Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Teh teh teh nagusa mfupa nikitaja Chadema yenu vumilia, nilikuambia vumilia utajibiwa kama unavyojibiwa sasa hivi, unaniuliza wakati umeishasema waislam wanataka wapewe majina, mimi naendelea kuwafahamisha wanajamvi Nyerere alichowafanyia Waislam kuna vijana wengi hawajuhi.

Tuendelee na mjadala.
 
Last edited by a moderator:

Wapo wengi sana mkuu Ritz ila binafsi nilishawahi kukaa katika durusu za shekh Nurudin Hussein kule Korogwe ngombezi miaka kama 8 iliyopita japo ilikuwa siku moja ila historia yake na mwl Nyerere inasikitisha sana. Yupo rafiki sharif Albadawi yupo kule Irshadi Lushoto wote hao walionja joto ya jiwe ya Nyerere. BADAWI alikimbilia Lamu na shekh Nurudini alienda kujificha Korogwe akijifanya mfanyabiashara wa mahindi ni baada ya kupewa masaa 24 ya kutoonekana Tanzania wakitokea sero.
 
Last edited by a moderator:
Madai ya Waislam yalishapelewa serikalini wanasubiri majibu wewe hauna cha kuwajibu Waislam zaidi ya kejeli na matusi.

Au wewe unataka kuwa msemaji wa serikali, ngoja tuendelee kuwafahamisha vijana unyama wa Nyerere aliowafanyia Waislam.

Umeishawahi kusikia mateso waliyofanyiwa na Nyerere Masheikh Maalim Matar na Shariff Adnan?
 
Last edited by a moderator:

Lahaula walakuwata illah billah!
Shariff Ritz kutaja majina hayo umenikumbusha machungu mno!

Sijui adhabu anayopata huyo nyerere huko aliko ina maumivu kiasi gani!
Laana tullahi mkubwa yule!!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu CHAMVIGA,

Hawa Masheikh wetu walipata tabu sana Maalim Matar na Shariff Adnan walifungwa jela kwa sababu tu walikuwa wanaswali Msikiti wa Badawiy na Sheikh Hassan bin Amir.

Mwanza kulikuwa na Masheikh wakubwa Sheikh Amin Abdalla wa Msikiti wa Ijuma na Sheikh Amir Mafta wa Msikiti wa Raudhwa wote waliwekwa vizuizini.

Halafu anakuja mtu anasema Waislam kazi yao kulalamika tu hawana akili.
 
Last edited by a moderator:
Huyu hana point ya maana au ameshindwa kisiasa ndiyo maana anaingiza dini kwa sana.Harakati za huru hazikufanywa na nyerere pekee yake na hilo lipo wazi kabisa na waislam wengi sana walishiriki katika harakati hizo ila walifanya jambo zuri sana kutokuingiza udini wao kama msingi wa kugombea uhuru .si kama huyu mtoa mada ambaye amejaa udini mtupu kwenye kichwa chake .nashukru sana waislam wote walioshiriki kudai uhuru kama wakina mzee Tambaza ,Thabiti kombo,bibi Titi na wengine wengi .hawakuwa na udini .na uhuru tuliopata si waislam tu niwa Watanzania wote.na mwenyezi aziweke roho zao peponi
 
Lahaula walakuwata illah billah!
Shariff Ritz kutaja majina hayo umenikumbusha machungu mno!

Sijui adhabu anayopata huyo nyerere huko aliko ina maumivu kiasi gani!
Laana tullahi mkubwa yule!!
Dr. kahtaan,

Hao Masheikh baada ya kutoka jela wametoka wanyonge wamedhofika sana wengi wametangulia mbele ya haki anaweza kuwa amebakia Sheikh Bilal Waikela wa Tabora.

Huwa namkumbuka sana maneno ya Sheik Takadir aliwaonya wenzake kuhusu Nyerere kuwa siyo mtu mzuri atakuja kuwageuka pale atakaposhika madaraka.

Kina Abdulwahid Sykes walimpinga na kuona kama anataka kuleta siasa za kibaguzi.

Majanga.
 
Last edited by a moderator:

Shariff Ritz nakwambia ndugu yangu! Yule laana kamfunga shekh wangu mmoja huko zanzibar Mungu amrehemu zaidi ya miaka 9!!

Kosa lake eti alikuwa swahiba yake na shemeji ya karume wakati wa mauwaji yake!

Kumbe aliye muua karume ni yeye mwenyewe!

Wallahi siku ya mwisho kuna hukumu mbaya sana kwa huyu kiumbe!.
 
Last edited by a moderator:
Msikiti wa Badawiy kulikuwa na Masheikh wawili Shariff Hussein na nduguye Mwinyibaba hawa walikuwa na siasa mbali mbali lakini nao wakapitiwa na fagio la Nyerere.

majanga.
 
Last edited by a moderator:
Msikiti wa Badawiy kulikuwa na Masheikh wawili Shariff Hussein na nduguye Mwinyibaba hawa na siasa mbali mbali lakini nao wakapitiwa na fagio la Nyerere.

Namkumbuka na aliyekuwa kadhi wa zanzibar sheikh A.S.farsi!
baada ya ma swahiba zake kuuwawa na nyerere!
akakimbilia kenya na kuwa kadhi wa huko!

