Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

mzee wangu Mohamed heshima kwako....
Dhumuni langu lalakuku'mention ni kukuomba wewe ujibu zile hoja za nguruvi3 pale juu ambazo nimezi'qoute


Acha kujifanza Spokeswoman wa huyo Nguruvi3!

"Hoja"/vitimbi vyake vyoote huyo Mnafik mwenzio,mbona tayari zimeshajibiwa humu,ndo maana wamuona heshi kuchachatika na kupayukwa kama alopakwa uturi wa...!

Ahsanta sana.
 
i told ya, that's a homicide religion. they enjoy killing in the name of Allah:shetani:, fighting,:boxing: at the same time they spread propaganda they are called themselves a religion of piece:shocked:!!!. which peice?!:tape:
they fool no one :smash:



Your attitude and tone of your post is counter-productive!

Jesus was the name of Slave ship captained by Sir John Hawkins in 1564 by appointment of the Queen of England who is also the Head of Church of England...did you know this!?

Ahsanta.
 
Huwa unaandika pumba nyingi ili kuficha mchele ulio enguliwa.

Inawezekana wewe ni mtu ambae ili mradi ubishe kwa kuwa inakuuma kuona "kundi fulani" lina historia. Hilo "kundi fulani" kwanini kinakushinda kusema ni Waislaam? usiogope.

Tazama hizi histria za Mataifa makubwa, hawaogopi kuziandika na kuzisoma historia za "kundi fulani", kulikoni leo kwako iwe mwao kwa Tanganyika aka Tanzania tu?

1) Islam in America

2) BBC - Religions - Islam: History of Islam in the UK

3) Muslims in China - History of Islam in China

5) History of Islam in Russia | IslamDag.info

6) France and Islam from 732 AD to the 21 Century

7) History of Islam in Kenya

8) Islam in Ghana | Islam Story - Supervised by Dr. Ragheb Elsergany

9) How Islam Spread in India | Lost Islamic History

10) ISLAM AND POLITICS IN TANZANIA


Huna pakukwepa Historia ya Uislaam kokote uendapo, nakuona wa ajabu sana ikiwa roho inakuuma inapoandikwa historia ya Uislaam na Waislaam wa Tanganyika /Tanzania.

Sijui kwanini roho ikuume kiasi hicho. Au unaumia zaidi unaposoma kuwa Nyerere alikuta watu tayari wako kwenye harakati na hata jina la TANU hakutunga yeye na lilikuwepo kabla ya ujio wake Dar?

Faiza,
Kipande hiki hapa chini kilinogesha mjadala Nairobi nami nakiweka hapa kwa faida ya ukumbi.

Haya hapo chini yalikuwa 1950 hebu nanyi wanaukumbi yasomeni:

Abdulwahid Sykes had for many years been trying in vain to convince the powerful Chief David Kidaha Makwaia of Shinyanga to join TAA and be elected president and thereafter to form TANU.

Chief Kidaha
had made a mark in the politics of colonial Tanganyika in the Legislative Council.

It was obvious to many that Chief Kidaha would lead the country as its first Prime Minister in free Tanganyika. Unfortunately to Chief Kidaha while he was seemingly ready to lead Africans of Tanganyika but he thought that leadership should come to him through a political process initiated by the British and not through the political movement by the TAA under the leadership of ''agitators'' like Abdulwahid Sykes, Hamza Mwapachu and Sheikh Hassan bin Amir the members of TAA Political Subcommittee. [1]

Chief Kidaha politely declined the offer.

In 1953 when Abdulwahid gave this offer to Nyerere he accepted, was elected TAA president in June 1953 [2] and soon TANU was formed in July 1954.

[1] In 1950s Abdulwahid's office at Kariakoo Market where he was working as Market Master and Mwapachu's office at Ilala Welfare Centre where he was working as Assistant Welfare Officer were the two centres of the robust African politics in Dar es Salaam.

[2] See Tanganyika Standard 19[SUP]th[/SUP] June 1953 TAA executive committee: Julius Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President; J.P. Kasella Bantu, General Secretary; Alexander M. Tobias and Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer and Ally K. Sykes as Assistant Treasurer. Committee members were Dr Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo and Patrick Aoko.
 
Faiza,
Kipande hiki hapa chini kilinogesha mjadala Nairobi nami nakiweka hapa kwa faida ya ukumbi.

Haya hapo chini yalikuwa 1950 hebu nanyi wanaukumbi yasomeni:

Abdulwahid Sykes had for many years been trying in vain to convince the powerful Chief David Kidaha Makwaia of Shinyanga to join TAA and be elected president and thereafter to form TANU.

Chief Kidaha
had made a mark in the politics of colonial Tanganyika in the Legislative Council.

It was obvious to many that Chief Kidaha would lead the country as its first Prime Minister in free Tanganyika. Unfortunately to Chief Kidaha while he was seemingly ready to lead Africans of Tanganyika but he thought that leadership should come to him through a political process initiated by the British and not through the political movement by the TAA under the leadership of ‘’agitators’’ like Abdulwahid Sykes, Hamza Mwapachu and Sheikh Hassan bin Amir the members of TAA Political Subcommittee. [1]

Chief Kidaha politely declined the offer.

