Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Ahsante. 'Mkwara mbuzi' unasaidia. Leo umekiri kuwa wapo wengine, mashallah jao kidogo yatia moyo.
Teh teh teh! Ndiyo maana nakuambia mwaga mtama wako, leo nimekiri nini kwa kukusaidia tu nimeanzisha uzi hauna hata wiki humo humu nauliza kuhusu mchango wa wasomi wetu wa Makerere katika Tanganyika ni upi kuna Wakirsto watano. Fuatilia post zangu.
 
Mkiwa tayari mnitaarifu, lakini msijekimbia !

Nguruvi3.

Dini yetu inatukataza kuwa wanyonge na ni haram kumkimbia binadamu mwenzako.

Wewe ndiyo umesema ajitoteze mtu anichokonoe umwage mtama.

Mimi nimejitokeza nimekuambia mwaga mtama wako na mie nifungulie njiwa wangu, unakuja na stori mpya tena.

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh! Ndiyo maana nakuambia mwaga mtama wako, leo nimekiri nini kwa kukusaidia tu nimeanzisha uzi hauna hata wiki humo humu nauliza kuhusu mchango wa wasomi wetu wa Makerere katika Tanganyika ni upi kuna Wakirsto watano. Fuatilia post zangu.
Mkuu Ritz huyu Nguruvi3 muda mrefu anasema atamwaga mtama nashangaa mpaka sasa hivi sijauona huo mtama
mimi nimesha mshtukia "ubondia anautaka lakini anaogopa manundu"
 
Ha ha haaa! JF kiboko. Mkuu Nguruvi3, naomba nichukue nafasi hii kukushukuru kwa mchango wako kwenye huu mjadala...hata kipofu anahitaji kuupitia kidogo tu ajue mnakasha unavyokwenda, goja nitoe mfano kidogo tu;

Jibu ulilopata kutoka kwa Al Habib Al Tayeb ni hili hapa;

Pamoja na matusi hukukata tamaa kutoa darasa;

Kama ilivyotegemewa somo halikuingia na Al Habib Al Tayeb kaingia tena JF;

Na kama kawaida Al Akhiy gombesugu akadakia;

Bila ajizi Maulana Dr. kahtaan naye hakubaki nyuma;

Kwa uvumilivu mkubwa mkuu Nguruvi3, ukaona urudishe mnakasha katika msitari;


Duh ikawa kama vile Nguruvi3 kaamsha mizimu, akaingia tena Al Akhiy gombesugu;


Kama vile haitoshi tena Al Akhiy gombesugu akaamua kutoa yote aliyo nayo moyoni;


Mnakasha, wanajamvi ndivyo unavyoendelea...mimi Mag3 sijaongezea hata neno!
Kwa upande moja wapo Al Alkhiy gombesugu, Maulana Dr. kahtaan, Shariff Ritz, Ukhti @FaizaFoxy, Ayatollah CHAMVIGA, Al Habib Al Tayeb, Al Akhiy Boko haram, Al Murid THE BIG SHOW, Al Akhiy Polite

Upande wa pili yupo Al Kidhab Nguruvi3 huku Al Munafik Mag3 akichungulia kwa mbali
Ustaarabu kweli dhahabu!


Umeona wapi kipofu akamuongoza kipofu mwenzie?! tehe tehe tehe!

Poleni sana nyie viumbe msio tulia!

Narejea tena kuwa usia, toeni kwanza huo mwiba wa kwenye makalio yenu!

Msiponifahamu mara hii, basi hiko ndio kitakua kilema chenu tehe tehe tehe!
 
Nguruvi3.

Mimi nipo tayari nakusubiri umwage mtama.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaa! JF kiboko. Mkuu Nguruvi3, naomba nichukue nafasi hii kukushukuru kwa mchango wako kwenye huu mjadala...hata kipofu anahitaji kuupitia kidogo tu ajue mnakasha unavyokwenda, goja nitoe mfano kidogo tu;

Jibu ulilopata kutoka kwa Al Habib Al Tayeb ni hili hapa;

Pamoja na matusi hukukata tamaa kutoa darasa;

Kama ilivyotegemewa somo halikuingia na Al Habib Al Tayeb kaingia tena JF;

Na kama kawaida Al Akhiy gombesugu akadakia;

Bila ajizi Maulana Dr. kahtaan naye hakubaki nyuma;

