Yaani ni rahisi kujenga nyumba 1000 kwa muda mfupi na uliopangwa zitakuwa zimekamilika kuliko wewe mjukuu wa Abuu jahli kuelewa nini waelekezwa,
Wewe na kiswahili wapi na wapi ama ufunzike kwa lugha ipi ilo nyepesi kwako?
Bila haya wala staha ati nawe uulize swali ushindwejibiwa,
Makafiri wenzio wajanja watupia macjo tu na kuondoka,
Maswali unayokutana nayo wayajibu ama tushike nyundo kwa kumuua sisimizi?!
Kwi kwi kwi ...!
Umekuja kwa spidi kali na bila kujijua umejigonga kwenye mlango na kuziraiWewe Mlokole, kuanzia sasa, hivi lete masuali/"hoja" zako zoote kwangu mimi na ninakusubiria hapa!
Ahsanta.
Hivi mzee unajua nimekuuliza kitu gani?
Maana nijuavyo mimi kuna majibu yasiyo sahihi na kuna kujibu jibu sahihi na kuna kutokujibu kabisa
Nimekuuliza kilichomfanya Nyerere awe na nafasi aliyokuwa nayo miongoni mwa watu ambao walikuwa na harakati na kulikuwa na itikadi ya harakati hizo na Nyerere hakuwa na itikadi hiyo,iweje akapewa madaraka aliyokuwa nayo bila kuwa na itikadi husika ya harakati?
Hujanijibu hili achilia mbali kunipa majibu ambayo sio sahihi
Sasa sijui tatizo liko kwa nani hapa
Kama una jibu la hili si uniambie tu?
Tatizo ni nini Mzee MOHAMMEDI?
Au huna jibu?
Umekuja kwa spidi kali na bila kujijua umejigonga kwenye mlango na kuzirai
Hicho ulichoki-quote hujakisoma?
Au hata hujui swali ni kitu gani we maamuma?
Eiyer,
Mbona nimekushauri usome kitabu changu?
Hili nimekueleza mara ya kwanza ulipoleta swali lako.
Ndani ya kitabu changu utapata mengi ambayo hukuwa unayajua na kwa hakika
si kama napuliza zumari lango mwenyewe lakini ukweli ni kuwa kila aliyesoma kitabu
changu kaathirika.
Nakushauri usome kitabu hicho.
Kisha rudi tufanye mnakasha endapo utaona ipo haja.
Haya ndio majibu ya hoja/maswali yangu yote kama ulivyokuja kwa spidi?The truth has never denied the seeker...it's the seeker who has denied the truth!
Ahsanta.
Ndugu yangu naona hata fadhaa kufungua nyuzi hii. Kinachonishangaza nimesoma mahali nikapewa'daawa' ya Usilam, nikisoma wanaotoa daawa najiuliza hivi kumbe daawa ni matusi tena mazito! Sasa huyo kafir asiyetukana si ataona ukafir wake unathamani kuliko imani iliyojengwa katika lugha.. lahaula eeh mola wanusuru vizazi vyako. Huu ni mtihani mkubwa.
Nikimsikia mzee mmoja pale Mikwamba akigutiwa Chukumeni, yeye akisali sana na kusema watu walinganiwe kwa hoja na mntiki ili wavutike katika iman. Nilitegemea Mzee Said angesimama na hekma na busara kuwakanya vijana wake kwamba sivyo hivyo. Mitume waliopita hawakufanya hivyo hata pale walipopolewa kwa mawe.
Bahti mbaya Mohamed Said naye kashangilia mahali nilipokuwa napewa 'dozi ya matusi tena ya nguoni'
Mimi nasimama katika kusema na kutete ukweli. Dhidi ya yote wapo wanaoona na kusema 'ahsante' kwa kunena.
Nikiambiwa na mjomba yangu pale Ubwari akisema njia rahisi ya kupata maadui ni kuwa mkweli. Inshallah ilikuwa ilm kubwa na habri hizo ni kubwa!
