ISIS watangaza vita na Hamas

ISIS watangaza vita na Hamas

umepaniki bro , kwan Mudi ni bro wako ?
Nimepanic wapi halafu sijareply comment yako, wewe ndio umekurupuka,kuvamia mjadala husio kuhusu.Unajua nilicho comment au ndio umeshobokea dundo la mwanaume.

Tunzungumzia duru za kimataifa ,mnaanza kuingiza si uchizi huo.
 
Haya wametema ukweli wao ISIS wametangaza vita Rasmi na Hamasi.

Tukiwambia wakristo hao ISIS ni mafunzo ya kikristo na kiyahudi mnabisha, jioneni sasa wameona Israel kazidiwa wameamua kutangaza vita na Hamasi.

Tukiwambia tuonyesheni risasi moja ISIS kapiga Israel hamuwezi tuonyesha.


View: https://x.com/OmaPalestine/status/1814570484337406272?t=e86i8Fw7uUBHK6GgOs857Q&s=19

Hao wanajulikana ni Mazayuni na Wamerekani, iliundwa hiyo isis na Mossad na CIA ili iwazushie Waarabu mifarakano Mashariki ya kati.

Hao askari wa kukodiwa watachezea kichapo kama kawaida yao.
 
Wewe huelewi kitu anachopigania ISIS na wanachokipigania Hamas ni vitu viwili ISIS anapigana atawale Kwa Sheria za kiislamu Hamas wanapigana ili wajitawale wenyewe kwa democracy
Hakuna ukweli wowote kwamba IS wanafanya kazi na waisrael ukweli ni kwamba IS ni extremist (siasa Kali) hivyo hua wanawachukulia wapiganaji wengine wasio na malengo kama Yao ya kutawala na sheria ni maadui( makafiri)
Kwa akili ya kawaida tuh .yaani nchi bado iko kwenye Vita ili ipate Uhuru alaf kundi lingine litake madaraka kwenye nchi ambayo haina Uhuru bado ?
Hiv umetumia akili au unaona hili jambo liko sawa
 
Kwa akili ya kawaida tuh .yaani nchi bado iko kwenye Vita ili ipate Uhuru alaf kundi lingine litake madaraka kwenye nchi ambayo haina Uhuru bado ?
Hiv umetumia akili au unaona hili jambo liko sawa
Hatuwez kuelewana kwasababu wewe umefanya research zako kwenye vijiwe vya kahawa na mimi nina research zangu makini Kwa hio wewe endelea kuamini sigara zako na mimi niamini trust source zangu
 
We bwege hebu nionyeshe wapi uislam na extremist. Hilo neno linatumiwa na madui wa kislam wa kwanza US, UK. Na Europe kuchafua Uislam.

Wewe unaye jidai unajua hebu nionyeshe wapi mafunzo ya ISIS yanaenda na Uislam kama sio propoganda za madui wa ki Islamu .


Uislam hauna ujinga huo wa extremists, hizo ni fikra zenu mlio kuwa brainwashed na US na Europe
Hatuwez kuelewana kwasababu wewe umefanya research zako kwenye vijiwe vya kahawa na mimi nina research zangu makini Kwa hio wewe endelea kuamini sigara zako na mimi niamini trusted source zangu hiyo lugha tu anayoongea huyo ulompost Kwa video huelewi pengine mimi naweza kukutafsiria neno kwa neno nina speeches zote za islamic state kwanzia kiongozi wao wa mwanzo Abu Musab al Zarqawi, Abu bakar al Baghdad mpaka wa sasa Abu hafs wasemaji wao wote kwanzia Abu Hamza almuhajir msemaji wao mwenye ushawishi zaidi Abu Mohammed al adnani mpaka wa sasa Abu hudheifa naelewa vitu vingi sana kuwahusu hao IS nitakuja na thread hapa kuwaelezea vizuri hao watu mpaka influence zao kwenye nchi za kiafrica
Nikisema ni extremist namaanisha I know them in out
Islamic state ni extremist na hawana uhusiano wowote na mu Israel wala mu America ukitaka amini usipotaka endelea kuamini sigara zako
Khalas
 