In 1953 when Abdulwahid gave this offer to Nyerere he accepted, was elected TAA president in June 1953 [2] and soon TANU was formed in July 1954.

[1] In 1950s Abdulwahid’s office at Kariakoo Market where he was working as Market Master and Mwapachu’s office at Ilala Welfare Centre where he was working as Assistant Welfare Officer were the two centres of the robust African politics in Dar es Salaam.

[2] See Tanganyika Standard 19[SUP]th[/SUP] June 1953 TAA executive committee: Julius Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President; J.P. Kasella Bantu, General Secretary; Alexander M. Tobias and Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer and Ally K. Sykes as Assistant Treasurer. Committee members were Dr Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo and Patrick Aoko.


Sheikh Mohamed Said,

Asalaam Alaykum.

Wewe mwaga "mavitu" tu,wala usijali.

Sisi nduguzo soote na wapenda haki wengine woote popote walipo duniani,tunakusoma kwa utuvu na kukufuatilia khabar zako hizi njema.

Shukran,Insha Allah Mola takuongezea umri ulo mwema na sabra chungu tele.

Ahsanta.
 

Nyuzi za MS hazitafsiriwi vibaya au kupotoshwa(Kifungu A) bali zenyewe zina hisia (sensational) kama ulivyoeleza katika kifungu (D).


Hivi wewe kweli una nini ulichokiandika? hata ukawa unaweza ku "criticize" "sensational writing" wakati gwiji la kuandika linasema:

25. Good writing is supposed to evoke sensation in the reader-not the fact that it is raining, but the feeling of being rained upon. ~ E.L. Doctorow

Edgar Lawrence "E. L." Doctorow (born January 6, 1931) is an American author. He is known internationally for his unique works...

Source: Where to Find Inspiration: 50 Quotes for Writers
 
Sheikh Mohamed Said,

Asalaam Alaykum.

Wewe mwaga "mavitu" tu,wala usijali.

Sisi nduguzo soote na wapenda haki wengine woote popote walipo duniani,tunakusoma kwa utuvu na kukufuatilia khabar zako hizi njema.

Shukran,Insha Allah Mola takuongezea umri ulo mwema na sabra chungu tele.

Ahsanta.

Ndugu yangu Gombesugu,
Amin kwa sote.
 
Naona watu wanaanza kurudi jukwaani na yale matusi yanaanza kupungua. Eti Akhy Ritz ule mtama ulioahidiwa kumwagwa mbona kimya? Dr kahtaan kuku wangu wanangojea kwahamu sana naomba uwahimize waumwage bwana. Pia nichukue nafasi hii kukupongeza mzee wangu mohamed said kwa award uliyopatiwa ninaamini wapo wengi wanauthamini mchango wako. Hizo nishani si jambo la maana sana ila naamini Mungu atakulipa kwa juhudi zako kubwa katika kuiweka kumbukumbu vizuri.
Cc gombesugu, Ngongo Boko haram, THE BIG SHOW.
 
Last edited by a moderator:
your question is fall point number two
A battleplan was composed to Islamise Africa with some less innocent points in that decision:

  • "To ensure only Muslims are elected to all political posts of member nations".
  • "To eradicate in all its forms and ramifications all non-Muslim religions in member nations (such religions shall include Christianity, Ahmadiyya and other tribal modes of worship unacceptable to Muslim)." (the word Christianity is underlined in the declaration)
  • "To ensure the ultimate replacement of all western forms of legal and judicial systems with the sharia in all member nations before then next "Islam in Africa conference."
  • "To ensure the appointment of only Muslims into strategic national and international posts of member nations."




Typical copy and paste...it is not gonna help here though!

Before there was life on earth,there were molecules. A primordial soup.

At some point a few specialized molecules began replicating.

This self-replication,Scientists agree,kick-started a biochemical process that would lead to the first organisms.

But exactly how that happened!?...how those molecules began replicating has been one of "Science's" enduring mysteries!!

Hope you got da message Sir!?

Ahsanta.

Cc; Al Murid THE BIG SHOW
 
Hivi wewe kweli una nini ulichokiandika? hata ukawa unaweza ku "criticize" "sensational writing" wakati gwiji la kuandika linasema:

25. Good writing is supposed to evoke sensation in the reader—not the fact that it is raining, but the feeling of being rained upon. ~ E.L. Doctorow

Edgar Lawrence "E. L." Doctorow (born January 6, 1931) is an American author. He is known internationally for his unique works...

Source: Where to Find Inspiration: 50 Quotes for Writers



Hajat Faizafoxy,

Salaam.

Wallahi,wanifanza nicheke pasi kiasi,jinsi unamvyomgaragaza huyu Mbondei! Kwi! Kwi! Kwi!

Kule Tanga/Chongoleani waita "wamdodosa",nako Bwagamoyo wanasema "unamkitimiza majiti ya roho" na tukirejea pale Unguja/Mwangarani wasema "unampandisha punda kimbelembele"...na hapo Mzizima wanasema unamsasambura! Kwi! Kwi! Kwi!