Allah yarhamu maskana fil jannah!
 
Namkumbuka na aliyekuwa kadhi wa zanzibar sheikh A.S.farsi!
baada ya ma swahiba zake kuuwawa na nyerere!
akakimbilia kenya na kuwa kadhi wa huko!

Allah yarhamu maskana fil jannah!
Baadae Nyerere akaunda Bakwata hii ambayo inatetewa na kina Mag3, msiba mkubwa.
 
Last edited by a moderator:

Kuna akina Jumbe waliowekewe kizuizi cha kutotoka ndani ya mji wa daresalaam tangu miaka ya utawala wa nyerere kama sio huruma ya Raisi kikwete kumruhusu ingekuwa afie ndani ya dar bila kugusa nje ya mkoa huu.
 
Last edited by a moderator:
Kuna akina Jumbe waliowekewe kizuizi cha kutotoka ndani ya mji wa daresalaam tangu miaka ya utawala wa nyerere kama sio huruma ya Raisi kikwete kumruhusu ingekuwa afie ndani ya dar bila kugusa nje ya mkoa huu.

Nakumbuka mimi na ustadh lipumba wa mwanza tulikalishwa chini ya ulinzi pale posta Tabora back in 80s eti hatukusimama wakati bendera inateremshwa!
😀😀😀😀
Yaani sheria za kidikteta waazi kabisa!
Mnfnssssssssss!
 

Wacha porojo wewe, yote majina yako!

Na lile la Mtume Paulo ndio lako la UBATIZO

Na ahidi kujadiliana na wewe popote pale hata ukitaka "one to one"

Iwe mada hii na nyengine yoyote, lakini kwanza fanya utoe "mwiba wa tak.o"

Baada ya hilo, bila shaka utakua ni mwenye kufaulu!

Ahsante!
 
Last edited by a moderator:
Swahiba Tayeb umeamka na mipini ya ajabu hii! Teh teh teh teh!
Umemuona eee! Sisi tunajadili mashariki yeye anatupeleka magharibi!
Tukijaribu kumfuata huko magaharibi anakirukia kusini!!
Lahaula walaquwata! Yaani mpaka unashindwa kushangaa!

Yaani huyu ni kiumbe wa ajabu sana!

Nilidhani hii tabia yake ya kuruka huku na kule nimeiona peke yangu!

Tehe tehe tehe!
 
Last edited by a moderator:



Ewe Mbondei "mlango wa nane" aka Nguruwe3!

Mbona unaongea kama vile umepandwa na mapepo!?...inalazim ukamuone Muchungaji Kakobe akakuombee! Kwi! Kwi! Kwi!

Kwanini unahangaika kujaza server/s humu na kulazimisha kuzungumza na watu ambao tayari tushakudharau kitambo!?

Wewe unafikiri sisi soote hatuna maisha,kazi yetu ni kuingia humu Jf kusoma tu uharo wako na kujibizana na hoja zenu mfu zilojaa chuki za kidini na tashtit!?...get a life!

Kama nyinyi mnaaminishwa yakuwa Waislam woote "hawajasoma"/"wavivu" wa kusoma na utumbo mwingineo mwingi;kwa hiyo kwa kukusaidia tu,huyo Mshume Kiyate, upikwe wali sufuria mbili...peleka kwa wajukuu zake wakale,basi tutatulia na kukupunguzieni hili zogo humu Jf!! Kwi! Kwi! kwi!

Si unajua Waislam akili zao ni kupenda "ubwabwa" tu na kucheza bao!?

Sarcasm and cynical humour speak to your lack of empathy!


Ahsanta.

Ps; "Ukipanda upepo tegemea kuvuna kimbunga" - Ayatollah Chamviga.
 



Deers cannot invite lions over for dinner and get shocked that they became the meat to eat! Kwi! Kwi! Kwi!

I told you before;abdicate responsibility and you pay!

Ahsanta.
 



Ewe Mag3!,

Embu wacha kutuchosha na haya mapicha...sasa tunahitaji vitendo na sio mapicha ndugu yangu.

Sisi dini yetu inakataza kabisa kuabudu/kusujudia masanamu...kwa hiyo tafadhali punguza haya mapicha yako kijana! Kwi! Kwi! Kwi!

Kuanzia leo nakusihi kama utahitaji kunini-quote...tafadhali hakikisha unaleta post yangu nzima/yoote.

Nazijua propagandas zenu wewe na huyo Nguruvi3, as you always misquote/out of context people and enjoy by taking cheap credit out of it!

Wapi mimi nilisema yakuwa huyo Mufti wako Sheikh Shaaban Bin Simba yakuwa ati hana Ilm ya dini!?...

Nimesema tu yakuwa hana Ilm,na nikatoa mifano yakuwa tatizo hilo lipo pia hata kwa Politicians wengi tu!

Nanyi mnapenda na kushangilia mno hiyo Bakwata iongozwe na watu kama kina Sheikh Simba na kundi lake kwa manufaa yenu na huo MfumoKristo tu!

Ahsanta.
 


Ewe Muhehe mla Mbwa aka "Bin Nyerere"!

I would love to chop off your skinny feet,then burn your a.s.s on a tree while you are hanging from your neck!!

Ahsanta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…