Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Yaani ni rahisi kujenga nyumba 1000 kwa muda mfupi na uliopangwa zitakuwa zimekamilika kuliko wewe mjukuu wa Abuu jahli kuelewa nini waelekezwa,

Wewe na kiswahili wapi na wapi ama ufunzike kwa lugha ipi ilo nyepesi kwako?

Bila haya wala staha ati nawe uulize swali ushindwejibiwa,

Makafiri wenzio wajanja watupia macjo tu na kuondoka,

Maswali unayokutana nayo wayajibu ama tushike nyundo kwa kumuua sisimizi?!

Kwi kwi kwi ...!

Ngoja tu tuassume kuwa mmenijibu

Sasa si mnioneshe hayo majibu?

Au kama mnayajua ni kazi gani mnayoipata kunijibu tena?

Mbona mimi maswali yangu nayarudia kirahisi tu?
 
Wewe Mlokole, kuanzia sasa, hivi lete masuali/"hoja" zako zoote kwangu mimi na ninakusubiria hapa!
Ahsanta.
Umekuja kwa spidi kali na bila kujijua umejigonga kwenye mlango na kuzirai

Hicho ulichoki-quote hujakisoma?

Au hata hujui swali ni kitu gani we maamuma?
 
Hivi mzee unajua nimekuuliza kitu gani?

Maana nijuavyo mimi kuna majibu yasiyo sahihi na kuna kujibu jibu sahihi na kuna kutokujibu kabisa

Nimekuuliza kilichomfanya Nyerere awe na nafasi aliyokuwa nayo miongoni mwa watu ambao walikuwa na harakati na kulikuwa na itikadi ya harakati hizo na Nyerere hakuwa na itikadi hiyo,iweje akapewa madaraka aliyokuwa nayo bila kuwa na itikadi husika ya harakati?

Hujanijibu hili achilia mbali kunipa majibu ambayo sio sahihi
Sasa sijui tatizo liko kwa nani hapa

Kama una jibu la hili si uniambie tu?
Tatizo ni nini Mzee MOHAMMEDI?
Au huna jibu?

Eiyer,
Mbona nimekushauri usome kitabu changu?

Hili nimekueleza mara ya kwanza ulipoleta swali lako.

Ndani ya kitabu changu utapata mengi ambayo hukuwa unayajua na kwa hakika
si kama napuliza zumari lango mwenyewe lakini ukweli ni kuwa kila aliyesoma kitabu
changu kaathirika.

Nakushauri usome kitabu hicho.
Kisha rudi tufanye mnakasha endapo utaona ipo haja.
 
Umekuja kwa spidi kali na bila kujijua umejigonga kwenye mlango na kuzirai

Hicho ulichoki-quote hujakisoma?

Au hata hujui swali ni kitu gani we maamuma?


The truth has never denied the seeker...it's the seeker who has denied the truth!

Ahsanta.
 
Eiyer,
Mbona nimekushauri usome kitabu changu?

Hili nimekueleza mara ya kwanza ulipoleta swali lako.

Ndani ya kitabu changu utapata mengi ambayo hukuwa unayajua na kwa hakika
si kama napuliza zumari lango mwenyewe lakini ukweli ni kuwa kila aliyesoma kitabu
changu kaathirika.

Nakushauri usome kitabu hicho.
Kisha rudi tufanye mnakasha endapo utaona ipo haja.

Mzee huu sasa ni uoga

Kwanini usinijibie hapa hapa?
Mbona umeweza kuniambia kuwa Waislam ndio waliopigania uhuru na itikadi ya huo uhuru ilikuwa ni Uislam?

Kwanini majibu ya maswali yangu yanayotokana na hayo maelezo yako nikayapate kitabuni?
Kwanini usinijibu hapahapa tu ili nijue na kuridhika?

Ni nini sababu hasa ya uzi huu kama maswali hayajibiwi?
Mbona maswali mengine unajaribu kuyajibu lakini hilo hutaki?

