ISIS watangaza vita na Hamas

ISIS watangaza vita na Hamas

Mwarabu ni Mwizi wa Scriptures hana Utume wowote.
Sijaona kamcopy Paulo 😄

Ange mcopy Paulo Angesema Yesu ni Mungu, lakini Mtume Muhammad kasema huyo ni Mtume wa Mungu na kawaelezeni mpaa vipi Yesu kuzaliwa.

Paulo na nyie mlimdharau Yesu
mkasema kazaliwa kwenye zizi la ngo'mbe, vichaa kweli nyie.
 
Sijaona kamcopy Paulo 😄

Ange mcopy Paulo Angesema Yesu ni Mungu, lakini Mtume Muhammad kasema huyo ni Mtume wa Mungu na kawaelezeni mpaa vipi Yesu kuzaliwa.

Paulo na nyie mlimdharau Yesu
mkasema kazaliwa kwenye zizi la ngo'mbe, vichaa kweli nyie.
Acha uchizi jibu swali langu acha kuhamisha Goli.
 
Huyo jamaa hajielew kabisa vitu vingi anavyopost humo huwa vinashangaza sana.
Nilisha kueleza bora mimi kuliko wewe panya unaye sema binadamu ni Mungu, kapime akili zako kwanza.

Mungu anashikilia mbingu saba na ardhi saba akatembee kwenye tumbo la Mariyam na aishi tumboni kwake miezi 9, afu aishi badaye duniani miaka 33 ndani ya ardhi, sa mbingu nani alizishikilia na ardhi saba.

Nenda kapime akili zako wewe, mimi sitishiki na maneno yako sababu mwenye akili atamjua nani Mungu kwanza, we mpaa leo humjui Mungu wako nani, hata Yesu mkisoma hizo bibilia vizuri anakanusha sio Mungu mnamlazimisha awe Mungu, nikiwambia hamjitambui mnabisha 😄
 
Kwa nini uweke video 2018, ulitaka utudanganye.
Kwani video ikiwa ya nyuma ndio habari si za kweli. unaweza weka video hata za nyuma.

Habari ndio hio, wao ni wafuasi wa US dalili hi hapa ingine, walitaka kuripua huko Russia na hi video ya zamani haha.

Kwanini zamani hawajafanya hayo kule Russia mpaa walipo kuwa na uadui na America.

ISIS ni tools ya USA. Israel na Western.


View: https://youtu.be/SsSd_JYz8tw?si=uYudMQRBhApW9bHN
 
Israeli Secret Intelligence Service=ISIS.

Nilikuwa nawakumbusha, sijaona ISIS kavamia au katangaza vita na nchi za kikristo au Israel 😄
Hawa si ndo wenye mafungamano na ADF NARU ya Congo?
 
Nenda Mzizima kauzie samaki, sababu huna jipya au tukupeleke Makete uwe unapeleka nguruwe Njombe 😄
 
We bwege hebu nionyeshe wapi uislam na extremist. Hilo neno linatumiwa na madui wa kislam wa kwanza US, UK. Na Europe kuchafua Uislam.

Wewe unaye jidai unajua hebu nionyeshe wapi mafunzo ya ISIS yanaenda na Uislam kama sio propoganda za madui wa ki Islamu .


Uislam hauna ujinga huo wa extremists, hizo ni fikra zenu mlio kuwa brainwashed na US na Europe
acha ubishi
 
mwaka 2003 Obama alikuwa rais wa nchi gan ?
We unaongelea hao Al Qaeida sio ISIS. US anajaribu kuwasingizia hao sababu, Abu Mus'ab al-Zarqawi kwa tarifa yako sio Abu Bakari Baghdad 😄
 
Back
Top Bottom