Tatizo wewe unachuki na warabu we deal na warabu. Uislam sio uwarabu Uislam ni dini na haikulazimishi kuamini uislam imekuambia very simple
“Hakika tuliifanya kuwa Qur’ani kwa Kiarabu ili mpate kufahamu” (43:3)
"Verily, We made it a Quran in Arabic so that you may be able to understand" (43:3)

"Na namna hivi tumekuteremshia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye mama wa miji (Makka) na walio pembezoni mwake." (42:7)
"And thus we have revealed to you an Arabic Quran, so that you may warn the mother of the cities (Makkah) and those around her." (42:7)
[Quran 73:19] This is a reminder; whoever wills, let him choose the path to his Lord.
Quran ni ujinga na uongo Uislam ni kulazimishwa ndio maana wanaohama uisam adhabu yao ni kuuwawa.. death penalty for the crime of apostasy Hii ni FATWA waongo nyie Taqiyya
People are absolutely free to believe or disbelieve in God. It is God’s will that we have freedom of choice. Because of this kind of freedom, God never forces His religion on anybody
Quran (3:56) - "Ama walio kataa imani nitawaadhibu kwa mateso makubwa duniani na Akhera, wala hawatakuwa na wa kuwanusuru."
Quran (3:56) - "As to those who reject faith, I will punish them with terrible agony in this world and in the Hereafter, nor will they have anyone to help."

Quran (8:12) - "I will cast terror into the hearts of those who disbelieve. Therefore strike off their heads and strike off every fingertip of them"
Quran (8:12) - "Nitatia khofu katika nyoyo za walio kataa imani. Basi wachinje vichwa vyao na uwakate kila ncha ya vidole vyao."

Naanza kuhisi wewe ni wale Majini ya Mecca mpo jf kudanganya watu.. Mtume wenu aliwasilimisha Majini a Msikiti upo Mecca
 
Hatuwez kuelewana kwasababu wewe umefanya research zako kwenye vijiwe vya kahawa na mimi nina research zangu makini Kwa hio wewe endelea kuamini sigara zako na mimi niamini trusted source zangu hiyo lugha tu anayoongea huyo ulompost Kwa video huelewi pengine mimi naweza kukutafsiria neno kwa neno nina speeches zote za islamic state kwanzia kiongozi wao wa mwanzo Abu Musab al Zarqawi, Abu bakar al Baghdad mpaka wa sasa Abu hafs wasemaji wao wote kwanzia Abu Hamza almuhajir msemaji wao mwenye ushawishi zaidi Abu Mohammed al adnani mpaka wa sasa Abu hudheifa naelewa vitu vingi sana kuwahusu hao IS nitakuja na thread hapa kuwaelezea vizuri hao watu mpaka influence zao kwenye nchi za kiafrica
Nikisema ni extremist namaanisha I know them in out
Islamic state ni extremist na hawana uhusiano wowote na mu Israel wala mu America ukitaka amini usipotaka endelea kuamini sigara zako
Khalas
We endelea kuamini bangi zako, na mimi wacha niamini nilicho amini.

Fanya research ili upate PhD ya kuwajua ISIS, mara ya kwanza duniani kusikia watu wanafanya research kwenye kitu sio field yao au hakina faida na maisha yao, au wewe upo na ISIS

Kuhusu lugha mimi hio lugha naelewa kuliko wewe unavyo dhani, usifikirie wote tunaongea lugha moja tu 😄

Chukua hio kaifanyie research tena


View: https://youtu.be/GU2avVIHde8?si=znTBnwQaIdIBUDR0
 
“Hakika tuliifanya kuwa Qur’ani kwa Kiarabu ili mpate kufahamu” (43:3)
"Verily, We made it a Quran in Arabic so that you may be able to understand" (43:3)