Au unaogopa?
Au huna majibu?

Je nikisoma na nisiporidhika nitamuuliza nani maswali?
Mzee hebu acha woga!
 
The truth has never denied the seeker...it's the seeker who has denied the truth!
Ahsanta.
Haya ndio majibu ya hoja/maswali yangu yote kama ulivyokuja kwa spidi?

Au huna majibu?
 
Ndugu yangu naona hata fadhaa kufungua nyuzi hii. Kinachonishangaza nimesoma mahali nikapewa'daawa' ya Usilam, nikisoma wanaotoa daawa najiuliza hivi kumbe daawa ni matusi tena mazito! Sasa huyo kafir asiyetukana si ataona ukafir wake unathamani kuliko imani iliyojengwa katika lugha.. lahaula eeh mola wanusuru vizazi vyako. Huu ni mtihani mkubwa.



Nikimsikia mzee mmoja pale Mikwamba akigutiwa Chukumeni, yeye akisali sana na kusema watu walinganiwe kwa hoja na mntiki ili wavutike katika iman. Nilitegemea Mzee Said angesimama na hekma na busara kuwakanya vijana wake kwamba sivyo hivyo. Mitume waliopita hawakufanya hivyo hata pale walipopolewa kwa mawe.
Bahti mbaya Mohamed Said naye kashangilia mahali nilipokuwa napewa 'dozi ya matusi tena ya nguoni'

Mimi nasimama katika kusema na kutete ukweli. Dhidi ya yote wapo wanaoona na kusema 'ahsante' kwa kunena.
Nikiambiwa na mjomba yangu pale Ubwari akisema njia rahisi ya kupata maadui ni kuwa mkweli. Inshallah ilikuwa ilm kubwa na habri hizo ni kubwa!

Najiuliza kikosi kazi hiki kikiwa na MS kwa majaaliwa ndio bodi ya shule ya Masjid Quba nini kitatokea.!!
Yote heri mnyazi atunusuru lakini safari ni ndefu na kazi ya kutoa elimu ni ngumu. Tusipotoa nani atatoa?

Nguruvi,
Siwezi kushangiliwa wewe kutukanwa.

Siwezi kukosa adabu kiasi hicho.
 
Mzee huu sasa ni uoga

Kwanini usinijibie hapa hapa?
Mbona umeweza kuniambia kuwa Waislam ndio waliopigania uhuru na itikadi ya huo uhuru ilikuwa ni Uislam?

Kwanini majibu ya maswali yangu yanayotokana na hayo maelezo yako nikayapate kitabuni?
Kwanini usinijibu hapahapa tu ili nijue na kuridhika?

Ni nini sababu hasa ya uzi huu kama maswali hayajibiwi?
Mbona maswali mengine unajaribu kuyajibu lakini hilo hutaki?

Au unaogopa?
Au huna majibu?

Je nikisoma na nisiporidhika nitamuuliza nani maswali?
Mzee hebu acha woga!

Eiyer,
Msingi wa mnakasha huu hapa JF ni kitabu changu ikiwa hukuwa unafahamu.

Kumbe kitabu hujasoma umeingia tu na kuanza kujadili.
Hapana ubaya.

Sasa wewe huoni ikiwa utakuwa umekisoma kitabu utakuwa katika hali nzuri
ya kuchangia?

Kuhusu uoga hiyo si sifa yangu.
 
Ndugu yangu naona hata fadhaa kufungua nyuzi hii. Kinachonishangaza nimesoma mahali nikapewa'daawa' ya Usilam, nikisoma wanaotoa daawa najiuliza hivi kumbe daawa ni matusi tena mazito! Sasa huyo kafir asiyetukana si ataona ukafir wake unathamani kuliko imani iliyojengwa katika lugha.. lahaula eeh mola wanusuru vizazi vyako. Huu ni mtihani mkubwa.