Kwa uvumilivu mkubwa mkuu Nguruvi3, ukaona urudishe mnakasha katika msitari;


Duh ikawa kama vile Nguruvi3 kaamsha mizimu, akaingia tena Al Akhiy gombesugu;


Kama vile haitoshi tena Al Akhiy gombesugu akaamua kutoa yote aliyo nayo moyoni;


Mnakasha, wanajamvi ndivyo unavyoendelea...mimi Mag3 sijaongezea hata neno!
Kwa upande moja wapo Al Alkhiy gombesugu, Maulana Dr. kahtaan, Shariff Ritz, Ukhti @FaizaFoxy, Ayatollah CHAMVIGA, Al Habib Al Tayeb, Al Akhiy Boko haram, Al Murid THE BIG SHOW, Al Akhiy Polite

Upande wa pili yupo Al Kidhab Nguruvi3 huku Al Munafik Mag3 akichungulia kwa mbali
Ustaarabu kweli dhahabu!




Mag3,

Wewe unadai yakuwa ati "ustaarabu ni dhahabu"...nakuuliza,wewe ustaarabu unaujulia wapi na utauanzia wapi!?

Sisi huo ustaarabu huzaliwa nao,huu uhuni ndo hujifundishia ukubwani. Ni kinga tu,na huwa tunautumia kiduchu inapolazim kukabiliana na watu wa aina yenu!

Wewe kama kweli ungalikua mstaarabu japo kiduchu,basi ungeweka quotes na za hao jamaa zako wana Chadema/makanisa wenzio...ili kuonyesha ilikuaje mpaka ikalazim sisi kutoa majibu/ujumbe huo!?

Au japo pia ungewaomba Wanajamvi wajaribu kuufuatilia huu mnakasha tangia awali na mpaka tulipo,khalaf ndo uwaache wao ndo wajipimie wenyewe kwa mantik zao!?

Imenilazim kucheka kwa jinsi hayo majina yetu na ulivyotupanga kwenye hiyo post yako!? Kwi! Kwi! Kwi!

Yaani umenikumbusha wale ndugu zetu Al Mujaheedin wa kule Jammu/Kashmir na wale kiboko ya mwa-Amerika, Pashtuns! Kwi! Kwi! Kwi!

Hao ndo Al Muhaj'run wa humu Jf,chini ya uongozi thabit na madhubut wa Ayatollah Chamviga! Kwi! Kwi! Kwi!

Nimecheka pia kuona nduguyo Nguruvi3, analazimisha kwa Maulana Dr Kahtaan yakuwa ati nae ni wa Mwambao,tena huku akijinadi kwa mashairi na mipasho!? Kwi! Kwi! Kwi!

Nafurahi kwa haya "maendeleo" na trendy hii, maana wakti wa yule maluuni Nyerere;jamaa zetu wengi wakiogopa na kudharau kuwa Mswahili,mtu wa Mwambao/Pwani au hata Muislam...hivi vyoote vikionekana ati ni kama derogatory term!? Nafikiri wakumbuka uzuri mno!?

Ilifikia wakti hata wale jamaa zetu wa Kihaya waliokuja hapo D'salaam kuuza tupu zao/"kutafuta stara",ati nao wakionekana wa maana kuliko mtu kuitwa Mswahili au wa Mwambao/Pwani!? Kwi Kwi! Kwi!

Nilikua sina khabar yakuwa Shariff Ritz kumbe anafuga njiwa,lakini hao ni maalum tu kusubiri huo "mtama" wa huyo Nguruvi3! Kwi Kwi! Kw!

Mwambie huyo kipofu mwenzio Nguruvi3,hata nami napata PMs nyingi pita kiasi,jamaa humu Jf wanastaajabu na kuniuliza je huyo Nguruvi3 kakumbwa na kipi kwenye mjadala huu,mbona kageuka kituko/kichekesho!?....au labda account yake ya Jf imekuwa-hacked na inatumiwa na mtu mwingine!?

Nami nawajibu yakuwa,khabar hizi si ngeni humu Jf...maana mwenzetu Dr Slaa kila siku yanamkuta hayo ya account yake kutumiwa na mwingine!? Kwi Kwi! Kwi!

Mwambie Nguruvi3,ajitahidi kwenda Hospital kuonana na Maulana Dr Kahtaan,akadungwe japo sindano moja apate usingizi. Maana hiki kiama cha hapa jamvini nakhis kitamtohoa!