Ndivyo atakavyo huyu,wewe endelea kumdonyoa kiduchu kiduchu,mpaka atie akili!

Ahsanta.

Cc; Maulana Dr Kahtaan,Shariff Ritz,Ayatollah Chamviga
 
Ndugu yangu Gombesugu,
Amin kwa sote.


Sheikh Mohamed Said,

Shukran,Jazaak' Allahu Kha'iru.

Sisi soote hapa tumefurahika na kufarijika kusikia yakuwa mwaka huu umepawa hiyo Tuzo makhusus na Wanataaluma wenzio..

Najua kwako hicho ni kitu kiduchu mno,lakini ni symbol nzuri yenye kutia moyo na matumaini.

...yakuwa sasa hapo nyumbani pana mwamko mkubwa wa kifikra mpaka kufanza Wanataaluma kutambuana na kuhishimiana kwa haki ya kazi/shughuli zao...khasa hao Wanataaluma wa Ki-Islam, ambao kwa miaka mingi mno walikua wakidhalilishwa pita kiasi na yule Nyerere.

Kuna visa/vitimbi na mifano mingi mno,lakini kwa leo tuyaachie kwa hapa.

Insha Allah,nakutakia w'end njema,na salaam jamaa woote hapo.

Ahsanta.
 
Sheikh Mohamed Said,

Asalaam Alaykum.

Wewe mwaga "mavitu" tu,wala usijali.

Sisi nduguzo soote na wapenda haki wengine woote popote walipo duniani,tunakusoma kwa utuvu na kukufuatilia khabar zako hizi njema.

Shukran,Insha Allah Mola takuongezea umri ulo mwema na sabra chungu tele.

Ahsanta.

Gombesugu,
Sasa katika hawa wazalendo nilowataja kila mtu ana historia yake nzuri kabisa katika
kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hiyo timu ya Wakenya ya Budohi, Ongalo na Aoko hao ndiyo waliokuwa wanaunganisha
TAA na KAU ya Kenyatta.

Hawa wote walikuja kukamatwa na Special Branch baada ya Operation Anvil kuanza Kenya.
Naweka hapa tena mambo yaliyowashangaza jamaa hapo Nairobi wakati nawasiolisha mada
yangu ''Tanzania: A Nation Without Heroes:''

This piece of information here below stands as witness to the rich history which for many
years remained unknown:

Abdulwahid and his friend Ahmed Rashad Ali went to a house in the suburbs which was
in darkness and surrounded by Mau Mau guards. He was expected.

Kenyatta
was informed and came out of the house to receive him. This meeting took place
under the cover of darkness probably in Eastleigh in the suburbs of Nairobi where most of
the 1950s Mau Mau meetings before the emergency took place.

Ahmed Rashad Ali
recalls that he heard Kenyatta calling Abdulwahid by name. Kenyatta
had known Ally Sykes in Nairobi in 1946 and it is most probable that Abdulwahid's work was
made easy by that acquaintance.

Ahmed Rashad Ali met Kenyatta and they shook hands.

After introductions, Kenyatta, Abdulwahid, Fred Kubai, Bildad Kaggia and Kungu Karumba
went to another room where the meeting took place.

Ahmed Rashad remained outside with a guard.[1]

Another meeting was proposed by Kenyatta to be held in Arusha and TAA was to be presented
by Abdulwahid Sykes, Steven Mhando and Dossa Aziz.

This meeting never took place because ''Operation Anvil'' came into operation soon after.

In 1955 Dome Budohi and Patrick Aoko and other Kenyans were among Kenyans rounded up in
Dar es Salaam following ''Operation Anvil'' which came into operation in Kenya in 1954.

Budohi and Aoko the two active Kenyans in TANU were remanded at Central Police Station[2]
in Dar es Salaam and were all the time kept in chains.

Budohi was the first Kenyan to join TANU and was the proud bearer of TANU card no. 6.[3]

Budohi and Aoko were interrogated for six months and then sent to a camp in Handeni to be
transported to detention camps in Kenya. Budohi was detained in Lamu Island.

The Kenyan nationalists were packed in cattle wagons chained and they passed through Korogwe
and Taveta on their way back to Kenya.

Ally Sykes then transferred to Korogwe as punishment for being among the 17 founders of TANU
went to the railway station to see them off.


[1] This information is from Ahmed Rashad Ali broadcaster for Radio Free Africa in Cairo a radio
station set up by Gamal Abdel Nasser of Egypt in 1950s as propaganda machinery for African
countries fighting to liberate their countries from colonialism. In that position Ahmed Rashad
came to know many freedom fighters including Jomo Kenyatta. For more information on Ahmed
Rashad Ali
see Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924 – 1968) Historia Iliyofichwa Kuhusu
Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika
, Phoenix Publishers Nairobi
2002 pp 199 – 205. Ahmed Rashad Ali Many years later had an audience with President Kenyatta
at the State House in Nairobi. Surprisingly Kenyatta remembered him as the person who accompanied
Abdulwahid to that meeting in Nairobi in 1950. The President called his official photographer who took
their photograph posing together. This photograph decorated the living room of Ahmed Rashad Ali for
many years. President Kenyatta also presented him with a tie with the national colours of Kenya.