Nikimsikia mzee mmoja pale Mikwamba akigutiwa Chukumeni, yeye akisali sana na kusema watu walinganiwe kwa hoja na mntiki ili wavutike katika iman. Nilitegemea Mzee Said angesimama na hekma na busara kuwakanya vijana wake kwamba sivyo hivyo. Mitume waliopita hawakufanya hivyo hata pale walipopolewa kwa mawe.
Bahti mbaya Mohamed Said naye kashangilia mahali nilipokuwa napewa 'dozi ya matusi tena ya nguoni'

Mimi nasimama katika kusema na kutete ukweli. Dhidi ya yote wapo wanaoona na kusema 'ahsante' kwa kunena.
Nikiambiwa na mjomba yangu pale Ubwari akisema njia rahisi ya kupata maadui ni kuwa mkweli. Inshallah ilikuwa ilm kubwa na habri hizo ni kubwa!

Najiuliza kikosi kazi hiki kikiwa na MS kwa majaaliwa ndio bodi ya shule ya Masjid Quba nini kitatokea.!!
Yote heri mnyazi atunusuru lakini safari ni ndefu na kazi ya kutoa elimu ni ngumu. Tusipotoa nani atatoa?
Nguruvi3

Tulizana najua mipini inauma barabaraa!kazi meno taratibu utazoea tu ndugu yangu, wala hakuna tusi lolote ulilotukanwa hizi ni bayana Mubashar tu zinajibu posts zako tuwie radhi kama zinaumiza unavuna ulichokipanda.

Uislam wala hauitaji kutetewa na mtu mnafiki kama wewe, wala wewe siyo wakutufundisha sisi Uislam, Uislam ndiyo dini yenye nguvu yenye ubavu wa kusimama dhidi ya mawimbi ya upagani ukiburi na wale wote wanaowakejeli Waislam.

Wewe ndiyo umetuita sisi wajinga na tunakumbatia ujinga, wewe ndiyo umetuita Stupid, wewe ndiyo umewaita wazee wetu walioutangulia mbele haki kuwa walikuwa "Madhalim wakubwa"

Wewe ndiyo umetuita kuwa hatutaki kusoma wala kupeleka watoto wetu shule.

Leo unajifanya kukimbilia kwenye Uislam, teh teh teh. Dini yetu imetukataza kuwa wanyonge wakati tunaposhambuliwa.

Nguruvi3 ni vigumu sana kuwa mpole ukiwa na nguvu na shujaa kama hawa Maulamaa gombesugu Ritz kahtaan wabara Boko haram Tayeb CHAMVIGA THE BIG SHOW njiwa

Wewe ndiyo umetaka haina ya mjadala uwe hivi kutokana na kauli zako kwetu ambazo wewe unaziita ukweli mtupu basi na wewe pokea majibu matupu.
 
Last edited by a moderator:
Muhammad SAW. Fanya adabu na heshima unapoandika jina la Muhammad SAW, nimeshakuona mara kadhaa unabadili liandikwavyo makusudi. Vipi? unaogopa, unatutafuta au ndio heshima ya "Uafrika kwanza" ilivyokufundisha?

Ndio maana nasema hakuna amani kwenye uislam. Yaani unatafuta ugomvi hata kwenye issue ya typo eti nawatafuta. Na shehe ubwabwa kahtaan anaongelea mikoba ya AK47 au rungu. Hayo yote ni military mentality ambazo zina prove nilichosema. Uislam nikama old wild wild west shootout until the last man stand. Mulianza kuua watu wadini nyingine wakati muhamad yupo hai na mkaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe baada tu ya muhamad kufa. Namtazidi kuuwa watu wa dini nyingine na kuuana wenyewe kwa wenyewe mapaka mpaka mtakapo anza kutumia ubongo na kufanya reformation kwenye dini yenu. Ndio waislam wenye akili kama tunisia na iran wanapunguza mambo ya dini kweye siasa zao. Nimeulizwa swali fundamental kwenye uislam hakuna anaejibu heti hakuna jibu fupi. Wengine wanajibi kwa kuuliza swali. Nazani mnaogopa kutoa misimamo yenu maana mtaanza kutofautiana wenyewe kwa wenyewe alafu muanze kutiana mapanga.

