Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Watu wanapeana salam ghaali sana! Na inataka ufahamu wa hali ya juu kufikia kiwango hiki!
Sio nyie wagalatia " bwana awe nawe bla bla bla! Nyie kila mtu awe na bwana?? Sasa huu si ubasha huu?
Maskini we hujui hata maana ya salam zenu hizo! Unaitikia tu! Tawile!!
Teh teh teh teh! Chunga kijana hawa wachungwaji wabaya sana kwa vijana wadogo.!

Mkuu kahtaan umetoa ya mwaka!! Nimecheka mpaka nikataka kuzimia, familia yangu ilikimbilia chumbani kuniangalia ikifiri nimepata heart attack. Hivi maneno haya huwa mnaya chimbua wapi, biblia mnaisoma saa ngapi maanake naona munaimanya sana!! Mimi ni mkristo lakini hii kali mkuu.
 
Mkuu kahtaan umetoa ya mwaka!! Nimecheka mpaka nikataka kuzimia, familia yangu ilikimbilia chumbani kuniangalia ikifiri nimepata heart attack. Hivi maneno haya huwa mnaya chimbua wapi, biblia mnaisoma saa ngapi maanake naona munaimanya sana!! Mimi ni mkristo lakini hii kali mkuu.

Teh teh teh! Mkuu nimejaribu ku picture hicho kicheko chako ikabidi na mimi nicheke tu!
Si unajua tena ndo mambo ya JF hayo!
Teh teh teh teh! Halafu nimegundu kitu kwako mkuu! Wangekuwa wakristo wote kama wewe ahhhhh!
Tungekuwa tunakula biriani pamoja!
Karibu sana mkuu.
 
Mkuu kwani Malcom X alikuwa wa madhebu gani ya kidini? Hivi kwa nini Edgar Hoover alikuwa anamouna Malcom X kama tishio la Uncle SAM, je alikuwa anaogopa sura yake, msimamo wake au DINI yake? Nimewahi kusikiliza speech za Malcom X na kusoma vitabu vinavyo eleza historia yake, binafsi sihafiki na maoni ya kusema Malcom X was incapable of seeing beyond his nose, unless kama tunataka ku-emulate maoni ya Edgar Hoover 2 the letter. Kila binadamu mwenye akili timamu anajuwa kwamba Malcom X alikuwa anasemwa mambo mengi tu ya kumuaribia sifa/kumpakazia kutokana na DINI yake si, kitu kingine.

nina
yo hapa footage ya malcolm X ikimwelezea yesu.ki-ukweli kabisa anakiri kuwa alikuwa mwalifu, na akaongeza haoni aibu kwa hilo, though anadai islamic faith imembadilisha amekuwa mwema sasa(those days). akishanga inakuaje waichukie dini iliyombadilisha yeye kutoka mtu mwovu kuwa mtu mwema. hivyo uislam ni dini ya amani kama mtume wake. hivyo unaposema alipakaziwa si kweli kwani yeye binafsi anakiri hilo thats thats mengine aliyosema ni kumtetea yesu kuja kwa wanyonge kama yeye alivyo mnyonge na kudai wamarekani weusi ni wanyonge hata yesu hakuja kwa wenye kujiweza bali wenye shida, hivyo akija atawafuata wao na sio wale matajiri yaani wazungu(japo hapa nime-paraphrase tu kuhusiana na hiyo footage kwa ufupi).
 
Nashukuru sana kuliona hilo mkuu, your alias name (Gombesugu) limenikumbusha enzi zangu pale Minaki nikiwa na rafiki yangu Kambangwa akitufundisha kucheza/piga ngoma za Mwaneromango na Kazimzumbwi. Karibu sana mkuu.



Haina neno ndugu yangu tuko pamoja!

Umenichekesha hizo enzi zako za hilo Gombesugu kule Minaki!ahahaa!!

Nafikiri siku hizi hata hiyo Minaki itakua iko taabani si kama hizo enzi zenu!?

Mzee wangu katika vitu alivyokua anavichukia na kuvidharau hakuna kama vile ngoma za ndugu zetu wa Kizaramo!?ahahaa!!

