Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

mzee mmoja wa tabora alidai nyerere ndiye aliyewaambia kuwa nchi yao, wao walidhani ni chi ya wazungu. nipe details kupruvu hoja yako dhaifu kama hiyo
Chukuwa darsa kidogo kijana.

Julius Kambarage Nyerere, kwa mara ya kwanza anakanyanga ardhi ya Mzizima Dar es Salaam ilikuwa mwaka 1952 alikuja kwenye mkutano wa TAA na kupokelewa na Dossa akitokea Tabora kama mjumbe wa tawi alikaa Dar es Salaam siku tatu na kurudi Tabora.

Mwaka 1954 alikuja rasmi Dar es Salaam na kupokelewa na Abdulwahid Sykes na wakawa wanaishi wote Kariakoo kama ndugu.

Umeona sasa kijana aliwakuta Wazee wameishanza harakati za kudai uhuru.
 
Kama walikuwepo wengine wengi ambao hawakuwa recognized kwa mchango wao haimaanishi kwamba hao walikuwa waislam tu. Kuna wakristo wengi pia hawakuwa recognized. Wachache wakristo na waislam walikuwa recognized. Suala la kusema eti waislam tu ndo hawakuwa recognized na kudiriki kuandika eti ''Islam's role in Tanzania's freedom struggle'' ukiwaacha wengine ni muendelezo wa waislam wa inferiority na udini kwa kuwafanya waislam wenzao wawaone wakristo kama wabaguzi na hawawapendi waislam. I hate tabia hii. Guys hebu kuweni smart. Jifunze kutokuwa biased unapokuwa unaongelea/unachambua ukweli. Na usikubali kila kitu unachosoma au kuambiwa eti kwa kuwa tu kasema au kaandika mtu fulani bila we mwenyewe kufanya reasoning. AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO

Sasa sundoka ulitaka aandike asiowajuwa? yeye kaandika ayajuwayo na awajuwao. Unaonaje na wewe ukashika keyboard ukaanza kuwaelezea hao uwajuao walioachwa? itakuwa umewatendea haki wao nasi pia.

Wengi na mengi aliyoyaandika Mohamed Said tulikuwa hatuyajui. Jee, kabla ya Kumsoma Mohamed Said ulimjuwa Mshume Kiyate?
 
Well, finally mnakiri kuwa mumeweka maandishi kama malalamiko bila solution.
THE BIG SHOW hapo nyuma umesema hakuna malalamiko, namwalika mkuu aje hapa tusikilize malalamiko.

Ukitoa malalamiko bila suluhu ni njia mbovu sana ya kutatua tatizo.
Kibaya zaidi wengine wakileta suluhu hukubaliani nayo tena hukubaliani kwa matusi si kwa hoja.
Ndugu Daktari hapo huisadii jamii unazidi kuiponza. Kama wewe Daktari huna suluhu sijui yule wa mtaani atakuwa na nini. Swali zito.

Kumbe kelele zote na matusi ni kukwepa ukweli.
Kwanini basi msijadili kile nilichokisema hata kama kina maumivu?
Nimesema hivi
1. Kwanza kabisa hawa wazee ambao ni wetu na ambao wanaondolewa ile 'nationalism kwa dini' waanze kuenziwa na makundi yao ili iwe changamoto kwa taifa.

Hili linawezekana kwasababu 'mbaya' wenu Nyerere hayupo madarakani miaka 28 na yupo kaburini miaka 14.

a) Madiwani wa Jiji wakae na kuanza kubadili mitaa ili kuleta taswira ya kitaifa na utaifa hasa kwa wazalendo.
b) Tuna mtaa wa Dossa, Mtaa wa Takadiri, Shule ya Tambaza, Mtaa wa Mshume Kiyate n.k Tuongeze waliobaki.
Hili linaweza kufanywa na madiwani kama walivyofanya kwa Mwai Kibaki na Obama chini ya Kikwete na akina !@Mohamed Said wakiwa kimya kama maji ya mtungi.

2) Waislam waanze kuwaenzi wazalendo ili ku set tone kwa taifa kufuata kwani ndio wenye hoja kama si malalmiko
a) Chuo cha elimu Alharamaini kiitwe Kleist Sykes college of Education
b) Chuo cha Morogoro kiitwe Abdul Sykes memorial university
c) Sekondari ya Ubungo iitwe Mshume Kiyate Islamic centre
Orodha iendelee hadi kwa wengine.

Nadhani juhudi hizi mbili za upande wa utawala na upande wa dini zitasaidia sana katika kuwaenzi ili wasitoweke katika historia.

Kuanzisha nyuzi za malalamiko huku watu wakiwa hawana suluhu ni kuendeleza utamaduni wa kulalamika bila kuwa na majibu. Hatuwezi kuendelea kurithisha vizazi malalamiko.
Tunapaswa kusonga mblee na kurithisha vizazi mambo mengine., Haya yapo katika uwezo wa kizazi chetu.

Ahalan wahsalan, nakaribisha hoja, kama hakuna japo matusi kidogo.
Tafadhalini msiniache nipite tu eti mkisema Nguruwe pita leo sina mkuki, hamtanitendea haki.