Nauliza tena. Shia wana amini Ali ndiye alikuwa anatakiwa kumridhi muhamadi alipokufa. Tena Ali ndie alie alieandikwa kwenye kuruani zaidi. Ila watu walichakachua kuruani kufuta umuimu Ali. Nikweli?

Weka msimamo wako hapa jf
 
Ndio maana nasema hakuna amani kwenye uislam. Yaani unatafuta ugomvi hata kwenye issue ya typo eti nawatafuta. Na shehe ubwabwa kahtaan anaongelea mikoba ya AK47 au rungu. Hayo yote ni military mentality ambazo zina prove nilichosema. Uislam nikama old wild wild west shootout until the last man stand. Mulianza kuua watu wadini nyingine wakati muhamad yupo hai na mkaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe baada tu ya muhamad kufa. Namtazidi kuuwa watu wa dini nyingine na kuuana wenyewe kwa wenyewe mapaka mpaka mtakapo anza kutumia ubongo na kufanya reformation kwenye dini yenu. Ndio waislam wenye akili kama tunisia na iran wanapunguza mambo ya dini kweye siasa zao. Nimeulizwa swali fundamental kwenye uislam hakuna anaejibu heti hakuna jibu fupi. Wengine wanajibi kwa kuuliza swali. Nazani mnaogopa kutoa misimamo yenu maana mtaanza kutofautiana wenyewe kwa wenyewe alafu muanze kutiana mapanga.

Nauliza tena. Shia wana amini Ali ndiye alikuwa anatakiwa kumridhi muhamadi alipokufa. Tena Ali ndie alie alieandikwa kwenye kuruani zaidi. Ila watu walichakachua kuruani kufuta umuimu Ali. Nikweli?

Weka msimamo wako hapa jf

Unajua unaweza kuwa na akili lakini akili yako isiwe salama wewe ya kwako haiko salama kinachojadiliwa hapa ni "Islam's role in Tanzania freedom stprugegle" haya mambo ya Ushia na Usunni yameingiajei huku? au kama ni vipi fungua uzi mwingine tukufundishe.
 
Ndio maana nasema hakuna amani kwenye uislam. Yaani unatafuta ugomvi hata kwenye issue ya typo eti nawatafuta. Na shehe ubwabwa kahtaan anaongelea mikoba ya AK47 au rungu. Hayo yote ni military mentality ambazo zina prove nilichosema. Uislam nikama old wild wild west shootout until the last man stand. Mulianza kuua watu wadini nyingine wakati muhamad yupo hai na mkaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe baada tu ya muhamad kufa. Namtazidi kuuwa watu wa dini nyingine na kuuana wenyewe kwa wenyewe mapaka mpaka mtakapo anza kutumia ubongo na kufanya reformation kwenye dini yenu. Ndio waislam wenye akili kama tunisia na iran wanapunguza mambo ya dini kweye siasa zao. Nimeulizwa swali fundamental kwenye uislam hakuna anaejibu heti hakuna jibu fupi. Wengine wanajibi kwa kuuliza swali. Nazani mnaogopa kutoa misimamo yenu maana mtaanza kutofautiana wenyewe kwa wenyewe alafu muanze kutiana mapanga.

Nauliza tena. Shia wana amini Ali ndiye alikuwa anatakiwa kumridhi muhamadi alipokufa. Tena Ali ndie alie alieandikwa kwenye kuruani zaidi. Ila watu walichakachua kuruani kufuta umuimu Ali. Nikweli?