Najiuliza kikosi kazi hiki kikiwa na MS kwa majaaliwa ndio bodi ya shule ya Masjid Quba nini kitatokea.!!
Yote heri mnyazi atunusuru lakini safari ni ndefu na kazi ya kutoa elimu ni ngumu. Tusipotoa nani atatoa?
Mzee huu sasa ni uoga
Kwanini usinijibie hapa hapa?
Mbona umeweza kuniambia kuwa Waislam ndio waliopigania uhuru na itikadi ya huo uhuru ilikuwa ni Uislam?
Kwanini majibu ya maswali yangu yanayotokana na hayo maelezo yako nikayapate kitabuni?
Kwanini usinijibu hapahapa tu ili nijue na kuridhika?
Ni nini sababu hasa ya uzi huu kama maswali hayajibiwi?
Mbona maswali mengine unajaribu kuyajibu lakini hilo hutaki?
Au unaogopa?
Au huna majibu?
Je nikisoma na nisiporidhika nitamuuliza nani maswali?
Mzee hebu acha woga!
Nguruvi3Ndugu yangu naona hata fadhaa kufungua nyuzi hii. Kinachonishangaza nimesoma mahali nikapewa'daawa' ya Usilam, nikisoma wanaotoa daawa najiuliza hivi kumbe daawa ni matusi tena mazito! Sasa huyo kafir asiyetukana si ataona ukafir wake unathamani kuliko imani iliyojengwa katika lugha.. lahaula eeh mola wanusuru vizazi vyako. Huu ni mtihani mkubwa.
Nikimsikia mzee mmoja pale Mikwamba akigutiwa Chukumeni, yeye akisali sana na kusema watu walinganiwe kwa hoja na mntiki ili wavutike katika iman. Nilitegemea Mzee Said angesimama na hekma na busara kuwakanya vijana wake kwamba sivyo hivyo. Mitume waliopita hawakufanya hivyo hata pale walipopolewa kwa mawe.
Bahti mbaya Mohamed Said naye kashangilia mahali nilipokuwa napewa 'dozi ya matusi tena ya nguoni'
Mimi nasimama katika kusema na kutete ukweli. Dhidi ya yote wapo wanaoona na kusema 'ahsante' kwa kunena.
Nikiambiwa na mjomba yangu pale Ubwari akisema njia rahisi ya kupata maadui ni kuwa mkweli. Inshallah ilikuwa ilm kubwa na habri hizo ni kubwa!
Najiuliza kikosi kazi hiki kikiwa na MS kwa majaaliwa ndio bodi ya shule ya Masjid Quba nini kitatokea.!!
Yote heri mnyazi atunusuru lakini safari ni ndefu na kazi ya kutoa elimu ni ngumu. Tusipotoa nani atatoa?
Muhammad SAW. Fanya adabu na heshima unapoandika jina la Muhammad SAW, nimeshakuona mara kadhaa unabadili liandikwavyo makusudi. Vipi? unaogopa, unatutafuta au ndio heshima ya "Uafrika kwanza" ilivyokufundisha?
Ndio maana nasema hakuna amani kwenye uislam. Yaani unatafuta ugomvi hata kwenye issue ya typo eti nawatafuta. Na shehe ubwabwa kahtaan anaongelea mikoba ya AK47 au rungu. Hayo yote ni military mentality ambazo zina prove nilichosema. Uislam nikama old wild wild west shootout until the last man stand. Mulianza kuua watu wadini nyingine wakati muhamad yupo hai na mkaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe baada tu ya muhamad kufa. Namtazidi kuuwa watu wa dini nyingine na kuuana wenyewe kwa wenyewe mapaka mpaka mtakapo anza kutumia ubongo na kufanya reformation kwenye dini yenu. Ndio waislam wenye akili kama tunisia na iran wanapunguza mambo ya dini kweye siasa zao. Nimeulizwa swali fundamental kwenye uislam hakuna anaejibu heti hakuna jibu fupi. Wengine wanajibi kwa kuuliza swali. Nazani mnaogopa kutoa misimamo yenu maana mtaanza kutofautiana wenyewe kwa wenyewe alafu muanze kutiana mapanga.