"Na namna hivi tumekuteremshia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye mama wa miji (Makka) na walio pembezoni mwake." (42:7)
"And thus we have revealed to you an Arabic Quran, so that you may warn the mother of the cities (Makkah) and those around her." (42:7)

Quran ni ujinga na uongo Uislam ni kulazimishwa ndio maana wanaohama uisam adhabu yao ni kuuwawa.. death penalty for the crime of apostasy Hii ni FATWA waongo nyie Taqiyya

Quran (3:56) - "Ama walio kataa imani nitawaadhibu kwa mateso makubwa duniani na Akhera, wala hawatakuwa na wa kuwanusuru."
Quran (3:56) - "As to those who reject faith, I will punish them with terrible agony in this world and in the Hereafter, nor will they have anyone to help."

Quran (8:12) - "I will cast terror into the hearts of those who disbelieve. Therefore strike off their heads and strike off every fingertip of them"
Quran (8:12) - "Nitatia khofu katika nyoyo za walio kataa imani. Basi wachinje vichwa vyao na uwakate kila ncha ya vidole vyao."

Naanza kuhisi wewe ni wale Majini ya Mecca mpo jf kudanganya watu.. Mtume wenu aliwasilimisha Majini a Msikiti upo Mecca
We tatizo lako una quote Qur'an hujui inajibu vile kwa lengo lipi, au iliongea vile kwa sababu gani. Qur'an ilishuka kwa Mtume Muhammad kwa kiarabu sababu yeye ni mwarabu, mbona kwa kina Nabii Mussa pamoja na Yesu walishushiwaTaurati na Injil kwa kiyahudi.

Qur'an ilikuwa inateremka Aya zingine kutokana na na matokeo ya vita wakati ule, ulitaka watu wako vitani wakupe mauwa.

Chukua mfano wa Aya za ulevi kwanza Qur'an haikuharamishe time zile ulevi, wakati ukienda kusali, ulitakiwa ujuwe tu unaongea kitu gani. Qur'an badaye ili haramisha ulevi ukiwa unaenda kusali.

Sa uje leo utafute aya ziliongelea kipindi kile, uchukue quote ya Qur'an inayo ruhusu ulevi kama unajua unacho ongea ukasali, useme Qur'an inaruhusu ulevi 😄

dogo mimi sina majini wala sihitaji kufuga jini, Qur'an nilio nayo naweza kusoma ikawa ni kinga ya kila kitu.

Qur'an dogo ukielewa na kuhifadhi wewe lala warabu wanakuambia Murtahaa Mutmaini, Jambazi ataishia kuzunguka haingi nyumbani kwako. Sababu unapoisoma Qur'an Malaika wanakuja na wao kusikiliza, na hao Malaika wanakukinga na mengi, yanakuepusha na zinaa, ulevi na etc.

Hivi dogo, unadhani Mtume Muhammad alilala chini ya mti akitokea Damascus, akaota kama yule kichaa wenu.


Takbirìi Allahuu Akbariì


View: https://youtube.com/shorts/UahkJoizjcM?si=GdqhYYcoT4363yb_
 
Wakristu wamekuwa salamareku siku hizi?
We huoni pale Airport vile vikristo vinakupokea kwa Salam Alykum, hio mana yake ni peace be upon you. Sio kosa, hata kile kizee chenye lana Biden, huwa kina sema vile pale W.H kikiwa kinakaribisha viongozi wa kislamu. Haswa siku za Ramadhani, sa ajabu ipo wapi.
 
Haya wametema ukweli wao ISIS wametangaza vita Rasmi na Hamasi.

Tukiwambia wakristo hao ISIS ni mafunzo ya kikristo na kiyahudi mnabisha, jioneni sasa wameona Israel kazidiwa wameamua kutangaza vita na Hamasi.

Tukiwambia tuonyesheni risasi moja ISIS kapiga Israel hamuwezi tuonyesha.


