ISIS watangaza vita na Hamas

ISIS watangaza vita na Hamas

Wapi uliona Magaidi wa ISIS wana Balistic Missiles?
We kweli umelala nakuwekea quote hapa
Among ISIS’s arsenal are portable air defence systems, guided anti-tank missiles and armoured fighting vehicles, as well as assault rifles like the Russian AK series and the US M16 and Bushmaster.

 
Haya wametema ukweli wao ISIS wametangaza vita Rasmi na Hamasi.

Tukiwambia wakristo hao ISIS ni mafunzo ya kikristo na kiyahudi mnabisha, jioneni sasa wameona Israel kazidiwa wameamua kutangaza vita na Hamasi.

Tukiwambia tuonyesheni risasi moja ISIS kapiga Israel hamuwezi tuonyesha.


View: https://x.com/OmaPalestine/status/1814570484337406272?t=e86i8Fw7uUBHK6GgOs857Q&s=19

unajuwa kuwa Hamas wanapigania interest za Qatar na iran ambao ni shia , kama Hamas na houth wakiachwa basi mashariki ya kati itakuwa chinu ya shia maana Syria , Yemen , Lebanon, Qatar , Gaza , iran na Iraq zitakuwa chini ya shia kitu Saudia na pakistan hawataki ambao Sunni.majority

Unaweza kuwa unatizama jamb kwa jicho la akili za chekechekea ila penda kudadavua mambo , usije ukaishia walalamikia wasiohusika

Wayaudu hawana agenda ya kutanua dini yao kama shia
 
We kweli umelala nakuwekea quote hapa
Among ISIS’s arsenal are portable air defence systems, guided anti-tank missiles and armoured fighting vehicles, as well as assault rifles like the Russian AK series and the US M16 and Bushmaster.

Ballistic Missiles for God's sake! Mbona huu Uidiot mnakua nao hivi?!
 
Ballistic Missiles for God's sake! Mbona huu Uidiot mnakua nao hivi?!
Mimi nilikuona wewe bwege unataka ISIS atumie ballistic missiles wakati nilisema hajapiga risasi hata moja kuelekea Israel.

Nani sasa mjinga hapo mimi au wewe,, rudia nyuma nilicho sema risasi wewe ukasema ballistic missiles na mimi nikaona nikupe dawa nikasema wana anti-tank missiles badala ya ballistic missiles kama risasi hazifiki wako mpakani kabisa.
 
ISIS ni CIA na MOSAD made .. wanaenda against na principals zote za wema waliotangulia (salafi) .. na yeyote anayenda kinyume na hayo manhaji si katika waislamu
 
Kweli ulicho ongea, waswahili pia wanamsemo kuliza si ujinga, nataka nijuwe kwanini hao ISIS vita vyao vyote na nchi za kiarabu au kislam tu, sijawahi ona wamevamia Israel au nchi za kikristo na walifika mpaa Lebanon na Syria wasirushe hata risasi Israel, ajabu kweli.
Kwani lengo la isis ilikuwa kupigana na nchi za kikristo ? Au kuanzisha dola la kiislamu?
 
Kwani lengo la isis ilikuwa kupigana na nchi za kikristo ? Au kuanzisha dola la kiislamu?
Vipi wakanzishe dola la kiislamu kwenye nchi zimeisha kuwa waislam

Si wange enda nchi za kikristo huko ndio wangefanikiwa malengo yao 😄
 
Screenshot_20231108-213027.png
 
We jamaa level ya uelewa wako ni mdogo na ipo chini sana. Jitahidi kutopost vitu hovyo ili kuficha uchi wa akili yako mbele za watu.
Mimi huwa sichukui maelekezo kwa wanao abudu binadamu, sababu kwanza wakapime akili zao kama ziko sawa.
 
Back
Top Bottom