Isabella Mwampamba, mgonjwa wa kwanza kugundulika Corona Tanzania aomba msamaha kwa Watanzania

Isabella Mwampamba, mgonjwa wa kwanza kugundulika Corona Tanzania aomba msamaha kwa Watanzania

Huyu maza nyo.ko sana katia watu hasara sana kwa upuuzi wake wa kwenda sehemu hatarishi kipindi hiki. Halafu baada ya kujijua kaukwaa anajifanya kuepaepa kisanii, pumba.fffu sana huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikutana mahala fulani mwezi January
Ni huyu
isabella.jpg


 
Mgonjwa anageuzwa kiki ya kutokea, nchi imejaa wapumbavu hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa positive minded unaweza kuona huyo mgonjwa anatumika kupunguza panic kwa raia maana hii kitu imekuja social media panic kubwa sana ambayo ndio hatar kuliko hata corona yenyewe
 
Unaweza kusema ni mchongo flan umechorwa.Any way huyu mama amepata virus kweli lakini kuna mazingira flan amejaribu kugeuza hiyo kama fursa na anakaribia kufanikiwa
Una uhakika gani kama kweli alipata virusi?

Senti bai yuzingi tecno T301
 
Huyu maza nyo.ko sana katia watu hasara sana kwa upuuzi wake wa kwenda sehemu hatarishi kipindi hiki. Halafu baada ya kujijua kaukwaa anajifanya kuepaepa kisanii, pumba.fffu sana huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti anasema oooh “imeshatokea” yaani kati ya vitu huwa sipendi mtu aseme pale anapojitetea au kuomba msamaha ni hilo neno yaani huwa linacancel yote aliyoyasema kabla hata kama mazuri vipi!
 
Sidhani kama anastahili kulaumiwa..
Pia serikali impe matibabu mazuri kwa kuwa yeye kaugua sio kupenda kwake.
Awe na amani hausiki kwa jinsi yoyote..
 
That b|t€h!!!

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom