu tatizo alilonalo halafu anakuja nalo nchini na akifika kwa makusudi anachukia tax na kwenda hotelini badala ya kwake,just imagine dereva tax anabeba watu wangapi kwa siku??

lakini hoteli inahifadhi wageni wangapi kwa siku??lakini pia tahadhari ilikwisha tolewa kwa kipindi hiki tujaribu kupunguza safari,Kama alikuwa na nianjema kwanini alipoteremka tu kwa ndege asiende kujisalimisha tahadhari ichukuliwe?kwa mtizamo wa kawaida huyo dada Ana magari na uweze na Ana ndugu na marafiki kibao wenye uweze unataka kusema hakuna hata mmoja angeweza enda mpokea airport?acheni kutetea ujinga jamani.
Sidhani kama anastahili kulaumiwa..
Pia serikali impe matibabu mazuri kwa kuwa yeye kaugua sio kupenda kwake.
Awe na amani hausiki kwa jinsi yoyote..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi wooooote tumekuwa chadema yaani ni kupinga tuuuu,kila kitu sisi tunapinga tuu..
Dah serikali ina kazi sana!
 
Mnashangaa nini?shida ni kwamba wengi ni hofu na kutofuatilia statistics za ugonjwa
Mmeshaambiwa impact ya corona kwa mwafrika ipo chini..china wagonjwa zaidi ya 80,000...

Vifo zaidi ya 3,000 Tanzania wagonjwa 3 vifo 0....bado mnapaniki saana..Nigeria Lagos walikuwepo wagonjwa 3 wawili walishatoka akabaki mmoja aliyeendelea vizuri...kifo hakuna 0 ,Zimbabwe hadi jana mgonjwa 0 kifo 0...wagonjwa wengi wanaoripotiwa ktk nchi za afrika ni wageni si wazawa!

Hivyo bado hatukua na haja ya kuwa na hofu kubwa kiasi hiki na mjue corona ipo tangu december 2019.
Hakuna hata mwafrika mmoja ailiyeugua huko Wuhan china ulipoanzia..na hao wanafunzi walioko huko wameshatutaka kutokua na wasiwasi...lkn wapi watu wanapaniki tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mapololo,
Ujinga? Nikikuuliza alipitaje Airport si bado utakuwa unaona ni ujinga kwa watu wa Airport,vipi kuhusu mataifa yaliyoendelea..umewahi wewe kutazama japo fiction movies za Zombies ukaona watunzi wanavyokuonesha jinsi hatari inatokea ata kama umechukua tahadhari!
 
Huu ugonjwa unapewa attention usiostahili kwa huku Africa, ugonjwa wenyewe ni mafua tu halafu watu wanapaniki
wakati tuna magonjwa mengine ambayo ni mauaji kama malaria, kipindupindu kinakaribia kulipuka na mvua hizi lakini hakuna hata attention kinapewa
Huu ugonjwa ni mpya hapa duniani.
Hatuezi kuacha kuchukua hatua stahiki, eti kwa sababu tunafikiri, hautakuwa na madhara africa.



Beggars can't be choosers
 
Back
Top Bottom