Nauliza tena. Shia wana amini Ali ndiye alikuwa anatakiwa kumridhi muhamadi alipokufa. Tena Ali ndie alie alieandikwa kwenye kuruani zaidi. Ila watu walichakachua kuruani kufuta umuimu Ali. Nikweli?
Weka msimamo wako hapa jf
Ndio maana nasema hakuna amani kwenye uislam. Yaani unatafuta ugomvi hata kwenye issue ya typo eti nawatafuta. Na shehe ubwabwa kahtaan anaongelea mikoba ya AK47 au rungu. Hayo yote ni military mentality ambazo zina prove nilichosema. Uislam nikama old wild wild west shootout until the last man stand. Mulianza kuua watu wadini nyingine wakati muhamad yupo hai na mkaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe baada tu ya muhamad kufa. Namtazidi kuuwa watu wa dini nyingine na kuuana wenyewe kwa wenyewe mapaka mpaka mtakapo anza kutumia ubongo na kufanya reformation kwenye dini yenu. Ndio waislam wenye akili kama tunisia na iran wanapunguza mambo ya dini kweye siasa zao. Nimeulizwa swali fundamental kwenye uislam hakuna anaejibu heti hakuna jibu fupi. Wengine wanajibi kwa kuuliza swali. Nazani mnaogopa kutoa misimamo yenu maana mtaanza kutofautiana wenyewe kwa wenyewe alafu muanze kutiana mapanga.
Nauliza tena. Shia wana amini Ali ndiye alikuwa anatakiwa kumridhi muhamadi alipokufa. Tena Ali ndie alie alieandikwa kwenye kuruani zaidi. Ila watu walichakachua kuruani kufuta umuimu Ali. Nikweli?
Weka msimamo wako hapa jf
teh teh teh kijana naona unabwataka wakati wazee wamepumzika! Unarudia maneno kama matangazo ya vifo!
Hao shia wanaosema hayo unayodai WA WAPI?? WA GONGO LA MBOTO? AU WA KITUMBINI??
Nimekwambia weka USHAHIDI WA MADAI YAKO HAPA! LKN WE NI DOMO KAYA TU! Huna ulijualo zaidi ya maneno ya rusha roho!
Nenda kamtafute kiongozi wako aje hapa na USHAHIDI ILI APATE KUFUNDISHWA1
Zaidi ya hapo Unaoteza wakati wangu muimu sana!
Halafu nimeshaanza kuskia harufu ya UGALATIA HAPA! Nakuuliza wewe umesha PAKWA! AU BADO!? ILI NIFUNGUE MKOBA UNAO KUFAA??
Haya toa jibu kabla hujatiwa sunnah!
Ndio maana nasema hakuna amani kwenye uislam. Yaani unatafuta ugomvi hata kwenye issue ya typo eti nawatafuta. Na shehe ubwabwa kahtaan anaongelea mikoba ya AK47 au rungu. Hayo yote ni military mentality ambazo zina prove nilichosema. Uislam nikama old wild wild west shootout until the last man stand. Mulianza kuua watu wadini nyingine wakati muhamad yupo hai na mkaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe baada tu ya muhamad kufa. Namtazidi kuuwa watu wa dini nyingine na kuuana wenyewe kwa wenyewe mapaka mpaka mtakapo anza kutumia ubongo na kufanya reformation kwenye dini yenu. Ndio waislam wenye akili kama tunisia na iran wanapunguza mambo ya dini kweye siasa zao. Nimeulizwa swali fundamental kwenye uislam hakuna anaejibu heti hakuna jibu fupi. Wengine wanajibi kwa kuuliza swali. Nazani mnaogopa kutoa misimamo yenu maana mtaanza kutofautiana wenyewe kwa wenyewe alafu muanze kutiana mapanga.
Nauliza tena. Shia wana amini Ali ndiye alikuwa anatakiwa kumridhi muhamadi alipokufa. Tena Ali ndie alie alieandikwa kwenye kuruani zaidi. Ila watu walichakachua kuruani kufuta umuimu Ali. Nikweli?