Weka msimamo wako hapa jf

teh teh teh kijana naona unabwataka wakati wazee wamepumzika! Unarudia maneno kama matangazo ya vifo!
Hao shia wanaosema hayo unayodai WA WAPI?? WA GONGO LA MBOTO? AU WA KITUMBINI??
Nimekwambia weka USHAHIDI WA MADAI YAKO HAPA! LKN WE NI DOMO KAYA TU! Huna ulijualo zaidi ya maneno ya rusha roho!
Nenda kamtafute kiongozi wako aje hapa na USHAHIDI ILI APATE KUFUNDISHWA1

Zaidi ya hapo Unaoteza wakati wangu muimu sana!

Halafu nimeshaanza kuskia harufu ya UGALATIA HAPA! Nakuuliza wewe umesha PAKWA! AU BADO!? ILI NIFUNGUE MKOBA UNAO KUFAA??
Haya toa jibu kabla hujatiwa sunnah!
 
teh teh teh kijana naona unabwataka wakati wazee wamepumzika! Unarudia maneno kama matangazo ya vifo!
Hao shia wanaosema hayo unayodai WA WAPI?? WA GONGO LA MBOTO? AU WA KITUMBINI??
Nimekwambia weka USHAHIDI WA MADAI YAKO HAPA! LKN WE NI DOMO KAYA TU! Huna ulijualo zaidi ya maneno ya rusha roho!
Nenda kamtafute kiongozi wako aje hapa na USHAHIDI ILI APATE KUFUNDISHWA1

Zaidi ya hapo Unaoteza wakati wangu muimu sana!

Halafu nimeshaanza kuskia harufu ya UGALATIA HAPA! Nakuuliza wewe umesha PAKWA! AU BADO!? ILI NIFUNGUE MKOBA UNAO KUFAA??
Haya toa jibu kabla hujatiwa sunnah!

Jibu swali. Acha mambo ya gongo la mboto na kitumbini. Mimi nafanya research zangu mwenyewe. Kwanini unashindwa kutoa msimamo wako. Unaogopa nini. Au wanavyokuita Dr. Ni Dr ya kugangia njaa. Sema unachoamini wewe sio uancho ambiwa. Nausiogope kuweka misimamo yako.
 
Ndio maana nasema hakuna amani kwenye uislam. Yaani unatafuta ugomvi hata kwenye issue ya typo eti nawatafuta. Na shehe ubwabwa kahtaan anaongelea mikoba ya AK47 au rungu. Hayo yote ni military mentality ambazo zina prove nilichosema. Uislam nikama old wild wild west shootout until the last man stand. Mulianza kuua watu wadini nyingine wakati muhamad yupo hai na mkaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe baada tu ya muhamad kufa. Namtazidi kuuwa watu wa dini nyingine na kuuana wenyewe kwa wenyewe mapaka mpaka mtakapo anza kutumia ubongo na kufanya reformation kwenye dini yenu. Ndio waislam wenye akili kama tunisia na iran wanapunguza mambo ya dini kweye siasa zao. Nimeulizwa swali fundamental kwenye uislam hakuna anaejibu heti hakuna jibu fupi. Wengine wanajibi kwa kuuliza swali. Nazani mnaogopa kutoa misimamo yenu maana mtaanza kutofautiana wenyewe kwa wenyewe alafu muanze kutiana mapanga.

Nauliza tena. Shia wana amini Ali ndiye alikuwa anatakiwa kumridhi muhamadi alipokufa. Tena Ali ndie alie alieandikwa kwenye kuruani zaidi. Ila watu walichakachua kuruani kufuta umuimu Ali. Nikweli?

Weka msimamo wako hapa jf

Hizo Typo zako zipo kwenye jina la Muhammad SAW tu?
 