[2] This building still stands in its original form although it is not now a police station. A plaque on the
building to honour the nationalists who spent time there will help in preserving that history.

[3] Julius Nyerere card no. 1; Ally Sykes card no 2, Abdulwahid Sykes card no 3; Dossa Aziz card
No. 4; Denis Phombeah card No. 5; Dome Okochi Budohi card no. 6 John Rupia card No. 7; Bibi Titi
Mohamed
card No. 16; Idd Tosiri card No. 25.
 
Al Murid THE BIG SHOW,

Hiki kigongo ulichomshindilia "jamaa yako",nina hakika hawezi kukujibu asilan!...si unaona kishaanza kukuwekea vikwazo ati atumie rationale,hapo anamaanisha atumie ule ubabaifu wake! Kwi! Kwi! Kwi!

Si unakumbuka yale mambo ya rationalize the Denominator,na ile vulgar fraction!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.



Nguruvi3 Anataka kunirudisha enz za awali sana za kurationalize the denominator hali ya kuwa mimi nampa hesabu za CALCULUS anifanyie differentiation au ikiwezekana anifanyie intergration ya lile tatizo langu nililomuuliza nashangaa kaniacha solemba ulamaa wangu gombesugu,


Nguruvi3 anieleze anaweza vipi kum-differentiate kambarage julius na bakwata with respect to dhahma iliyowasibu waislam ndan ya taifa hili??

Kipindi wale wazee wamemuweka yeye mbele kwa kuangalia utaifa na maslahi ya tanzania ya mbele na vizazi vyake,yeye akapata kiburi na kutumia rungu lamadaraka kuwanyanyasa na kutengeneza farki na kujenga taifa lenye mpasuko wa kidini,sijui julius alidhan ya kwamba yale mambo aliyokawa anayafanya yatabakia kuwa siri milele??

Alishindwa kabisa kutambua katika hii ardhi wa kuogopwa ni Sub''hannah pekee..!!!,,alighafilka sana na haya maisha ya dunia,

Mimi siku zote huwa namuambiaga ndug yangu Nguruvi3,hoja yetu kuu ni kuangalia chanzo cha haya yote kiunga ubaga,bila kuoneana haya na kuelezea uhalisia pasi na kufumba fumba macho,

Kama akikubali ya kwamba Julius kwa kuvalia njuga kuanzisha chombo kama bakwata ni ushahid tosha wa kutuelezea mazito aliyokayahifadhi myoni mwake,

Ila sasa kama hiyo haotoshi,tukiamua kuyaacha yale na kusimama kama watanzania na kuelezezana uhalisia ulivo kwanin ndug zangu sampuli ya nguruvi3 wanapata uchungu sana kuupokea??

Mimi kwa kweli huwa napatwa na mshangao wa hali ya juu sana
 
Gombesugu,
Hiyo fitna ya ati kuisilimisha Afrika ilitengenezwa na Wazungu.

Shida ya hawa ndugu zetu ni wavivu wa kusoma.
Hizi habari zipo katika kitabu kinaitwa ''Two Headed Dragon.''

Sitomtaja mwandishi nataka huyu ndugu yangu aingie google.

Jamaa zetu wa Nigeria Waibo waliimeza vizuri fitna hii kwa maslahi
yao ya kuanzisha makanisa ya kipentekosti na kwa kweli walivuta hela
nyingi kutoka Marekani na Ulaya.

Hii fitna ikafika hadi huku na sie wakati huo vijana tulizungumza na Pius
Msekwa akiwa Spika hadi jamaa serikalini wakauliza hivi hawa Waislam
wanaotuandikia ndiyo hawa Waislam tunaowajua au kuna wengine wapya?

Walikuwa wanapambana na wanafunzi wa Sheikh Malik...
Wao walikuwa wamewazoea BAKWATA.
 
Kwanza nikukumbushe kuwa haikuwa post yangu ya kwanza. Rekodi zipo wazi kabisa na nadhani umeamua kuweka hilo neno ya kwanza ili kuonyesha kuwa nilikuja na shari kinyume na ukweli.
Post ni hii hapa Hakuna mahali niliposema hamna akili kama ulivyodai.
Hakuna mahali niliposema mohamed kachanganyikiwa, kuna mahali nimesema ana frustration. Frustration haina maana ya kuchanganyikiwa unless tuna definition tofauti.

Lakini hili la frustration nina ushahidi kutoka nyuzi zake za nyuma ambapo amesema '' babu yake aliongoza miigomo ya reli na bandarini''. Akasema kuna watu hawakuwa na uwezo wakiwa UDSM lakini wanaendesha magari na nyadhifa kubwa kwasababu ya mfumo.