Weka msimamo wako hapa jf
Ndugu yangu naona hata fadhaa kufungua nyuzi hii. Kinachonishangaza nimesoma mahali nikapewa'daawa' ya Usilam, nikisoma wanaotoa daawa najiuliza hivi kumbe daawa ni matusi tena mazito! Sasa huyo kafir asiyetukana si ataona ukafir wake unathamani kuliko imani iliyojengwa katika lugha.. lahaula eeh mola wanusuru vizazi vyako. Huu ni mtihani mkubwa.
Nikimsikia mzee mmoja pale Mikwamba akigutiwa Chukumeni, yeye akisali sana na kusema watu walinganiwe kwa hoja na mntiki ili wavutike katika iman. Nilitegemea Mzee Said angesimama na hekma na busara kuwakanya vijana wake kwamba sivyo hivyo. Mitume waliopita hawakufanya hivyo hata pale walipopolewa kwa mawe.
Bahti mbaya Mohamed Said naye kashangilia mahali nilipokuwa napewa 'dozi ya matusi tena ya nguoni'
Mimi nasimama katika kusema na kutete ukweli. Dhidi ya yote wapo wanaoona na kusema 'ahsante' kwa kunena.
Nikiambiwa na mjomba yangu pale Ubwari akisema njia rahisi ya kupata maadui ni kuwa mkweli. Inshallah ilikuwa ilm kubwa na habri hizo ni kubwa!
Najiuliza kikosi kazi hiki kikiwa na MS kwa majaaliwa ndio bodi ya shule ya Masjid Quba nini kitatokea.!!
Yote heri mnyazi atunusuru lakini safari ni ndefu na kazi ya kutoa elimu ni ngumu. Tusipotoa nani atatoa?
Ndio maana nasema hakuna amani kwenye uislam. Yaani unatafuta ugomvi hata kwenye issue ya typo eti nawatafuta. Na shehe ubwabwa kahtaan anaongelea mikoba ya AK47 au rungu. Hayo yote ni military mentality ambazo zina prove nilichosema. Uislam nikama old wild wild west shootout until the last man stand. Mulianza kuua watu wadini nyingine wakati muhamad yupo hai na mkaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe baada tu ya muhamad kufa. Namtazidi kuuwa watu wa dini nyingine na kuuana wenyewe kwa wenyewe mapaka mpaka mtakapo anza kutumia ubongo na kufanya reformation kwenye dini yenu. Ndio waislam wenye akili kama tunisia na iran wanapunguza mambo ya dini kweye siasa zao. Nimeulizwa swali fundamental kwenye uislam hakuna anaejibu heti hakuna jibu fupi. Wengine wanajibi kwa kuuliza swali. Nazani mnaogopa kutoa misimamo yenu maana mtaanza kutofautiana wenyewe kwa wenyewe alafu muanze kutiana mapanga.
Nauliza tena. Shia wana amini Ali ndiye alikuwa anatakiwa kumridhi muhamadi alipokufa. Tena Ali ndie alie alieandikwa kwenye kuruani zaidi. Ila watu walichakachua kuruani kufuta umuimu Ali. Nikweli?
Weka msimamo wako hapa jf
Jibu swali. Acha mambo ya gongo la mboto na kitumbini. Mimi nafanya research zangu mwenyewe. Kwanini unashindwa kutoa msimamo wako. Unaogopa nini. Au wanavyokuita Dr. Ni Dr ya kugangia njaa. Sema unachoamini wewe sio uancho ambiwa. Nausiogope kuweka misimamo yako.
Hizo Typo zako zipo kwenye jina la Muhammad SAW tu?
Nguruvi,
Siwezi kushangiliwa wewe kutukanwa.
Siwezi kukosa adabu kiasi hicho.
Ngoja tu tuassume kuwa mmenijibu
Sasa si mnioneshe hayo majibu?
Au kama mnayajua ni kazi gani mnayoipata kunijibu tena?
Mbona mimi maswali yangu nayarudia kirahisi tu?