View: https://x.com/OmaPalestine/status/1814570484337406272?t=e86i8Fw7uUBHK6GgOs857Q&s=19

Hiyo ni video ya 2018 sio sasa. Kama source yako ni hiyo post basi umefeli

Cc JamiiCheck futa uzushi.
Hilo ji islamist jinga kweli!! Halijui kuwa ISIS ni Sunni kindakindaki, wakati Kamasi ingawa ni Sunni, wamejiruhusu kutumiwa na Shia Iran na Hezibulah. Msunni hasa hasa, kwake yeye afadhali aishi na dini nyingine yeyote lakini siyo Shia. Kwa maana hiyo Makamasi yamefanya shirki kuwaruhusu Shia
 
Hilo ji islamist jinga kweli!! Halijui kuwa ISIS ni Sunni kindakindaki, wakati Kamasi ingawa ni Sunni, wamejiruhusu kutumiwa na Shia Iran na Hezibulah. Msunni hasa hasa, kwake yeye afadhali aishi na dini nyingine yeyote lakini siyo Shia. Kwa maana hiyo Makamasi yamefanya shirki kuwaruhusu Shia
Bwege wewe hujui lolote, Hamasi toka lini alisaidiwa na hao Sunni? Afu Sunni yupi unaye muongelea? Labda wewe unawaongelea hao Al Wahabi hao wako mbali kabisa na Sunni.

Sunni hawana uadui na Shia hata siku moja, wenye uadui na Shia ni Al wahabi hao ukifatilia story zao ni Wayahudi kabisa, daima wanawakufurisha waislam wenye madhehebu tofouti na wao. Hawajawacha Sunni. Shia au Ibadhi.

Sehemu wako hao Al Wahabi ndio Israel anapo pumulia kufanya agenda zake.
Hakuna uislam unasema Shia ni kafiri isipo kuwa hao Al wahabi.

Jinga mmoja wewe nenda kajifunze Uislam nini mana yake, kabla ya kukimbilia kuleta unafiki eti Hamasi ni ma Sunni wamefanya shiriki 😄 Wewe unajua nini mana ya shiriki? Shiriki ni nyie vilaza mnao sema binadamu anajibadili anakuwa Mungu na Holy Spirit hapo hapo.

Mungu wa bibilia huyo na taifa lake nice video.


View: https://youtu.be/kQI7WWCi-eQ?si=RG6Ku8g3825pzy2U
 
Bwege wewe hujui lolote, Hamasi toka lini alisaidiwa na hao Sunni? Afu Sunni yupi unaye muongelea? Labda wewe unawaongelea hao Al Wahabi hao wako mbali kabisa na Sunni.

Sunni hawana uadui na Shia hata siku moja, wenye uadui na Shia ni Al wahabi hao ukifatilia story zao ni Wayahudi kabisa, daima wanawakufurisha waislam wenye madhehebu tofouti na wao. Hawajawacha Sunni. Shia au Ibadhi.

Sehemu wako hao Al Wahabi ndio Israel anapo pumulia kufanya agenda zake.
Hakuna uislam unasema Shia ni kafiri isipo kuwa hao Al wahabi.
Ulichomjibu kuna kitu ndio atajifunza na kuujua ukweli ila hapo chini wacha nikujibu bazaz ikuoneshe Yesu ni Mungu katika uislam
Jinga mmoja wewe nenda kajifunze Uislam nini mana yake, kabla ya kukimbilia kuleta unafiki eti Hamasi ni ma Sunni wamefanya shiriki 😄 Wewe unajua nini mana ya shiriki? Shiriki ni nyie vilaza mnao sema binadamu anajibadili anakuwa Mungu na Holy Spirit hapo hapo.
Quran Surah Mariam Aya ya 19:19 Holly Son atazaliwa - Je kuna Aliyetakasika zaidi ya Jesus katika huu ulimwengu?
Allah = Jesus
and unapoambiwa na Malaika kuwa atazaliwa aliyetakasika mean power inayotaka kupitia kwa Mariam
Quran 19:19(Malaika) akasema: Hakika mimi ni mwenye kutumwa na Mola wako Mlezi ili nikubashirie tunu ya mwana aliye takasika.
Quran 3:39 Yahya anaambiwa na Malaika kuthibitishiwa the Word of God Atashuka na kuzaliwa na Mwanamke