Mohamed aliendelea kusema kazi ya kupigania uhuru na historia yake ipo katika familia na si kama sisi tunaosimuliwa.
Ukiyasoma maneno hayo hakuna shaka MS ana frustration juu ya historia ya familia na nafasi yake katika taifa kwa sasa.

Nilimjibu kwa kumwambia kuwa hiyo ilikuwa personal frustration na hivyo asiifanye kama tatizo la kitaifa kama nilivyoandika tena hapo juu.

Hakuna shaka kuwa ninyi mnamtetea MS nashangaa mnakana ukweli huo. Kumtetea si dhambi lakini iwe kwa hoja na si kumdhalilisha kwa matusi kwasababu hata yeye anajisikia fedheha maandishi yake yakipambwa na lugha zenu ambazo nashindwa kuelewa ni kwa vipi mnazinasibisha na dini kwasababu hakika inatia dhalili.
Wapo wanaojiuliza hivi hawa ndio walivyo? Kama wasomi ni hivi vipi huko mitaani?

@Khataan, kuhusu mada ya kumwaga Mtama hakika mtama upo. Ninaweza kuweka hapa ili njiwa wa Ritz waushambulie. Busara zimeniongoza kuwa pamoja na kuwa na haki ni vema nisifanye hivyo. I chose not to write.
Nasisitiza mtama upo busara zinaniongoza sana nisifanye hivyo.

Na mwisho, mimi siwakatazi na wala sikuwa na nia ya kuwazuia kuendelea kuporomosha matusi.
Mumenitukana sana na nimekaa kimya kila mara nikiwanasihi kuwa hivyo sivyo.

Kilichonisukuma kuandika kuhusu lugha zenu ni baada ya kuona lugha hizo zinafungamanishwa na imani yenu, eti hata neno inshallah la kiarabu limekuwa sehemu ya imani.

Ndio maana nimeuliza je imani inawatuma mu behave katika hali dhalili na hovyo kama hiyo? Narudia katika hali dhalili na hovyo hivyo? Hebu rudini msome nyuzi zenu halafu mjiulize zimejaa dhalili kiasi gani kwenu na kwa jamii inayowahusu

Nikauliza,je mnaitendea haki jamii ya Watanzania, jamii zenu katika makundi ya kabila, koo na imani?
Je, kila mmoja anayesoma matusi yenu yakiwa katika mgongo wa imani anafurahia hilo?
Je, ndio mafunzo yaliyoelekezwa hayo? Na kwa lugha hiyo nani atasoma kile mlichokusudia au kuvutika na hoja zenu?



Nguruvi3,


Nimechungulia hiyo bayana yako dhaifu hapo juu...bila ya shaka bado una hang-over ya minakasha/mnakasha ulopita baina yako na Sheikh Mohamed Said!?

Wala haitajiki Psychogologist kuthibitisha au kujua yakuwa wewe ndo mwenye hizo frustrations wala si Sheikh Mohamed Said wala mwengine...abadan asilan!

Embu jichungulie hapo kwenye hiyo post yako,uone jinsi ulivyojitahidi kumwaga pumba na ku-twist maneno ili kujaribu "kutetea" mangi yasokua na maana ulosema/ulioandika mwenyewe!?

Hivi huoni hata haya kujaza server/s kwa malumbano ya kutetea dhulma na kuficha haki!?

Hivi hayo unayodai ati ni "matusi" au "kashfa",wewe unaona yanaletwa na sisi/upande mmoja tu!?

Hivi kweli jamaa yangu,unaufuatilia huu mnakasha kwa utuvu na umakini wenye kustahiki!?...I mean post by post!?

Mbona hao Wakristo/Chadema wenzio wenye kutukana Wazee Wetu na Dini/Imani, yetu wewe huwakanyi!?...au hata kuwapa ushauri wowote wa kiungwana!?

Au ndo tuchukulie yakuwa nyinyi wenzao ndo mnapendezewa na huo uharo wao waumwagao hapa jamvini kila kukicha!?...je hao ndo wawakilishi wa mawazo yenu nyinyi Chadema/Wakristo wwote!?

Nilikua nakuheshimu mno jamaa yangu na nilishawahi kukutamkia mara kadhaa wa kidhaa,bado nakuheshimu japo kwa sasa ni kiduchu mno!...

Nazidi pata dalili ya kuwa agenda yako labda ni pana mno,lakini umejificha nyuma ya pazia la "uzalendo"!?

Hivi lini wewe umewahi kukemea japo kiduchu hii crusade na Islamophobia inayoendeshwa humu Jf na wenzenu!?

Sasa kama kweli wewe ni "mzalendo khalis",msomi na mwenye kuipenda nchi yako...wawezaji kuachia khatar kama hizi,huoni consequences na khatar zake kwenye jamii/Taifa hapo!?

Si unajua hata hiyo WWII nayo pia ilianza kwa migongano,propagandas na majibizano kama haya kwenye jamii!?

Sasa hizo "busara" na hikma zako huwa unaziweka wapi!?

