Isingekuwa uwezo wa Mungu leo ningekuwa marehemu na mtaani kungekuwa na misiba na majeruhi wengi siku ile

Isingekuwa uwezo wa Mungu leo ningekuwa marehemu na mtaani kungekuwa na misiba na majeruhi wengi siku ile

Mohammed wa 5

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,215
Reaction score
3,035
Tulikuwa tunaishi karibu na barabara kubwa ya lami, upande wa pili wa Ile barabara kulikuwa na kibanda flani Cha abiria wanakaa hapo kusubiria magari(checkpoint) ni Cha muda mrefu kilikuwa hakitumiki, Vijana tuliokuwa tunaishi maeneo Yale tulifanya Kama kijiwe Cha story,tunacheza drafti nk.(sio kijiwe Cha wahuni)

Nakumbuka muda wote uwezi kukosa watu,vijana wanaoishi mtaa ule kilikuwa Kama kituo chetu Cha kukutana. asubuhi,mchana,jioni lazima ukute watu pale mpaka mida ya usiku na siku ukiona hakuna watu ujue ni siku ya mpira tu

Siku ya tukio la kutisha

Nakumbuka ilikuwa mida Kama ya saa 3 asubuhi tupo kijiweni tunabishana kuhusu mpira,NI uwezo wa mungu tu siku hiyo Wana kijiwe hatukuwa wengi Kama watu 6 hivi,baada ya muda tuliondoka Kuna sehemu tulipeleka pesa kwa ajiri ya mchango wa ligi ya mtaa tuliondoka Kama vijana 4 Wana kijiwe,pale kijiwe tuliwaacha wezetu wawili na wao mida Ile Ile waliondoka kwa maelezo baada ya tukio kutokea.

Majira Kama ya saa 5 au 6 Kuna gari isuzu injection ya mchanga ilikuwa imebeba mawe madogo kokoto ilikosea njia na ilipata hitilafu kwenye break.maelezo baada ya ajari.

ikaenda kugonga kile kibanda(kijiwe) tulichokuwa tunakaa,gari ikapitiliza Kama mita 5 hivi ikagonga nyumba iliyopo bembeni ya barabara dereva alikufa hapohapo.

baada ya kishindo kikubwa kilichotokea,watu walikusanyika kuangalia Nini kimetokea wanakutana na Ajali hiyo,kila mzazi wa eneo Ilo ilikuwa patashika ana mtafuta kijana wake.wa kulia alilia siku hiyo.

kwa uwezo wa mungu wakati inatokea ajali Ile hakuna kijana yeyote aliyekuwepo eneo lile,NI uwezo wa mungu alituokoa siku Ile🙏🙏

Na kijiwe kilikufa siku hiyohiyo sehemu ili ilibomolewa isije kuleta matatizo Tena

Je, uliwahi kupata msala gani kwa uwezo wa mungu, ulivuka salama.

Ni story ya kweri asilimia👉💯

w173_3_mchanga 4.jpg
 
Jpili moja kitambo sana tulikuwa tumekaa nje ya saluni fulani ya kike.ni mazoea yetu kukaa hapo na kupiga stori hata siku za kawaida saluni hiyo ikiwa wazi..mbele ya hiyo saluni kuna benk..tumeinuka pale tutembee kdg kisha turud tukaskia mlio wa risasi.asee tulikimbia balaa.tumerud pale kuchungulia kilichotokea.daahh risasi zilikuwa zimechafua pale tumekaa hadi ndani saluni zimeingia zimevunja vunja vioo vyote.hakuna alieumia.askari wakaja pale wakampokonya jamaa bunduki.anasema alikuwa anagonga kiatu na kitako kutoa matope.
 
Jpili moja kitambo sana tulikuwa tumekaa nje ya saluni fulani ya kike.ni mazoea yetu kukaa hapo na kupiga stori hata siku za kawaida saluni hiyo ikiwa wazi..mbele ya hiyo saluni kuna benk..tumeinuka pale tutembee kdg kisha turud tukaskia mlio wa risasi.asee tulikimbia balaa.tumerud pale kuchungulia kilichotokea.daahh risasi zilikuwa zimechafua pale tumekaa hadi ndani saluni zimeingia zimevunja vunja vioo vyote.hakuna alieumia.askari wakaja pale wakampokonya jamaa bunduki.anasema alikuwa anagonga kiatu na kitako kutoa matope.
Duh NI hatari mkuu
 
Yaan Mungu anatenda isivyotarajiwa .