Ndugu yangu naona hata fadhaa kufungua nyuzi hii. Kinachonishangaza nimesoma mahali nikapewa'daawa' ya Usilam, nikisoma wanaotoa daawa najiuliza hivi kumbe daawa ni matusi tena mazito! Sasa huyo kafir asiyetukana si ataona ukafir wake unathamani kuliko imani iliyojengwa katika lugha.. lahaula eeh mola wanusuru vizazi vyako. Huu ni mtihani mkubwa.

Nikimsikia mzee mmoja pale Mikwamba akigutiwa Chukumeni, yeye akisali sana na kusema watu walinganiwe kwa hoja na mntiki ili wavutike katika iman. Nilitegemea Mzee Said angesimama na hekma na busara kuwakanya vijana wake kwamba sivyo hivyo. Mitume waliopita hawakufanya hivyo hata pale walipopolewa kwa mawe.
Bahti mbaya Mohamed Said naye kashangilia mahali nilipokuwa napewa 'dozi ya matusi tena ya nguoni'

Mimi nasimama katika kusema na kutete ukweli. Dhidi ya yote wapo wanaoona na kusema 'ahsante' kwa kunena.
Nikiambiwa na mjomba yangu pale Ubwari akisema njia rahisi ya kupata maadui ni kuwa mkweli. Inshallah ilikuwa ilm kubwa na habri hizo ni kubwa!

Najiuliza kikosi kazi hiki kikiwa na MS kwa majaaliwa ndio bodi ya shule ya Masjid Quba nini kitatokea.!!
Yote heri mnyazi atunusuru lakini safari ni ndefu na kazi ya kutoa elimu ni ngumu. Tusipotoa nani atatoa?

Teh teh teh teh! al kanjanga Nguruvi3 saa hii ndio unaona mnakasha wa moto sio??
Mi nimekupa ofa wewe na yule kanjanga mwingine kuwa KWA SABABU MNAONEKANA KUYATUMIA MANENO YA KIISLAMU,
BASI SI BORA MUINGIE JUMLA!?
HII sio kashfa, HUU NI MUALIKO UTAKAO KUNUSURU NA MOTO WA JAHANNAMU!!

Sasa mi nafanya jitihadi ya kukuepusha na ADHABU YA MOTO, WE UNATAKA KUKIMBIA, ajabu!!!

Nakutahadharisha tu! wewe na hao makanjanga wengine woote, kuwa MNAPOONGEA NA MAALIM MS, BASI MUWE NA NIDHAMU KTK MAONGEZI YENU AU MTAKUJA BATIZWA BILA MAJI!

Haya endelea kuusema huo unaoitwa ukweli, sisi tunatamani kuuona>
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana nasema hakuna amani kwenye uislam. Yaani unatafuta ugomvi hata kwenye issue ya typo eti nawatafuta. Na shehe ubwabwa kahtaan anaongelea mikoba ya AK47 au rungu. Hayo yote ni military mentality ambazo zina prove nilichosema. Uislam nikama old wild wild west shootout until the last man stand. Mulianza kuua watu wadini nyingine wakati muhamad yupo hai na mkaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe baada tu ya muhamad kufa. Namtazidi kuuwa watu wa dini nyingine na kuuana wenyewe kwa wenyewe mapaka mpaka mtakapo anza kutumia ubongo na kufanya reformation kwenye dini yenu. Ndio waislam wenye akili kama tunisia na iran wanapunguza mambo ya dini kweye siasa zao. Nimeulizwa swali fundamental kwenye uislam hakuna anaejibu heti hakuna jibu fupi. Wengine wanajibi kwa kuuliza swali. Nazani mnaogopa kutoa misimamo yenu maana mtaanza kutofautiana wenyewe kwa wenyewe alafu muanze kutiana mapanga.

Nauliza tena. Shia wana amini Ali ndiye alikuwa anatakiwa kumridhi muhamadi alipokufa. Tena Ali ndie alie alieandikwa kwenye kuruani zaidi. Ila watu walichakachua kuruani kufuta umuimu Ali. Nikweli?