Mimi binafsi kwa mujibu wa posts zako kadhaa humu Jf najua mno na kuthibitisha,yakuwa unafanza character deformation kubwa mno dhidi ya Sheikh Mohamed Said na Uislam!...pole maana una shughuli kubwa mno inayokukabili!!

Huo upuuzi/uharo wako aka "mtama" umwage hapa!

Acha "tisha toto",hivi mnafikiri kuna uzushi,kashfa na urongo upi wa kutengenezwa dhidi ya Wazee Wetu au Dini yetu ambao sisi hatujawahi kuusikia!?

Kwanza kama kweli ungalikua na hizo busara,ustaarabu/hishma kama unavyodai basi hata usingethubutu kutaja huo "mtama" from the start!?

Si unakumbuka hata yule Nyerere wako nae pia aliweka "kitengo makhusus" kilichokua shughuli zake ni kuwachafua na kuwaparaganyisha Waislam tu...khasa Masheikh wetu/Wazee Wetu na Viongozi wetu wengine kwenye sehemu tafauti ndani ya jumuia zetu!?

Hiki kitengo kilikua chini ya yule maluuni Mzaramo Kafir Paul Sozigwa na mwenzie mjaaluta wa kimachinga Benjamin Mkapa.

Kwa kifupi,yoote yatokeayo na kukuandama humu unaya-encourage, wewe mwenyewe na ndie instigator mkubwa!

Kama usemavyo,akwambiae kweli ndie akupendae!?

Ahsanta sana.

Cc; Ayatollah Chamviga
 
Gombesugu,
Hiyo fitna ya ati kuisilimisha Afrika ilitengenezwa na Wazungu.

Shida ya hawa ndugu zetu ni wavivu wa kusoma.
Hizi habari zipo katika kitabu kinaitwa ''Two Headed Dragon.''

Sitomtaja mwandishi nataka huyu ndugu yangu aingie google.

Jamaa zetu wa Nigeria Waibo waliimeza vizuri fitna hii kwa maslahi
yao ya kuanzisha makanisa ya kipentekosti na kwa kweli walivuta hela
nyingi kutoka Marekani na Ulaya.

Hii fitna ikafika hadi huku na sie wakati huo vijana tulizungumza na Pius
Msekwa akiwa Spika hadi jamaa serikalini wakauliza hivi hawa Waislam
wanaotuandikia ndiyo hawa Waislam tunaowajua au kuna wengine wapya?

Walikuwa wanapambana na wanafunzi wa Sheikh Malik...
Wao walikuwa wamewazoea BAKWATA.



Sheikh Mohamed Said,

Shukran,tunakusoma kwa utuvu Al Akhiy.

Niliwahi nami kukichungulia hicho kitabu kiduchu,lakini nikakidharau.

Ndo pale nilipomjulisha "yule jamaa",yakuwa hiyo ni copy and paste!

Nakumbuka nilipewa hidaya hicho kitabu na Prof. TSY Sengo.

Tatizo jingine la hawa jamaa zetu,wao wanashindwa kuamini/kukubali yakuwa sisi tunawajua vizuri mno kuliko hata vile wajijuavyo wao wenyewe!

Insha Alla,Mola atatufikisha nao salama.

Ahsanta.
 

Nguruvi3,


Nimechungulia hiyo bayana yako dhaifu hapo juu...bila ya shaka bado una hang-over ya minakasha/mnakasha ulopita baina yako na Sheikh Mohamed Said!?

Wala haitajiki Psychogologist kuthibitisha au kujua yakuwa wewe ndo mwenye hizo frustrations wala si Sheikh Mohamed Said wala mwengine...abadan asilan!

Embu jichungulie hapo kwenye hiyo post yako,uone jinsi ulivyojitahidi kumwaga pumba na ku-twist maneno ili kujaribu "kutetea" mangi yasokua na maana ulosema/ulioandika mwenyewe!?

Hivi huoni hata haya kujaza server/s kwa malumbano ya kutetea dhulma na kuficha haki!?

Hivi hayo unayodai ati ni "matusi" au "kashfa",wewe unaona yanaletwa na sisi/upande mmoja tu!?

Hivi kweli jamaa yangu,unaufuatilia huu mnakasha kwa utuvu na umakini wenye kustahiki!?...I mean post by post!?

Mbona hao Wakristo/Chadema wenzio wenye kutukana Wazee Wetu na Dini/Imani, yetu wewe huwakanyi!?...au hata kuwapa ushauri wowote wa kiungwana!?

Au ndo tuchukulie yakuwa nyinyi wenzao ndo mnapendezewa na huo uharo wao waumwagao hapa jamvini kila kukicha!?...je hao ndo wawakilishi wa mawazo yenu nyinyi Chadema/Wakristo wwote!?

Nilikua nakuheshimu mno jamaa yangu na nilishawahi kukutamkia mara kadhaa wa kidhaa,bado nakuheshimu japo kwa sasa ni kiduchu mno!...

Nazidi pata dalili ya kuwa agenda yako labda ni pana mno,lakini umejificha nyuma ya pazia la "uzalendo"!?

