ISIS watangaza vita na Hamas

ISIS watangaza vita na Hamas

Kwanini huwa huongelei mada za Waarabu kutangaza Vita dhidi ya Mabinti wa Kazi kutoka Afrika?!
Tatizo we unatazama uarabuni wakati wafanya kazi wengine wamenda uza mili yao huko badala ya kazi.

Wako wengi huko wenye adabu zao walienda kwa nia za kufanya kazi sio kuuza mili yao, wana enjoy wambie basi warudi 😄 We huoni wafanya kazi hapa unapo ishi wanafanyiwa ushenzi kuliko huo mbona huongei.
 
Tatizo we unatazama uarabuni wakati wafanya kazi wengine wamenda uza mili yao huko badala ya kazi.

Wako wengi huko wenye adabu zao walienda kwa nia za kufanya kazi sio kuuza mili yao, wana enjoy wambie basi warudi 😄 We huoni wafanya kazi hapa unapo ishi wanafanyiwa ushenzi kuliko huo mbona huongei.
Magaidi ni Magaidi tu hata chembe ya huruma hamna lakini siku yenu yaja mnajificha kwa Allah kumbe ni Wauwaji na Maharamia.
 
Islamic States intelligence services
Afadhali kidogo una akili za hesabu inawezekana wengine wakamini uwongo huo ulivyo tune, safi sana 😄

Sa kama una akili hivi za hesabu umeshindwa kugundua 3 haiwezi kuwa 1

Au hio hesabu inakufanya uwe kondoo walio potea.
 
Magaidi ni Magaidi tu hata chembe ya huruma hamna lakini siku yenu yaja mnajificha kwa Allah kumbe ni Wauwaji na Maharamia.
Tatizo wewe unachuki na warabu we deal na warabu. Uislam sio uwarabu Uislam ni dini na haikulazimishi kuamini uislam imekuambia very simple
[Quran 73:19] This is a reminder; whoever wills, let him choose the path to his Lord.

People are absolutely free to believe or disbelieve in God. It is God’s will that we have freedom of choice. Because of this kind of freedom, God never forces His religion on anybody
 
Yemen wanapigana wenyewe kwa Wenyewe, Je ni Wayahudi Ndio wanapiganisha?
Hapo we Huna habari kuna mkono wa Israel na USA, ukiona sehemu kuna fitna ya Sunni na Shia basi uko mkono wa Israel na USA.

Uzuri baadhi ya Waislam wamenza kugundua hizo fitna yataisha tu.

USA na UK ndio balaa ya dunia nzima pamoja na Mfaransa.

Israel pia anatumiwa tu ikifika time yake watamkacha time will tell.
 
Haya wametema ukweli wao ISIS wametangaza vita Rasmi na Hamasi.

Tukiwambia wakristo hao ISIS ni mafunzo ya kikristo na kiyahudi mnabisha, jioneni sasa wameona Israel kazidiwa wameamua kutangaza vita na Hamasi.

Tukiwambia tuonyesheni risasi moja ISIS kapiga Israel hamuwezi tuonyesha.
Wewe huelewi kitu anachopigania ISIS na wanachokipigania Hamas ni vitu viwili ISIS anapigana atawale Kwa Sheria za kiislamu Hamas wanapigana ili wajitawale wenyewe kwa democracy
Hakuna ukweli wowote kwamba IS wanafanya kazi na waisrael ukweli ni kwamba IS ni extremist (siasa Kali) hivyo hua wanawachukulia wapiganaji wengine wasio na malengo kama Yao ya kutawala na sheria ni maadui( makafiri)
 
Mbona Azana mnaitana kiarabu wakati ninyi ni Wamatumbi?
Eti azana ni Adhani nyie hio Adhani yenu mnaitana kigogo au.

Tatizo hamtaki kufahamu Kiarabu ni lugha ilio chaguliwa na Mungu ndio itumike kwenye Uislam. We kama ni mgogo fanya translations dunia imepigia hatua hakuna kitu kinafichika, fanya translations ya Adhani uone kama kuna kosa utambie tutakufahamisha.

Nauliza kwanini Mungu hukumuliza kwanini hakuleta Mitume wa Kiswahili au Wafrica, Wachina, Wahindi. Wazungu na mnashangilia eti Mitume wote ni Wayahudi na Mpaa mnasema Israel ni taifa Teule 😄

Imewauma Mungu alipo chagua Mwarabu kuwa Mtume na ndio afikishe ujumbe kwa kiarabu, mbona Mitume ya Wayahudi mlifanya translations walikuwa wanaongea nini, hamjioni kuwa nyie ni makondoo mlio potea, kwa Myahudi kawaida kwa Mwarabu kosa 😄
 
Wewe huelewi kitu anachopigania ISIS na wanachokipigania Hamas ni vitu viwili ISIS anapigana atawale Kwa Sheria za kiislamu Hamas wanapigana ili wajitawale wenyewe kwa democracy
Hakuna ukweli wowote kwamba IS wanafanya kazi na waisrael ukweli ni kwamba IS ni extremist (siasa Kali) hivyo hua wanawachukulia wapiganaji wengine wasio na malengo kama Yao ya kutawala na sheria ni maadui( makafiri)
We bwege hebu nionyeshe wapi uislam na extremist. Hilo neno linatumiwa na madui wa kislam wa kwanza US, UK. Na Europe kuchafua Uislam.

Wewe unaye jidai unajua hebu nionyeshe wapi mafunzo ya ISIS yanaenda na Uislam kama sio propoganda za madui wa ki Islamu .


Uislam hauna ujinga huo wa extremists, hizo ni fikra zenu mlio kuwa brainwashed na US na Europe
 
Huyo Allah ni Racist na mwenye chuki dhidi ya Watu weusi.
Alipo wachagua Wayahudi . mbona mlimsifia kumchagua mwarabu kawa Racist 😄

Na kuliza Paulo alichaguliwa na Mungu kuwa Mtume? Au alikuwa mwanafunzi wa Yesu? Hebu nipe dalili basi.

Jitu limelala chini ya mti linasema limemuota Yesu, mnalikubali eti kawa Mtume haha lilimuota Shetani hilo huoni linawambisha kwaya hamjui mnaenda wapi.
 
Back
Top Bottom