Weka msimamo wako hapa jf



Kazi ipo kubwa sana kwa watu wenye fikra kama za kwako,

Wewe ni miongon mwa wale wenye kuamin na kulewa propaganda za marekani na washirika wake dhidi ya uislam na mafundisho yake ili hali wenzako wengi wanasilimu baada ya kuona uhalisia ulivyo,

Unajicontradict mwenyewe,huelew unazungumzia kitu gani wala ushahid wa kimaandiko hauna juu ya hayo unayoyasema,

Nakuomba uje na andiko gani ndan ya uislam na qur an linalofundisha chuki,vita au malumbano na hali ya utengamano kwenye jamii ya wanadamu,naomba unipatie ili kuanzia hapo tuimarishe mjadala ya kwamba ni kweli uislam unafundisha na kuhubiri hayo unayoyasema,

Wewe ni miongon mwa wale mnaotutoa nje ya mada hii,lakin si kitu tutazid kuwapa ilmu hivyo hivyo Nguruvi3 Ndug yangu njoo umsikie ndug yako huyu na matusi yake dhidi ya uislam na chuki zake anavozidhihirisha,

Uislam kama uislam miongon mwa nguzo zake kuu ni aman,islam means peace,na mafundisho yake yameegemea kwa kias kikubwa kwenye haki na usawa baina ya wanadamu,

Kama wewe unaamua kuzama kwenye propaganda saawa,twende kwa muktadha hu huo,


Joseph kony wa Uganda anapotumia jeshi la kulazmisha watoto wadogo kujiunga nalo kisha kuingia misituni huku akipigana vita ya kusimamisha amri kumi za mungu,huku akiua wakina mama,kubaka wanawake,kusababisha maafa na wakimbiz wa kila namna namna vipi unamzungumziaje yule ni muislam??au ukristo ndivo unavoelekeza namna iyo??

Na wale mabwana waliokaja kutufanyia wazeee wetu enzi hizo kuwa watumwa na kuwaua maelfu kwa maelfu kwa kutumia ulaghai wa vifungu vya bible ili kukamilisha nia yao ile ovu unawazungumziaje ni waislam wale??

Wewe ndio wale unaokuja kumeza propaganda za marekani katika vita vyake vya kupigania maslahi yake huko middle east na alipoona anashindwa akaamua kuuvesha kengele uislam kuwa ni tatizo ili hali tokea mwanzon wakati anaanza choko choko zake hakuja na gia kama ile,ni wewe sampuli ya watu mnaoamin kwmba alqaeda ni waislam na wanatekeleza mafundisho ya uislam ili hali chanzo chake kinafahamika na aliepelekea hadi hali kufikia pale ilipofikia anafahamika,

Ujifunze kujiongeza kwanza,kusoma na kufuatilia mambo kabla hujasimama mbele za watu na kuongea mashudu yasiyo na mashiko
 
Last edited by a moderator:
Jibu swali. Acha mambo ya gongo la mboto na kitumbini. Mimi nafanya research zangu mwenyewe. Kwanini unashindwa kutoa msimamo wako. Unaogopa nini. Au wanavyokuita Dr. Ni Dr ya kugangia njaa. Sema unachoamini wewe sio uancho ambiwa. Nausiogope kuweka misimamo yako.

WE leo wa kufanya research?? teh teh teh teh!

amma kweli dunia inakwenda pabaya! ikifikia mtu mwenye fahamu kama hizi ANAFANYA RESEARCH BASI TUTAKUFA WENGI MNO!

Unasema nani alitakiwa KUMRITHI MTUME{S.A.W}!! NAKUULIZA WAPI UMESKIA MITUME WANARITHIWA??

Ndio nikakwambia wewe na hayo maswali yako peleka kwenye vibaraza vya kahawa! Hapa kuna elimu ghali sana! Haipatikani ovyo.