Lakini mimi nimetumia hiyo alias ya Gombesugu ili kuthamini flexibility,ukarimu na fadhila za hao ndugu zetu wa Kizaramo,Washomvi,Wandengereko,Wanyagatwa,Wakwere na wengineo...kwa kukaribisha Watanzania woote katika huo mji wao mzuri mno wa D'salaam/Mzizima bila ya kujali matabaka,kabila,rangi,udini na mengineo!

Inachosikitisha ni yakuwa nyingi ya comments humu Jf...utaona baadhi ya jamaa wengi tu wanaojiita ati ni "wasomi" lakini inapokuja masuala ya hawa ndugu zetu Wazaramo/Watu wa Pwani, utaona ghafla mtu anashindwa kujizuia na chuki zake za kikabila alokujanazo/alohamia nazo hapo D'salaam zinaanza kumtoka na kutoa kashfa na kejeli nyingi tu kwa ndugu zetu hao!?

Mfano utasikia mtu anadai ati Wazaramo ni wendawazimu,hawataki kusoma,hawajui kusoma wala kuandika na mengineyo mengi tu!? Lakini "msomi" huyohuyo anashindwa kutazama majambo au history katika ile broader perspective!

Nashukuru tumezungumza leo japo kiduchu na tuko pamoja ndugu yangu.

Nakutakia siku njema.

Ahsanta.
 
Struggle to change the future and not the past coz past is already gone and not coming back hata wakisema waandike vitabu upya wawa recognise na waislam hamna mtu atakaesoma na kila mtu ataona its fake why now mlikuwa wapi cku zote,matatizo ni mengi nchi hii na kasoro ktk kila jamii hazikosekani so its better tu struggle zisijirudie na sio kuendekeza vitu vilivyopita
 
nasubiri toleo jipya,, "islam's role in terrorism" .
Ahsanta
 
Struggle to change the future and not the past coz past is already gone and not coming back hata wakisema waandike vitabu upya wawa recognise na waislam hamna mtu atakaesoma na kila mtu ataona its fake why now mlikuwa wapi cku zote,matatizo ni mengi nchi hii na kasoro ktk kila jamii hazikosekani so its better tu struggle zisijirudie na sio kuendekeza vitu vilivyopita

Young man I think you forget the importance of PRESERVING THE HISTORY IN ITS ORIGINAL REALITY!

Sijui umri wako lkn kama umezaliwa juzi juzi utakacho fundishwa shuleni ni nyerere hivi! Nyerere vile! Baas!
Kumbe kuna waungwana wengine walimueka nyerere pale alipo na wakamfikisha mpaka hapo wewe ulipomfahamu!
Hao waungwana hawana budi kutambuliwa ktk historia yetu!
AND THAT IS A VERY BASIC THING THOSE HEROES DESERVE.
 
NYERERE ndio Baba wa Taifa hili. Hayo mengine ni makelele ya vijiwe vya wauza kahawa na kashata.
whether ndie baba ama mjomba wa taifa hili, kumbuka kuna waliohusika kumpa huo ubaba ama ujomba kwa hiyo sio dhambi michango yao ikatambuliwa kwasababu pengine mjomba Nyerere asingefika hapo alipofika kama sio hao walio-sacrifice kumweka.
 
You can never ever separate religion with history of Tanganyika politics no matter how much you try:


If you have any other way of narrating the history of Tanganyika struggle for freedom without touching the "religious affiliation", kindly do so.

Believe you me, this is a challenge which you will never ever be able to achieve. Start to prove me wrong.

UDINI UDINI UDINI ndiyo shida yako! Hivi kama wamatumbi au wakinga ndiyo walikuwa wengi au hata kama ndiyo walioasisi mapambano dhidi ya mkoloni katika nchi na pengine wakafanikisha kumuondoa mkoloni! Je? yatosha hapo kusema wamatumbi so and so ndiyo waliyofanikisha kumuondoa mkoloni au tutawataja kwa utanzania or rather utanganyika wao? Sioni mantiki ya kuizungumzia historia ya ukombozi wa Tanzania kwa misingi ya kikabila au ya kidini! Na kwakweli ninamdharau sana anayefanya hivyo.

