Ishmael alizaa Maseyidi (watoto) 12 ambao ndio Waarabu wa leo. Eneo lao la umiliki ni kuanzia Saudi Arabia kuelekea Ashuru na mashariki ya Misri

Hahahaaa!
 
Lakini nchi tukufu haipo africa daa huyo mungu basi wa upendeleo
Africa tuna historia kubwa katika hizi dini.musa alizaliwa Africa,yusuphu aliishi Africa na wengineo.
Hata yesu alikuja Africa.
 
Nimekuelewa na nimesisimuliwa zaidi na upangiliaji mzuri wa maelezo Yako ndugu herriel, siku nyingine utusaidie kujua waebrania walianzia wapi kwa sababu kwa asili Abraham alitoka Iraq ,yaani uru ya ukaldayo ,kwa hivyo bila shaka alikuwa mwarabu je huyu mwebrania chimbuko lake ni wapi?
 
Chotara aliyetokaa na Cheusi(Mkushi wa Misri) na Mmedi wa Uru wa Ukaldayo ndo Mwarabu Ishmaeli
Ukaldayo nu miliki ya falme mbali mbali zilizoanguka kwa babeli zikawepo Uamedi na uajemi nk hii Waarabu ni nini? Falme au kabila? au ni koo tu
 
Ishmael ni Mhebrania, alizaliwa canaan, lugha yake ya kwanza kabisa kabla kujua kiarabu ni Kihebrania!

Na huko uarabuni alipoenda alikuta kuna waarabu tayari wanaishi huko
 
Hiki ulichoandika mleta uzi kakiruka kwa makusudi halaf kaandika mawazo yake🤣😆😂 yaan kuna watu wanataka kusahihisha kusudi la Mungu! ipo wazi sana Ishmael si mtoto wa agano. Isaka ndiye mtoto wa agano kati ya Mungu na Ibrahim na ndiyo ana baraka ya urithi wa ardhi. Kwa kifupi mojawapo ya la kujifunza ni kuwa mwanadamu akiwa na subira kusubiria cha Mungu atapata kitu bora ambacho hakina shida but akitaka kulazimisha matokeo yake ndo anapata ishmael. Baraka ya ndani ya agano ni bora kuliko baraka ya nje ya agano. Kwa kupitia Isaka Mungu amejifunua na kuleta ukomboz kwa mwanadam. Kwa kupitia Ishmael shetan naye kajifunua na kuleta udangamyifu kwa mwanadam
 
Porojo nyingi lakini huna reference za kusapoti unachokisema. Kama dini zimeharibu historia leta rejea nyingine zisizo za dini ili hoja zako ziwe na msingi. Vinginevyo hoja zako zinabaki hewani ni kama mtu uliyezaliwa leo. Mambo ya vizazi yapo hata kwenye vitabu visivyo na mlengo wa dini. Leta reference mkuu utaeleweka.
 
Ibrahim hakuwa muarabu mtu wa katikati ya iraq huko na, hajiri alikua ni cheusi wa misri ..hao waarabu wa ishmael wanatokea wapi?
Ur no kusini iraq karibu na saudi arabia,na si katikati iraq,acha kumkwepesha ibrahim na uarabu
 
Duh Jamaa linapingana na Historia alafu lenyewe halina cha kuelezea... wtf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…