Mfano wa maswali yako, ni sawa na mtu aende kwa profesa wake wa chuo kikuu halafu amuulize kuwa, ETI NASKIA NYERERE ALIKUWA MJALUO HIVI NI KWELI??

Huyo profesa akikuonea haya sana ATAKUFUKUZA TU DARASANI< LKN WENGI WAO WATAKUITIA DAKTARI WA AKILI.
haya LETA USHAHIDI WA HUU UTUMBO UNAO URUDIA HAPA ILI USAIDIWE!!
 
Hizo Typo zako zipo kwenye jina la Muhammad SAW tu?

FaizaFoxy,
Basi samaani kwa kukosea kuandika jina la muhamedi. Usije ukaingia mtaani na kummwagia mtu innocent tindikali. Ila naomba mnijibu swalilangu .

Nikweli Ali alikuwa ndio anatakiwa kumrithi muhamedi baada ya kufa. Na ndie aliyetajwa zaidi kwenye kuruani. Ila watu waliichakachua kuruani kuuficha ukweli. Hii ndio imani ya shia.
Toa msimamo wako
 
Nguruvi,
Siwezi kushangiliwa wewe kutukanwa.

Siwezi kukosa adabu kiasi hicho.


Nguruvi3 anachokoza vita na watu kisha anakimbilia kwako kujikinga na kuyakwepa makombora,

Anasema Tafadwali Tafadhwali Moh Said wakanye ndug zako waache kunitia majiti yao ya moyo,

Anapaswa kutambua kuwa sisi vijana wako hatupo hapa kukusemea wewe wala kukupa backup ya iana yyte ile,sisi tupo hapa kusoma na kupata ilmu,sasa tukiona kuna watu wanaleta uhun uhuni kisha tukawajibu uhun uhun anakimbilia kwako kufanya nin??kwan wewe ndie umewatuma??

KUNA MSEMO FULANI NISHAWAHI KUUSKIA KUTOKA KWAKO MOH SAID UNASEMA KWAMBA "AKUTUKANAE KILABUNI NAWEWE MTUKANE HAPO HAPO KILKABUNI ASIJE BAADAE AKASEMA OOH MIMI NILIKUWA NIMELEWA""

Hiki ndicho kinachofanyika,kama anataka kuona mfano mwema wa mafunzo ya uislam si akutizame wewe?pamoja na matusi,kejeli na dharau chungu tele unazopewa na jamaa zake keshawahi kukiskia wewe ukijibu wala kuwatusi??ashawahi kukona wewe ukiwadharau na kuwakejeli?? tuseme ukweli Nguruvi3
 
Last edited by a moderator:
Ngoja tu tuassume kuwa mmenijibu

Sasa si mnioneshe hayo majibu?

Au kama mnayajua ni kazi gani mnayoipata kunijibu tena?

Mbona mimi maswali yangu nayarudia kirahisi tu?

Eiyer
Kwetu sisi ilmu ni lazima/ faradhi na si khiyari, jambo ambalo kwako ni kinyume,

Kwa hivyobasi ukiona katika sisi mtu anakujibu jua anajiamini katika kile alicho jibu lakini kwa sababu elimu yako ni ile ya kuambiwa fungua ukurasa fulani nawe wafungua bila kuhoji, wadhani utaweza kutuelewa kirahisi?!

Ila kwa dhati nakuambia tunakujibu kwa sababu si lazima ati uongoke wewe laa hasha! bali huenda wakabahatika baadhi ya wanajamvi humu wakaiona haki stahiki nao wakaifuata,

Kwa ufinyu wako wa uelewa huenda ukadhani twapoteza muda laa! Sisi twashusha ithbaati za kukuonesheni yale matusi yenu kuwa Waislaamu hawakusoma wala hawataki kusoma ili sasa mkae mkao wa tahadhari,

Hapa hamchomoki,

Teh teh teh...!!
 
Back
Top Bottom