Ni jambo la kusikitisha sana kuzungumzia kufanikiwa au kutofanikiwa for that matter kwa taifa hili kwa misingi ya kidini au kikabila! tunapofanikiwa tunafanikiwa sote kama taifa bila kujali misingi yetu ya kidini na tunaposhindwa tunashindwa wote kama taifa! Hili la kusema ni waislam au wakristo ndiyo waliopelekea tupate mafanikio au kutofanikiwa si jambo la kiungwana na kwakweli linajengwa katika misingi ya kuligawa taifa na uchochezi wa kidini usio na kichwa wala mkia!

Napata shida sana kwakweli kuona kuna watu wenye akili timamu wanazungumza mambo kama mataahira kwasababu tu ya kutaka dini yao ionekane ndiyo imefanya mambo makubwa!!
 
UDINI UDINI UDINI ndiyo shida yako! Hivi kama wamatumbi au wakinga ndiyo walikuwa wengi au hata kama ndiyo walioasisi mapambano dhidi ya mkoloni katika nchi na pengine wakafanikisha kumuondoa mkoloni! Je? yatosha hapo kusema wamatumbi so and so ndiyo waliyofanikisha kumuondoa mkoloni au tutawataja kwa utanzania or rather utanganyika wao? Sioni mantiki ya kuizungumzia historia ya ukombozi wa Tanzania kwa misingi ya kikabila au ya kidini! Na kwakweli ninamdharau sana anayefanya hivyo.

Ni jambo la kusikitisha sana kuzungumzia kufanikiwa au kutofanikiwa for that matter kwa taifa hili kwa misingi ya kidini au kikabila! tunapofanikiwa tunafanikiwa sote kama taifa bila kujali misingi yetu ya kidini na tunaposhindwa tunashindwa wote kama taifa! Hili la kusema ni waislam au wakristo ndiyo waliopelekea tupate mafanikio au kutofanikiwa si jambo la kiungwana na kwakweli linajengwa katika misingi ya kuligawa taifa na uchochezi wa kidini usio na kichwa wala mkia!

Napata shida sana kwakweli kuona kuna watu wenye akili timamu wanazungumza mambo kama mataahira kwasababu tu ya kutaka dini yao ionekane ndiyo imefanya mambo makubwa!!

We kijana kwanza mtu anapo andika hoja kwa lugha ya kigeni na wewe unatakiwa ujibu kwa lugha ya kigeni hivyo hivyo!
Sio kutuchimekea maneno ktkt ya kiswahili!!

Pili hakuna mtu anataka umuheshimu hapa ila uwe na adabu na nidhamu ya mazungumzo tu!

Tatu. Hakuna mtu ktk uzi huu anataja historia ya waasisi wa nchi yetu kwa kuelemea kwenye dini fulani!!
Hayo ni mawazo yako! Ispokuwa dada yangu faiza alikuwa anajaribu kukufahamisha kuwa unapoongelea suala la historia ya nchi yetu toka wakati wa mkoloni, basi suala la imani za watu LAZIMA UZITAJE!! hii ni sawa na kuangalia suala la utetezi wa haki ya mtu mweusi USA! Huna budi kuelezea IMANI YA WALE WALIO PAMBANA NA WABAGUZI WA RANGI! Na hizohizo SEHEMU ZAO ZA IBADA NDIMO WALIPOKUWA WANAFANYIA MIKUTANO YAO YA SIRI!

Siku nyingine jaribu kusoma vizuri hoja ya mtu kabla hauja tuandikia pumba hapa!
 
baada ya kuona written by mudi said... nimeshindwa kuendelea kuzisoma ngano
 
yaan waislam mnaumwa ,tena ugonjwa hatari wa kugawa watu kwa mising ya din zao,na kutokana na umamuma wenu mnawakokota watz hasa waumini wenu mkiwajaza ujinga, eti waislam ndio waliokuwa mstari wa mbele au ndio hasa waliop pigania uhuru wa nchi hii .je walipigania kwa sababu ya din yao?ingekuwa ivo bas wasingefanikiwea tanu kushinda,maaawaislam walikuwa chama chao cha kidin,cha kilishindwa vibaya siku ya uchaguz,na kilichopwapa tanu uhalali wa kutawala ni uwingi wa kushinda ktk majimbo yote ya tanganyika.
 
whether ndie baba ama mjomba wa taifa hili, kumbuka kuna waliohusika kumpa huo ubaba ama ujomba kwa hiyo sio dhambi michango yao ikatambuliwa kwasababu pengine mjomba Nyerere asingefika hapo alipofika kama sio hao walio-sacrifice kumweka.