Nyie fikirien, Kila siku mpo kwenye kibanda, ila siku hiyo mnasema twendeni tupeleke Hela, pengine mngesema, aende Mmoja tu mazeeee !!.


Mungu ni Mungu
 
Mkuu siku yenu ilikua bado haijafika kama sio hivyo,mungu mwenyewe angechukua roho zenu..
 
Yaan Mungu anatenda isivyotarajiwa .


Nyie fikirien, Kila siku mpo kwenye kibanda, ila siku hiyo mnasema twendeni tupeleke Hela, pengine mngesema, aende Mmoja tu mazeeee !!.


Mungu ni Mungu
Mkuu NI uwezo wa mungu anatenda kwa wakati 🙏na kile kijiwe kilikuwa kina watu muda wote hasa siku za weekend Ila siku Ile ya ajari palikuwa hakuna mtu
 
Mkuu siku yenu ilikua bado haijafika kama sio hivyo,mungu mwenyewe angechukua roho zenu..
Ni kweri mkuu siku zetu zilikuwa bado na tulikuwa vijana wadogo ni huruma zake muumba tu zilizotusaidia
 
Tulikuwa tunaishi karibu na barabara kubwa ya lami, upande wa pili wa Ile barabara kulikuwa na kibanda flani Cha abiria wanakaa hapo kusubiria magari(checkpoint) ni Cha muda mrefu kilikuwa hakitumiki, Vijana tuliokuwa tunaishi maeneo Yale tulifanya Kama kijiwe Cha story,tunacheza drafti nk.(sio kijiwe Cha wahuni)

Nakumbuka muda wote uwezi kukosa watu,vijana wanaoishi mtaa ule kilikuwa Kama kituo chetu Cha kukutana. asubuhi,mchana,jioni lazima ukute watu pale mpaka mida ya usiku na siku ukiona hakuna watu ujue ni siku ya mpira tu

Siku ya tukio la kutisha....
Nakumbuka ilikuwa mida Kama ya saa 3 asubuhi tupo kijiweni tunabishana kuhusu mpira,NI uwezo wa mungu tu siku hiyo Wana kijiwe hatukuwa wengi Kama watu 6 hivi,baada ya muda tuliondoka Kuna sehemu tulipeleka pesa kwa ajiri ya mchango wa ligi ya mtaa tuliondoka Kama vijana 4 Wana kijiwe,pale kijiwe tuliwaacha wezetu wawili na wao mida Ile Ile waliondoka kwa maelezo baada ya tukio kutokea.

Majira Kama ya saa 5 au 6 Kuna gari isuzu injection ya mchanga ilikuwa imebeba mawe madogo kokoto ilikosea njia na ilipata hitilafu kwenye break.maelezo baada ya ajari..

ikaenda kugonga kile kibanda(kijiwe) tulichokuwa tunakaa,gari ikapitiliza Kama mita 5 hivi ikagonga nyumba iliyopo bembeni ya barabara dereva alikufa hapohapo.

baada ya kishindo kikubwa kilichotokea,watu walikusanyika kuangalia Nini kimetokea wanakutana na Ajari hiyo,kila mzazi wa eneo Ilo ilikuwa patashika ana mtafuta kijana wake.wa kulia alilia siku hiyo.

kwa uwezo wa mungu wakati inatokea ajari Ile hakuna kijana yeyote aliyekuwepo eneo lile,NI uwezo wa mungu alituokoa siku Ile[emoji120][emoji120]

Na kijiwe kilikufa siku hiyohiyo sehemu ili ilibomolewa isije kuleta matatizo Tena

Je? Uliwahi kupata msala gani kwa uwezo wa mungu,ulivuka salama

Ni story ya kweri asilimia[emoji117][emoji817]
View attachment 2572045
Ajari = ajali.
 
Sisi kijiweni tulimpiga mawe Mzee ngowi wakati huo akiwa mkuu wa usalama wa taifa mkoa hatukujua niyeye alikuwa anatumia gari aina ya intercooler turbo yaliyotokea sisemi!
 
Sisi kijiweni tulimpiga mawe Mzee ngowi wakati huo akiwa mkuu wa usalama wa taifa mkoa hatukujua niyeye alikuwa anatumia gari aina ya intercooler turbo yaliyotokea sisemi!
😂😂😂😂
Mlikuwa vijana watukutu
 
Back
Top Bottom