Hivi lini wewe umewahi kukemea japo kiduchu hii crusade na Islamophobia inayoendeshwa humu Jf na wenzenu!?

Sasa kama kweli wewe ni "mzalendo khalis",msomi na mwenye kuipenda nchi yako...wawezaji kuachia khatar kama hizi,huoni consequences na khatar zake kwenye jamii/Taifa hapo!?

Si unajua hata hiyo WWII nayo pia ilianza kwa migongano,propagandas na majibizano kama haya kwenye jamii!?

Sasa hizo "busara" na hikma zako huwa unaziweka wapi!?

Mimi binafsi kwa mujibu wa posts zako kadhaa humu Jf najua mno na kuthibitisha,yakuwa unafanza character deformation kubwa mno dhidi ya Sheikh Mohamed Said na Uislam!...pole maana una shughuli kubwa mno inayokukabili!!

Huo upuuzi/uharo wako aka "mtama" umwage hapa!

Acha "tisha toto",hivi mnafikiri kuna uzushi,kashfa na urongo upi wa kutengenezwa dhidi ya Wazee Wetu au Dini yetu ambao sisi hatujawahi kuusikia!?

Kwanza kama kweli ungalikua na hizo busara,ustaarabu/hishma kama unavyodai basi hata usingethubutu kutaja huo "mtama" from the start!?

Si unakumbuka hata yule Nyerere wako nae pia aliweka "kitengo makhusus" kilichokua shughuli zake ni kuwachafua na kuwaparaganyisha Waislam tu...khasa Masheikh wetu/Wazee Wetu na Viongozi wetu wengine kwenye sehemu tafauti ndani ya jumuia zetu!?

Hiki kitengo kilikua chini ya yule maluuni Mzaramo Kafir Paul Sozigwa na mwenzie mjaaluta wa kimachinga Benjamin Mkapa.

Kwa kifupi,yoote yatokeayo na kukuandama humu unaya-encourage wewe mwenyewe na ndie instigator mkubwa!

Kama usemavyo,akwambiae kweli ndie akupendae!?

Ahsanta sana.

Cc; Ayatollah Chamviga

Al habib gombesugu namalizia overtime yangu hapa ofisini nafungua tu nakutana na bayana zako mardhawa kabisa!

Barakallah feeq ya al akhiy.
Nakusoma kwa miwani ya 3d kwa raha zangu. Ukimpa darsa huyu kijana Nguruvi3 and his associates ambao wanajaribu kutugeuzia uzi hapa!

Na ni imani yangu kwa darsa hii huenda akaelekea kibla inshallah!
Ahsant maalim.
 
Last edited by a moderator:
Al habib gombesugu namalizia overtime yangu hapa ofisini nafungua tu nakutana na bayana zako mardhawa kabisa!

Barakallah feeq ya al akhiy.
Nakusoma kwa miwani ya 3d kwa raha zangu. Ukimpa darsa huyu kijana Nguruvi3 and his associates ambao wanajaribu kutugeuzia uzi hapa!

Na ni imani yangu kwa darsa hii huenda akaelekea kibla inshallah!
Ahsant maalim.


Maulana Dr Kahtaan,

Salaam,nami pia hufurahika mno kila nikusomapo bayana zako mubashar...chembilecho cha Shariff Ritz;"mipini ya nguvu"! Kwi! Kwi! Kwi,

Inanilazim nitoke kiduchu,maana wanao wametamani Ice cream kiduchu...maana leo hapa pana kijua uchwara kimechoza! Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 
Nguruvi3 Anataka kunirudisha enz za awali sana za kurationalize the denominator hali ya kuwa mimi nampa hesabu za CALCULUS anifanyie differentiation au ikiwezekana anifanyie intergration ya lile tatizo langu nililomuuliza nashangaa kaniacha solemba ulamaa wangu gombesugu,


Nguruvi3 anieleze anaweza vipi kum-differentiate kambarage julius na bakwata with respect to dhahma iliyowasibu waislam ndan ya taifa hili??

Kipindi wale wazee wamemuweka yeye mbele kwa kuangalia utaifa na maslahi ya tanzania ya mbele na vizazi vyake,yeye akapata kiburi na kutumia rungu lamadaraka kuwanyanyasa na kutengeneza farki na kujenga taifa lenye mpasuko wa kidini,sijui julius alidhan ya kwamba yale mambo aliyokawa anayafanya yatabakia kuwa siri milele??

Alishindwa kabisa kutambua katika hii ardhi wa kuogopwa ni Sub''hannah pekee..!!!,,alighafilka sana na haya maisha ya dunia,

Mimi siku zote huwa namuambiaga ndug yangu Nguruvi3,hoja yetu kuu ni kuangalia chanzo cha haya yote kiunga ubaga,bila kuoneana haya na kuelezea uhalisia pasi na kufumba fumba macho,

Kama akikubali ya kwamba Julius kwa kuvalia njuga kuanzisha chombo kama bakwata ni ushahid tosha wa kutuelezea mazito aliyokayahifadhi myoni mwake,

Ila sasa kama hiyo haotoshi,tukiamua kuyaacha yale na kusimama kama watanzania na kuelezezana uhalisia ulivo kwanin ndug zangu sampuli ya nguruvi3 wanapata uchungu sana kuupokea??