Nguruvi3,
Swali langu ni moja kwanza kwako kisha tuendelee na mjadala,

Unakubali ama unakataa ya kwamba nyerere kwa kuanzisha kwake bakwata ili kiwe chombo rasmi cha kuwaratibu na kuwabana waislam ndan ya taifa hili yeye ndie chanzo cha mvurugano wote huu??


Naomba jibu kwanza kisha tusonge mbele inshallah
 
Shariff Ritz hata mimi rungu langu siku nyingi halijaua nguchiro!
Basi kwa sababu sisi ndugu! Tusigombane! We huyu nguchiro akitokea pamoja na wale nguruwe pori wengine! We vunja miguu! Mi napasua kichwa!
Ok shekhe wangu!

Hapo itakuwa fare!

Lkn kukuachia wote peke yako! Duhhhh! Roho itaniuma sana!
i told ya, that's a homicide religion. they enjoy killing in the name of Allah:shetani:, fighting,:boxing: at the same time they spread propaganda they are called themselves a religion of piece:shocked:!!!. which peice?!:tape:
they fool no one :smash:
 
Teh teh teh teh!
Yule kikaragosi Mag3 anaomba round na hayatollah CHAMVIGA kwa sababu kamuona ni mwenye huruma na wagalatia!!
Wajua al akhiy gombesugu ukiwa na punda aliezoea mikwaju! Basi hata kwenda kumlisha CHAKULA BASI LZM UMPIGE MIKWAJU vilevile! Otherwise anaweza kufa na njaa!

Sasa hawa tunachapa bakora si kwa nia mbaya! La hasha! Sisi shida yetu wasije kufa hali ya kuwa vichwani mwao kumejaa mataka!

Teh teh teh teh!

Teh teh teh. Dr kahtaan mimi naogopa kuongeza mijiti unayo wapatia na akhy gombesugu. Inawatosha hao nikiongeza tutawazidishia maumivu.
 
Last edited by a moderator:
We muislamu ukisema hivo unazidi kujidharirisha. Hapo ni sawa na kusema mkristo mmoja ni sawa na waislamu 50.... kazi kulalamika kikekike tu
 
Nguruvi3,
Swali langu ni moja kwanza kwako kisha tuendelee na mjadala,

Unakubali ama unakataa ya kwamba nyerere kwa kuanzisha kwake bakwata ili kiwe chombo rasmi cha kuwaratibu na kuwabana waislam ndan ya taifa hili yeye ndie chanzo cha mvurugano wote huu??


Naomba jibu kwanza kisha tusonge mbele inshallah
your question is fall point number two
A battleplan was composed to Islamise Africa with some less innocent points in that decision:

  • "To ensure only Muslims are elected to all political posts of member nations".
  • "To eradicate in all its forms and ramifications all non-Muslim religions in member nations (such religions shall include Christianity, Ahmadiyya and other tribal modes of worship unacceptable to Muslim)." (the word Christianity is underlined in the declaration)
  • "To ensure the ultimate replacement of all western forms of legal and judicial systems with the sharia in all member nations before then next "Islam in Africa conference."
  • "To ensure the appointment of only Muslims into strategic national and international posts of member nations."
 
Hata siasa ni dini, kama huijui maana ya dini inabidi kwanza uijue maana ya dini. Ngoja nikupe darsa dogo;

Dini ni njia na muongozo wa kupitia katika mfumo wa maisha ya kila siku, safari uliyokuwa nayo duniani hadidu rejea yake ndio dini yako, kwa hiyo kama wewe unaamini Uislaam ndio dini (njia yako), Kama unaamini Ukristo ndio dini (njia yako), kama Unaamini Upagani, Uhindi, Ubuddha, Mti, kenge, kondoo, panya, sayansi, katiba, basi hiyo unayoamini kuwa ni rejea yako ya mwisho ya kukuongoza katika uyafanyayo kila siku ndio dini (njia yako).

Hapa kinachoongelewa ni siasa na role ya Waislaam na Uislaam katika "Tanzania freedom struggle", au una usongo kwa kuwa unajuwa kuwa Kanisa halikuwemo katika "freedom struggle"?

Uislam nao ni Siasa kama ndio hivyo.... Muingereza hakuweza Kuiacha nchi kwa Muslim ingekuwa ni kosa kubwa Shukrani kwa Nyerere Christian Bila yeye usingejidai dai humu na ushungu wako Joto maker ukiutoa kichwani umejaa vipele vya joto tupu kichwani
 
Chukuwa darsa kidogo kijana.

Julius Kambarage Nyerere, kwa mara ya kwanza anakanyanga ardhi ya Mzizima Dar es Salaam ilikuwa mwaka 1952 alikuja kwenye mkutano wa TAA na kupokelewa na Dossa akitokea Tabora kama mjumbe wa tawi alikaa Dar es Salaam siku tatu na kurudi Tabora.

Mwaka 1954 alikuja rasmi Dar es Salaam na kupokelewa na Abdulwahid Sykes na wakawa wanaishi wote Kariakoo kama ndugu.