But,Mag3,in a serious note...huu ni mnakasha/thread takriban wa tatu, wewe ni mmojawapo ya Vinara wanaojaribu mno kumbeza na kumuadhiri mno Sheikh Mohammed Said,kisa tu sababu ya maandiko yake!?

Hivi huoni hata soni/haya,pale wewe na wenzio kujinasib "ustaarabu" huku mkizuia msomi mwenzenu asisomwe maandiko yake na mkitumia lugha chafu mno kumpaka matope...tena huku yeye akikustahamilieni na huku akifanza uungwana dhidi ya huo udhalim wenu!?

Hio freedom of speech iko wapi,au mnataka kuturejesha kulekule "enzi ya Mwalimu"!?

Mara ngapi tumeshakuambieni yakuwa hoja za kitaaluma,hujibiwa tu na hoja za kitaaluma. Sasa nyinyi au hao wataalamu wengine mnaowategemea kwanini hamtoi hiyo history/maandiko yenu ku-counter hizi descriptions/writtings,ukweli uloshamiri alouleta Sheikh Mohammed Said!?

Nakusihi embu jipitie hii post yako ya mwanzo ulioleta kwenye mnakasha huu,khalaf jisome kwa utuvu,tena peke yako bila ya kufuata ushauri au maelekezo ya yule kichwa maji Nguruvi3...khalaf jitazame kwenye kioo na ujisuduku mwenyewe!

Tafadhalini pia punguzeni hizo myth zenu,yakuwa ati Sheikh Mohammed Said ndo mchochezi na "Mentor" wetu! Hili si kweli nanyi binafsi mwajua yakuwa hizi ni baadhi tu ya hizo propagandas zenu muflis!

Takufahamisha kiduchu;Waislamu takriban woote hapo Tanganyika/Zanzibar yoote mpaka Kenya/Mombasa,walikua wanaijua history yao yoote ya mapambano/harakati zao tangia enzi za ma-Portugese na Mjarumani na hatimae kuja huyo Mngereza na yule kibaraka wao Nyerere!

Kila nyumba yoyote ilokua ya Muislam hiyo Tanganyika/Zanzibar yoote,ukiuliza utaambiwa madhila walofanziwa ma-Sheikh wetu na Viongozi wetu wengine wa kidini na baadhi ya Families/Watu maaruf wakti wa yule Nyerere,na dhulma nyinginezo nyingi kwa nyakati tafauti.

Kwa kifupi haya yoote alioandika Sheikh Mohammed Said na kuufahamisha umma na dunia yoote,ni marejeo tu na uthibitsho wa kimaandishi,wala si mambo labda mageni/mapya mno miongoni mwetu sisi Waislam.

Kama ni urongo/uchochezi basi itakuwa Waislam woote wa Tanzania/East Afrika nzima na Masheikh zetu/Wazee Wetu woote nao pia ni warongo na wachochezi na sio Sheikh Mohammed Said pekee...

Maana nao pia hizi khabar za yalowakuta/madhila walofanziwa wao binafsi na jumuia yetu na ndugu zetu wengi tu,walikua wakitueleza kila kukicha na wamekufa bila kujulikana au kutambulika na yeyote kwenye history ya vitabuni ya Taifa letu...tena wanyonge wakizikana wenyewe kwa wenyewe tu!

Tafauti ya Wazee wetu na wanataaluma/Historian wengine wa kiislamu na Sheikh Mohammed Said,ni ya kwamba Sheikh Mohammed Said yeye amejitolea na kumuomba Mola ampe mwongozo/sabra na ndo leo twaona amefanikiwa kuyaweka baadhi tu kwenye maandishi!

Tukubaliane pia ya kwamba Sheikh Mohammed Said,ndo historian wa kwanza serious kutoka hapo Tanganyika kuandika history iso shaka na inayokidhi haja kwa miaka mingi ijayo.

Sisi tunamshukuru mno kila kukicha kwa kutuwekea misingi hii ilo mema na adimu kwenye history ilotaka kupindishwa na huo MfumoKristo.

Jitahidini kuukubali ukweli mchungu japo kiduchu jamaa zetu!

Embu kwa mtu yeyote mwenye maarifa yake,bila ya kujali hata dini au Ilm ilo kubwa;ende akasome kile kituko kilichotungwa na wale wanaharamu wa pale Kivukoni aka Historia ya Kivukoni na kulinganisha na maandiko ya Sheikh Mohammed Said!? Kwi Kwi! Kwi!