Teh teh teh teh!
Hapo mkuu VUVUZELA umeifanya ijumaa yangu huku ianze vizuuuri kabisa!
Huyo mjomba wataifa sijui atakuwa Mrema Au Slaa! Teh teh teh teh! Itabidi wauwane kugombea nafasi hii adimu ulio itangaza!.
 
Last edited by a moderator:
yaan waislam mnaumwa ,tena ugonjwa hatari wa kugawa watuy kwa mising ya din zao,na kutokana na umamuma wetu mnawakokota watz hasa waumini wenu mkiwajaza ujinga, eti waislam ndio waliokuwa mstari wa mbele au ndio hasa waliop pigania uhuru wa nchi hii .je walipigania kwa sababu ya din yao?ingekuwa ivo bas wasingefanikiwea tanu kushinda,maaawaislam walikuwa chama chao cha kidin,cha ,makamanda muda wa hewan umeisha,ntawacheki tena

Teh teh teh teh! Unatoa kichwa kama mjusi kafiri halafu unajificha kwenye jiwe!

Watu wanajenga hoja! We bka bla bla bla!
Halafu haya majina mengine tunashindwa kutambua ! Wewe ni dada au kaka??
Kabla sijasema mengi je! Wewe ni mke au mme??
 
kwanini Mohammed Said asichangishe waislam wote ili waanze kuchapisha vitabu vipya vya historia ya Tanzania vitakavyotumiwa na watoto wa kiislam tu?!

I am tired of reading these suggested 'corrections' to our history..which of course will never materialize to anything.
cjapata kuona jiniazzz kama wewe leo.
 
Hata siasa ni dini, kama huijui maana ya dini inabidi kwanza uijue maana ya dini. Ngoja nikupe darsa dogo;

Dini ni njia na muongozo wa kupitia katika mfumo wa maisha ya kila siku, safari uliyokuwa nayo duniani hadidu rejea yake ndio dini yako, kwa hiyo kama wewe unaamini Uislaam ndio dini (njia yako), Kama unaamini Ukristo ndio dini (njia yako), kama Unaamini Upagani, Uhindi, Ubuddha, Mti, kenge, kondoo, panya, sayansi, katiba, basi hiyo unayoamini kuwa ni rejea yako ya mwisho ya kukuongoza katika uyafanyayo kila siku ndio dini (njia yako).

Hapa kinachoongelewa ni siasa na role ya Waislaam na Uislaam katika "Tanzania freedom struggle", au una usongo kwa kuwa unajuwa kuwa Kanisa halikuwemo katika "freedom struggle"?
. siasa na role ya Waislaam na Uislaam katika "Tanzania freedom struggles nani alitakiwa awa-acknowledge waislamu ? mbona mnazidi kumwongezea sifa nyerere kwa uwezo wake wa kuwa-dominate kiakili na kimaamuzi huku yeye hakuwa muumini . ikiwa kama misikiti ilikuwepo na makanisa hayakuwepo, je kwanini sasa mnadai waislamu hawakuwekwa nani alitakiwa kuwaweka? tujuze?
 
. kama misikiti ilikuwepo, kwanini sasa mnadai hawakuwekwa, siasa na role ya Waislaam na Uislaam katika "Tanzania freedom struggles nani alitakiwa awa-acknowledge na kwenye nchi isiyo na dini wa wawekwe ili nini? mbona mnazidi kumwongezea sifa nyerere kwa uwezo wake wa kuwa-dominate kiakili na kimaamuzi huku yeye sio muumini

ALIYEKWAMBIA NYERERE SIO MUUMINI NI NANI??
Au unaropoka tu!? Hapa tunaongelea kilichowekwa ndani ya historia yetu!
Na swali la msingi linabaki pale pale!
Je ! Kwa nini mashujaa wote wa nchi yetu wasipewe haki ya kutambuliwa??
Huu mfumo kristo unachafua mpaka kwenye historia??
Mnsnfssssssssss!!
 
Back
Top Bottom