Umeona sasa kijana aliwakuta Wazee wameishanza harakati za kudai uhuru.
Kama nyerere alikuja Dar Mwaka 1952 je alikuwa ndani ya nchi gani? hebu tupe na Historia ya Hao wazee wa Dar nao walipokelewa na nani? Maana Sykes ni Msouth Africa hilo halina Ubishi... na huyo Dossa mbona jina la Chakula cha Kihindi? Hii nchi Mwingereza Asingemwachia Mwana Madrasa.... Watu wa Kulalamika kila Kukicha
 
Ukimsikiliza Mwalimu Nyerere kwenye hotuba zake yeye mwenyewe anasema wazi kuwa kuna kipindi kwenye mikutano ya TANU Mkirsto alikuwa peke yake.
 
Uislam nao ni Siasa kama ndio hivyo.... Muingereza hakuweza Kuiacha nchi kwa Muslim ingekuwa ni kosa kubwa Shukrani kwa Nyerere Christian Bila yeye usingejidai dai humu na ushungu wako Joto maker ukiutoa kichwani umejaa vipele vya joto tupu kichwani

Halafu na hivi vijusi kafiri sijui vinatokeaga mashimo gani??

Shindwa pepo mchafu! We! Kwa jina la pengo! Or may be kwa jiiiiiina la DR SLAA!
 
Halafu na hivi vijusi kafiri sijui vinatokeaga mashimo gani??

Shindwa pepo mchafu! We! Kwa jina la pengo! Or may be kwa jiiiiiina la DR SLAA!
Mwenzio anaambiwa Ukweli wewe unashabikia tu au ndio wale wale Mashabiki Maandazi huo ujusi ulianzia kwenye ukoo wenu ukaishia kwako...

Imegundulika Allah Sio Mungu Tupishe sie Tumuabudie Mungu wa mbinguni aliye hai....
 
Kama nyerere alikuja Dar Mwaka 1952 je alikuwa ndani ya nchi gani? hebu tupe na Historia ya Hao wazee wa Dar nao walipokelewa na nani? Maana Sykes ni Msouth Africa hilo halina Ubishi... na huyo Dossa mbona jina la Chakula cha Kihindi? Hii nchi Mwingereza Asingemwachia Mwana Madrasa.... Watu wa Kulalamika kila Kukicha

Very true!
 
Achana na tz. Kiongozi gani muislamu aliyekuwa mstari wa mbele kupigania uhuru wa taifa lake? Waislamu hawana uwezo huo wakristo wananch asili ya busara na pia hata wakifundishwa wanafundishika.
Uislam ni janga baya sn duniani
 
I think you would have posted "Islam's role in killing people in the name of their God and get gifted 72 virgins"

Not in the name of their God, say in the name of their gods....
 
Achana na tz. Kiongozi gani muislamu aliyekuwa mstari wa mbele kupigania uhuru wa taifa lake? Waislamu hawana uwezo huo wakristo wananch asili ya busara na pia hata wakifundishwa wanafundishika.
Uislam ni janga baya sn duniani
Umezaliwa mwaka gani wewe muulize baba nyumba hilo swali lako atakujibu sawa.
 
Kama nyerere alikuja Dar Mwaka 1952 je alikuwa ndani ya nchi gani? hebu tupe na Historia ya Hao wazee wa Dar nao walipokelewa na nani? Maana Sykes ni Msouth Africa hilo halina Ubishi... na huyo Dossa mbona jina la Chakula cha Kihindi? Hii nchi Mwingereza Asingemwachia Mwana Madrasa.... Watu wa Kulalamika kila Kukicha
Kamuulize baba nyumba eti Dossa Aziz alikuwa nani kwenye TANU halafu muulize eti Mwalimu Nyerere alikuwa na asili ya Burundi (Mtusi) sawa kisha rudi JF tujadiliane.
 
Mwenzio anaambiwa Ukweli wewe unashabikia tu au ndio wale wale Mashabiki Maandazi huo ujusi ulianzia kwenye ukoo wenu ukaishia kwako...

Imegundulika Allah Sio Mungu Tupishe sie Tumuabudie Mungu wa mbinguni aliye hai....

Teh teh teh teh!
We huna habari kuwa huyo mungu unaemuabudu ni mzungu!
Halafu alishapjgwa mpaka akuawa!
Na ulivyokuwa una akili nyingi unaenda dukani kununua picha ya mzungu kavaa nepi kuuuubwa halafu unaipigia goti ukaibusu kila siku!
Huyo ndie unasema aliye mbinguni yuko hai!?
Teh teh teh teh teh!
Mi.mbona nilikutana nae hapa Los Angeles!?

Whatch this! You goner love it;-

Watch "JESUS RETURNS (Official sequel to Jesus Will Survive)" on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=u6B1D0oyBK8&feature=youtube_gdata_player
 
Halafu na hivi vijusi kafiri sijui vinatokeaga mashimo gani??

Shindwa pepo mchafu! We! Kwa jina la pengo! Or may be kwa jiiiiiina la DR SLAA!

Acha kutaja majina kama uwakilishi wa hasira yako,au ni utindio wa ubongo unakusumbua ?
 
Back
Top Bottom