Kwa hiyo kama ni uchochezi au dhuluma katika jamii,mbona nyinyi nyoote hamkuwahi hata siku moja kukemea yale makhanatha yaloandikwa na wale maluuni wa Kivukoni kwa ajili tu ya kumfurahisha Nyerere aka "Baba Wa Taifa""

Pia msipende kupinga na kutoa arguments hizi muflis; ati wapigania uhuru woote walikua "hawana" dini,wala hawakutaja au kugombea uhuru wetu kwa kutumia hizo dini/matabaka yao,au ati hizo dini zao haziku-play big role kwenye zile harakati!?

Kwa Ukristo na hao Makasisi wenu ni kweli,wao walikua wakivinjari tu na wale Slave Masters wao. Lakini Uislam,inajulikana "dhahir bin shahir" jinsi ulivyotumika na kushughulika kwenye harakati na mapambano ya kuleta "Uhuru" wetu...

Hili hata yule Nyerere,pamoja na unyama wake mwingi mno,lakini mara kwa mara alijaribu kukumbusheni nyinyi Wakristo wenzie...labda alikhis iko siku mtakujaleta "fadhila za punda"!?

Hizi nazo pia ni arguments zenu za kitoto ambazo mmekua mkizirejea kila mara mpaka hivi sasa kuna baadhi ya misukule yenu humu Jf wameshaanza kuamini yakuwa ni "kweli"!? Kwi! Kwi! Kw! Kwi!

Nisingependa kuingia huko kwa sasa,maana hiyo nayo ni Topic tafauti/ndefu kiduchu...labda Insha Allah penye majaaliwa tufungue thread nyingine siku zijazo nami takualika rasmi...Promise!

Pole kwa mazungumzo marefu,lakini kwa sasa naomba nikwache maana inanilazim nende nikamkitimize majiti ya roho yule mbilikimo ajiitae ati ni "Mtu Mzima"! Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 
Kama walikuwepo wengine wengi ambao hawakuwa recognized kwa mchango wao haimaanishi kwamba hao walikuwa waislam tu. Kuna wakristo wengi pia hawakuwa recognized. Wachache wakristo na waislam walikuwa recognized. Suala la kusema eti waislam tu ndo hawakuwa recognized na kudiriki kuandika eti ''Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle'' ukiwaacha wengine ni muendelezo wa waislam wa inferiority na udini kwa kuwafanya waislam wenzao wawaone wakristo kama wabaguzi na hawawapendi waislam. I hate tabia hii. Guys hebu kuweni smart. Jifunze kutokuwa biased unapokuwa unaongelea/unachambua ukweli. Na usikubali kila kitu unachosoma au kuambiwa eti kwa kuwa tu kasema au kaandika mtu fulani bila we mwenyewe kufanya reasoning. AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
 
Unasema!? Kwi Kwi! Kwi!


Ahsanta.
Maulana gombesugu.

Jamaa yako Mag3. siku hizi amejikita kwenye masuala ya utabri teh teh teh!!!!

Ijumaa ya leo utapata fedha au utapata faida ambayo hukuitegemea au utasamehewa madhambi uliyomfanyia rafiki yako. Kuhama hama ni bora kuliko safari ndefu unayotarajia kwenda.
PUNDA- ARIES (MACH 21- APR 20)

Leo kuwa na Tahadhari unaweza kupatwa na mambo ya ajabu ajabu, usijaribu kuvuka mto usioujua kina chake kwani upo uwezekano wa kuondoka na maji. Tegemea kupata safari ya ardhini itakayokupeleka.
Niliwahi kutabiri tarehe 9th July 2010 kabla ya Uchaguzi Mkuu na kweli nilichotabiri kilitokea na Kikwete alirudishwa madarakani. Na sasa tunashuhudia jitihada za kuchakachua marekebisho ya katiba, lengo? CCM iendelee kubaki madarakani na wezi waendelee kuneemeka kwa jasho letu huku woga wetu Watanzania ukibaki pale pale...so sad!

Teh teh teh!!!!!
 
I will stress my point that you will not get development by having muslim leaders from President down to Mjumbe wa mtaa and I gave examples.

Only your brain and hard work will get you out of poverty. Stop crying like babies, send your children to schools and get back to work.