So the angels called him while he was standing in prayer in the chamber, "Indeed, Allāh gives you good tidings of John, confirming a word1 from Allāh and [who will be] honorable, abstaining [from women], and a prophet from among the righteous."=(Sisi ndio sisi sio nyie msio na wema chuki tu zimewajaa)
— Saheeh International

Jesus ni Kalimat min Allah. Yaani Neno la Mungu ndio mwadhani mwili ndio tunaabudu... Learn learn

Quran 4:171 imethibitisha kila kitu Jesus ni Mungu. Messenger+Word+Spirit

Jesus ni word from inside Allah yaani yale maneno yatokayo kinywani kwake ndio yaligeuka fresh. Messenger aliyetumwa to people of the wolrd, and Ni Roho inayoendelea kuwepo directly kwa Yesu. and word of Allah yalikuwepo not in creations So yalikuja kwa Mariam yakawa fresh and yalifanya kila kisichowezekana kwa binadamu, Kusamehe Dhambi,Kufufua,Kuumba,Kuzuia power of nature,Kutembea juu ya maji,Kugeuza maji kuwa Divai,Kulisha thousand of people kugeuza from samaki wachache na mikate michache kuwa mingi, kuona visivyo onekana,kuondosha mapepo Uungu wako hauna mfano.

Tell me kwa aya hiyo Jesus sio God?

Mungu wa bibilia huyo na taifa lake nice video.
Jesus is called the word of God in the Qur'an because he was brought into existence by God without a father

We know mmebadilisha maneno ya Gabriel aliyosema mtoto atazaliwa na atakuwa Son of God nyie mkatoa Son mkaweka Word yaani ndio mlimpa Yesu umungu instead of Son japo son of God nae ni God copy of God inakuwa

Tumegundua Allah aliumba kalam and kalam ndio ikaumba dunia na pepo

“Na Yesu alipoleta ufafanuzi alisema: “Hakika nimekuleteeni hikima, na ili nikubainishieni baadhi ya yale mnayokhitalifiana. Basi mcheni Mwenyezi Mungu na nitiini mimi.” (43:63).



Naomba nikuulize Nini maana ya Allah?
 
Ulichomjibu kuna kitu ndio atajifunza na kuujua ukweli ila hapo chini wacha nikujibu bazaz ikuoneshe Yesu ni Mungu katika uislam
Yesu hawezi kuwa Mungu hata siku moja wala hawezi kuwa mtoto wa Mungu hata siku moja wacheni kukufuru.

Yesu kuna sehemu nyingi sana anasema Yeye ni Messenger wa Mungu. Katazame bibilia zenu

Mfano hi midogo tu nakuwekea kwenye bibilia zenu

Matthew 24:36
No one knows about that day or hour, not even the Son, but the Father only.
Here Jesus makes a distinction between what he knows and what the Father knows. He had no knowledge about the last day but only the father

Jesus came to this earth as a Messenger from God the Father. Malachi 3:1 mentions two messengers: The first is John the Baptist, who prepared the way for the second Messenger, "the Messenger of the covenant," Jesus Christ.



