Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Wengi tu wanalipa hizo gharama. Wakiamua kuuvunja ni dakika moja wachezaji kibao ghali wamevunja mikataba. Else wise huoni uvunjwaji mwingi kwasababu wenzetu huwa wana pima sana risks.Mikataba ya Ulaya inaandikwa kumbana mchezaji kiasi kuwa kuuuvunja sio rahisi....Mfano Mbape ameitumikia PSG hadi mkataba wake ukaisha, sababu kwenye kuivunja ingekuwa gharama kubwa sana
Mchezaji atapewa anachostahili, mshahara mzuri, Gari nzuri. Au appartment nzzuri. Ulinzi, kutunziwa familia. Hivo kutoka kwenye timu sio rahisi. Atasuniri mkataba tu uisje aangalie nani anna muhitji in good condition. Hata hapa bongo unafikiri 800m au 2b ni nzito kumlipia mchezaji. Ni simple saaaaaana. Na watu wanalipa bla kujipapasa. Yaani mtu yupo kidimbwi pale fei anamfata ..kaka nataka milioni 600 anampa.