If you are among those few who are using ignorance of others for your own benefit you must stop misleading others.



Show proof where I am wrong



This is JF. We analyze everything we do not buy every ---- post posted in this forum. If you bring any issue you must support it with tangible evidence. Otherwise state from the beginning that that's your opinion, we will respect your opinion.



I did not judge you, I judged the argument. Even If I wanted to judge you, I do not need to know you or your experience. Your actions and contributions will tell everything.



Great minds discuss issues and ideas, small minds discuss people and use personal attack to hide their weakness.



This is a forum where we discuss issues not emotions. If you are among those who are considered as ''Think Tank'', ''Well informed'' person for islamic advocacy then you could have done better for the sake of those who depends on you..

Good luck though..




Open your mind before you open your mouth...just do yourself a favour,go back and re-read your shit post/s!

I'm sorry if you don't like my honest,but to be fair I don't like your arrogance!

We know that Muslims need to look within ourselves and start re-thinking about all we've been through/endured as well as re-organise our methods aggressively and intelligently...no need for your patronizing talk! Ok!?

Now, step back and look at our Country and its past...now you tell me,what role did our government did play to advance Muslims socio-economic todate!?

Some individuals make me really wonder about their level of intelligence,but I suppose they had nothing to do with their lousy existence other than to make a complete and utter fool of themselves...such ignorance!

In your previous post/s,you gave couple of examples and mentioned Muslim inhabited areas with some childish remarks.

Do you know in details history/situation of these areas,cultures and its people...before,after independence and currently. Just to remind you that you mentioned Zanzibar,Tanga,Mtwara,Tabora,Kigoma,,Kilwa,Lindi and Mafia.

Do you have any idea what your beloved Nyerere did to systematicaly undermine these beautiful parts of our Country and its people!?

Are you aware of any systematic oppression,suppresion,marginalization and other inhumane conditions that Muslims suffered silently under Nyerere's regime and his legacy!?... now you are expecting us to go through the same shit for another unknown decades!?

The funny thing is,you are so selective and bit naive with your pathetic examples,as you only chose trivial matters and discourage any historical factors...

I mean systematic marginalization of Muslims from mainstream socio-economic in particular during that vicious colonial past and afterwards.

In your previous post/s too,among other absurd things you mentioned Prof. Ali Malima tenure at the Ministry of Education...well,I find it very interesting!

Now,would you kindly provide us with any figures to substantiate your claim!?

According to your post;I'm interested to find out percentage rate of Muslim students competence compare to others when Dr. Ali Malima walked in to that office and afterwards!?

Do you know any particular changes he had to make at that particular Ministry and the reason/findings he uncovered!?

Our Country's relative "modernazation" or so called development is harvested from oppression/marginalization against its Muslim population and sustained on the same logic and practice.

This situation has become normalized,it's a way of life!

As to majority of Muslims and others few with no faith;poverty,lack of advanced education,employment/developing skills as well as lack of sustainable socio-economic mobility lies side by side with Christians advancement created from exclusion and impoverishment of Muslim.

To escape we adopt MfumoKristo attitude and methods,we become part of it to continue sucking our own people/Muslims...to suceed is to sell out!

We are not against comfort and success but we say look how these are achieved!?

Our relative "comfort" is bought in the sweat and at times blood of the many excluded,persecuted and terrorized

Meritocracy and hard work are lies to blind us from the truth of how exploitation and exclusion lies at the heart of success under MfumoKristo reality of our time.

MfumoKristo bribes a few with shiny things to keep the Muslims outside and hoping!

MfumoKristo is the core matter. You name all those politicians/ministers as well you can branch out towards CCM,CUF and your beloved Chadema.

Everything with them is tainted in the blood of Nyerere the evil...almost everything and more,there is not one Muslim inhabited area/community that wasn't affected/systemicaly undermined by Nyerere's regime and his legacy aka MfumoKristo.

I lay my Case Sir!

Ahsanta.


Ps; "Majanga" -Shariff Ritz

"Ukipanda upepo tegema kuvuna kimbunga" - Ayatollah Chamviga
 
Akhiy Polite huyu mgalatia umempiga msumari kwenye kidonda!
Huyu mzanaki haoni hata aibu kuwa na sura nyingi!
An tapatapa huku na kule! Wale majaaluta wenzake km kawaida yao wamemuacha peke yake! Hutoa pua zao mara mara halafu wakarudi kwenye vichuguu!