Quran Surah Mariam Aya ya 19:19 Holly Son atazaliwa - Je kuna Aliyetakasika zaidi ya Jesus katika huu ulimwengu?
Allah = Jesus
and unapoambiwa na Malaika kuwa atazaliwa aliyetakasika mean power inayotaka kupitia kwa Mariam
Quran 19:19(Malaika) akasema: Hakika mimi ni mwenye kutumwa na Mola wako Mlezi ili nikubashirie tunu ya mwana aliye takasika.
Quran 3:39 Yahya anaambiwa na Malaika kuthibitishiwa the Word of God Atashuka na kuzaliwa na Mwanamke

So the angels called him while he was standing in prayer in the chamber, "Indeed, Allāh gives you good tidings of John, confirming a word1 from Allāh and [who will be] honorable, abstaining [from women], and a prophet from among the righteous."=(Sisi ndio sisi sio nyie msio na wema chuki tu zimewajaa)
— Saheeh International

Wacha uwongo wewe hizo Aya zinamuongelea Prophet Zakaria atapata mtoto anaiwa Yahya Qur'an 19.19

The angels called out to him, while he stood praying in the sanctuary, ‘God gives you news of John, confirming a Word from God. He will be noble and chaste, a prophet, one of the righteous.’

Wapi imesema Yesu ni Mungu.

Mitume wengi tu walikuwa wanapewa habari watazaa watoto.

Prophet Ibrahim aliambiwa mke wake Sarah atazaa.

Sa ajabu iko wapi.

Tazama Qur'an inavyo wafundisha kwamba imetoka kwa Mungu sio bibilia ya alie lala chini ya mti


View: https://youtu.be/wA4v8MrBHHc?si=EN4-UeLy7bMO-kdn


Jesus ni Kalimat min Allah. Yaani Neno la Mungu ndio mwadhani mwili ndio tunaabudu... Learn learn

Quran 4:171 imethibitisha kila kitu Jesus ni Mungu. Messenger+Word+Spirit

Jesus ni word from inside Allah yaani yale maneno yatokayo kinywani kwake ndio yaligeuka fresh. Messenger aliyetumwa to people of the wolrd, and Ni Roho inayoendelea kuwepo directly kwa Yesu. and word of Allah yalikuwepo not in creations So yalikuja kwa Mariam yakawa fresh and yalifanya kila kisichowezekana kwa binadamu, Kusamehe Dhambi,Kufufua,Kuumba,Kuzuia power of nature,Kutembea juu ya maji,Kugeuza maji kuwa Divai,Kulisha thousand of people kugeuza from samaki wachache na mikate michache kuwa mingi, kuona visivyo onekana,kuondosha mapepo Uungu wako hauna mfano.

Tell me kwa aya hiyo Jesus sio God?
Qur'an pia ni maneno ya Mungu, Taura ni maneno ya Mungu na Injili ni maneno ya Mungu kwa hio hivyo vitabu vimeisha kuwa Mungu pia au vimekuwa vinafikisha ujumbe? Yesu pia ndio vile vile anafikisha message za Mungu.

Qur'an
4:17) (And remember that) Allah's acceptance of repentance is only for those who commit evil out of ignorance and then soon repent.

Wapi imesema Yesu ni Mungu, we fala kweli unaleta uwongo na ku quote Qur'an haziongelei kabisa unacho Quote.


Jesus is called the word of God in the Qur'an because he was brought into existence by God without a father

We know mmebadilisha maneno ya Gabriel aliyosema mtoto atazaliwa na atakuwa Son of God nyie mkatoa Son mkaweka Word yaani ndio mlimpa Yesu umungu instead of Son japo son of God nae ni God copy of God inakuwa

Tumegundua Allah aliumba kalam and kalam ndio ikaumba dunia na pepo

“Na Yesu alipoleta ufafanuzi alisema: “Hakika nimekuleteeni hikima, na ili nikubainishieni baadhi ya yale mnayokhitalifiana. Basi mcheni Mwenyezi Mungu na nitiini mimi.” (43:63).



Naomba nikuulize Nini maana ya Allah?
Wapi tumebadili kwani Qur'an ni bibilia mpaa iwe ina new edition au version 😄 Qur'an hamna wakuweza ibadili sababu watu wameihifadhi kwenye imani zao imekaa ndani ya vifua vyao.

Allah ni Mungu kama hujui ndio uelewe na Yesu ni binadamu na ni Mtume wa Mungu.
 
Back
Top Bottom