Mimi kwa kweli huwa napatwa na mshangao wa hali ya juu sana



Al Murid THE BIG SHOW,

Barkat Al Eid!

Wallahi, ni fakhar ilioje kuzungumza nawe tena,maana ni kitambo hatujafanza mawasiliano.

Nakusoma kwa miwani ya 3D! Kwi! kwi! Kwi!

Nakutakia w'end njema Insha Allah.

Ahsanta.
 
Gombesugu,
Sasa katika hawa wazalendo nilowataja kila mtu ana historia yake nzuri kabisa katika
kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hiyo timu ya Wakenya ya Budohi, Ongalo na Aoko hao ndiyo waliokuwa wanaunganisha
TAA na KAU ya Kenyatta.

Hawa wote walikuja kukamatwa na Special Branch baada ya Operation Anvil kuanza Kenya.
Naweka hapa tena mambo yaliyowashangaza jamaa hapo Nairobi wakati nawasiolisha mada
yangu ''Tanzania: A Nation Without Heroes:''

This piece of information here below stands as witness to the rich history which for many
years remained unknown:

Abdulwahid and his friend Ahmed Rashad Ali went to a house in the suburbs which was
in darkness and surrounded by Mau Mau guards. He was expected.

Kenyatta
was informed and came out of the house to receive him. This meeting took place
under the cover of darkness probably in Eastleigh in the suburbs of Nairobi where most of
the 1950s Mau Mau meetings before the emergency took place.

Ahmed Rashad Ali
recalls that he heard Kenyatta calling Abdulwahid by name. Kenyatta
had known Ally Sykes in Nairobi in 1946 and it is most probable that Abdulwahid’s work was
made easy by that acquaintance.

Ahmed Rashad Ali met Kenyatta and they shook hands.

After introductions, Kenyatta, Abdulwahid, Fred Kubai, Bildad Kaggia and Kungu Karumba
went to another room where the meeting took place.

Ahmed Rashad remained outside with a guard.[1]

Another meeting was proposed by Kenyatta to be held in Arusha and TAA was to be presented
by Abdulwahid Sykes, Steven Mhando and Dossa Aziz.

This meeting never took place because ‘’Operation Anvil’’ came into operation soon after.

In 1955 Dome Budohi and Patrick Aoko and other Kenyans were among Kenyans rounded up in
Dar es Salaam following ‘’Operation Anvil’’ which came into operation in Kenya in 1954.

Budohi and Aoko the two active Kenyans in TANU were remanded at Central Police Station[2]
in Dar es Salaam and were all the time kept in chains.

Budohi was the first Kenyan to join TANU and was the proud bearer of TANU card no. 6.[3]

Budohi and Aoko were interrogated for six months and then sent to a camp in Handeni to be
transported to detention camps in Kenya. Budohi was detained in Lamu Island.

The Kenyan nationalists were packed in cattle wagons chained and they passed through Korogwe
and Taveta on their way back to Kenya.

Ally Sykes then transferred to Korogwe as punishment for being among the 17 founders of TANU
went to the railway station to see them off.


[1] This information is from Ahmed Rashad Ali broadcaster for Radio Free Africa in Cairo a radio
station set up by Gamal Abdel Nasser of Egypt in 1950s as propaganda machinery for African
countries fighting to liberate their countries from colonialism. In that position Ahmed Rashad
came to know many freedom fighters including Jomo Kenyatta. For more information on Ahmed
Rashad Ali
see Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924 – 1968) Historia Iliyofichwa Kuhusu
Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika
, Phoenix Publishers Nairobi
2002 pp 199 – 205. Ahmed Rashad Ali Many years later had an audience with President Kenyatta
at the State House in Nairobi. Surprisingly Kenyatta remembered him as the person who accompanied
Abdulwahid to that meeting in Nairobi in 1950. The President called his official photographer who took
their photograph posing together. This photograph decorated the living room of Ahmed Rashad Ali for
many years. President Kenyatta also presented him with a tie with the national colours of Kenya.

[2] This building still stands in its original form although it is not now a police station. A plaque on the
building to honour the nationalists who spent time there will help in preserving that history.

[3] Julius Nyerere card no. 1; Ally Sykes card no 2, Abdulwahid Sykes card no 3; Dossa Aziz card
No. 4; Denis Phombeah card No. 5; Dome Okochi Budohi card no. 6 John Rupia card No. 7; Bibi Titi
Mohamed
card No. 16; Idd Tosiri card No. 25.




Sheikh Mohamed Said,

Shukran mno kwa hidaya hii ya bayana hizi zoote zilo njema.

Wallahi,wazifanza w'end zetu soote hapa jamvini kuzidi kunawiri...nami jioni nikituama,tapitia upya haya yoote kwa utuvu.

Mola akuzidishie Ukarim.

Ahsanta.
 
Back
Top Bottom