Teh teh teh teh!

Amma majaaluta wako wengi humu!

DR KAHTAAN huyu kipofu ashapigwa muhuri wa unafiki kwenye nafsi yake.tubaki tunatizima maigizo yake tu. xaxa episode ya MTAMA ha ha h ha ha ha
 
Last edited by a moderator:
Nikisoma maneno yako mkuu gombesugu nabasamu mno. Hayo majibu ni mujarabu na yenye kujitosheleza kwa mnasaba wa mnakasha wetu. Akhsante.
 
Last edited by a moderator:
Nikisoma maneno yako mkuu gombesugu nabasamu mno. Hayo majibu ni mujarabu na yenye kujitosheleza kwa mnasaba wa mnakasha wetu. Akhsante.
Ayatollah CHAMVIGA, hivi hii serikali unayoshinda humu ukiitetea ndiyo hiyo hiyo inayoendeshwa KimfumoKristo kama ma Al Muhaj'run wa JF, wakiongozwa na Sheikh Mohamed Said, wanavyodai au nyingine? Je, kama kweli unakiri ni hiyo hiyo, ni wapi mamlaka ya Kanisa, MfumoKristo, yanapoishia na mamlaka ya CCM, chama tawala, yanapoanzia? Naomba, kama utaridhia, kwenye hili swala, mimi na wewe Ayatollah CHAMVIGA, twende one on one na nimekuchagua wewe kwa sababu ni kati ya vinara humu wanaoitetea sana CCM na serikali yake.

cc; Al Alkhiy gombesugu, Maulana Dr. kahtaan, Shariff Ritz, Ukhti FaizaFoxy, Sheikh Mohamed Said , Al Habib Al Tayeb, Al Akhiy Boko haram, Al Murid THE BIG SHOW, Al Akhiy Polite
 
Ayatollah CHAMVIGA, hivi hii serikali unayoshinda humu ukiitetea ndiyo hiyo hiyo inayoendeshwa KimfumoKristo kama ma Al Muhaj'run wa JF, wakiongozwa na Sheikh Mohamed Said, wanavyodai au nyingine? Je, kama kweli unakiri ni hiyo hiyo, ni wapi mamlaka ya Kanisa, MfumoKristo, yanapoishia na mamlaka ya CCM, chama tawala, yanapoanzia? Naomba, kama utaridhia, kwenye hili swala, mimi na wewe Ayatollah CHAMVIGA, twende one on one na nimekuchagua wewe kwa sababu ni kati ya vinara humu wanaoitetea sana CCM na serikali yake.

cc; Al Alkhiy gombesugu, Maulana Dr. kahtaan, Shariff Ritz, Ukhti FaizaFoxy, Sheikh Mohamed Said , Al Habib Al Tayeb, Al Akhiy Boko haram, Al Murid THE BIG SHOW, Al Akhiy Polite
Teh teh teh!! Haki Mungu JF kuna vituko.

Hii ina nikumbusha mpambano wa Muhammad Ali na Leon Spinks (1978).
 
Teh teh teh!! Haki Mungu JF kuna vituko. Hii ina nikumbusha mpambano wa Muhammad Ali na Leon Spinks (1978).
Hamna taabu, wewe nunua pop corn ukae kitako...ulingoni wapo Ayatollah CHAMVIGA na Al Munafik Mag3.
 
Hamna taabu, wewe nunua pop corn ukae kitako...ulingoni wapo Ayatollah CHAMVIGA na Al Munafik Mag3.

Teh teh teh teh!
Hio title yako hujakosea hata kidogo!

Na kwasababu umeomba 1 2 1! Mi namsubiri hayatollah CHAMVIGA aje kukupiga msasa kidogo!
Akiwa na pirika zingine za kuelimisha wanafiq wengine mi ntamuomba shariff Ritz amuwakilishe au mimi mwenyewe!

Sawa!? Yaa munafiq.
 
Last edited by a moderator:
hayawani motoni akafanye nini? hekaya za kiislamu ni ribs breaker.

Unaweza kuwa ni binadamu lakini unatabia za ki umbwa au ukamzidi hata mbwa, ila mbwa hataingia motoni kwasababu ni hayawani lakini jibwa kama wewe la kibinadamu moto utauna tu
 
Back
Top Bottom